FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,847
- 40,435
- Thread starter
- #61
Majimbo mengi Marekani yameanza kurudi tena kwenye lockdown, Florida wamegoma kurudi kwenye lockdown
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, hakuna aliyebisha, ila vipi kuhusu uselessness ya lockdown badala kuchukua measures za hygiene na social distancing, considering hiyo yoyo effect niliyoiweka dhahiri? Ni either uweke lockdown hadi number ifike 0 (impossible) au usiweke kabisa. Halafu pia, mbona njombe na mafinga kwenye hali ya hewa ya baridi hatuoni tofauti?Takribani nchi zote za Ulaya zimeweka Lockdown yenye masharti kadhaa, baadhi zimekuwa na masharti mengi na zingine zimeyapunguza. Masharti haya huwekwa kulingana na idadi ya maambukizi inayoripotiwa kila siku.
Hizi nchi zilizoendelea zinaaamini katika kuwa logical kuliko kubahatisha. Idadi ya wagonjwa wa corona na idadi ya vifo kutokana na corona inapoongezeka mahospitalini
inaleta ugumu sana kwa upande wa maamuzi ya kisiasa.
Lockdown ni matokeo ya ushauri wa kitabibu.
Siku za weekend hasa jumapili watu wa hizi nchi hupumzika majumbani mwao, ndizo siku zenye kuripotiwa viwango vya chini sana vya maambukizi ya corona, hii ndiyo sababu huchagiza viongozi wa kisiasa kuamini katika lockdown.
Mojawapo ya sababu ya corona kuwa imara ulaya ni hali ya hewa inayosaidia kirusi hiki kustawi.
Hygienical measures kama kuvaa barakoa na social distancing zinasisitizwa sana na zinafuatwa.Sawa, hakuna aliyebisha, ila vipi kuhusu uselessness ya lockdown badala kuchukua measures za hygiene na social distancing, considering hiyo yoyo effect niliyoiweka dhahiri? Ni either uweke lockdown hadi number ifike 0 (impossible) au usiweke kabisa. Halafu pia, mbona njombe na mafinga kwenye hali ya hewa ya baridi hatuoni tofauti?
Hiyo kupunguza maambukizi chini ya nusu kwa siku ambazo wanaweka lockdown tofauti na siku ambazo hawaweki ni nonsensical kwa sababu mwisho madhara yake ya uchumi ni makubwa sana kiasi hufikia kipindi inakuwa haivumiliki tena na lockdown inalazimika kuondolewa ili kunusuru uchumi, sasa niambie, ipi mantiki ya kuweka lockdown wakati una wagonjwa 100, halafu unakuja kuondoa lockdown wakati unawagonjwa laki moja, 100k, ipi mantiki hapo kama sio uwendawazimu? Leo hii marekani wanagombanana na Rais wao asaini muswada wa kugawa dollar 600 au 2,000 kwa kila mtu kama njianya kuounguza makali ya maisha, sasa unazalisha tatizo kubwa la kiuchumi wakati lile la awali bado lipo na limeongezeka, mtu mwenye akili timamu anawezaje kushindwa kung’amua hili? Nashindwa kuelewa kabisa.Hygienical measures kama kuvaa barakoa na social distancing zinasisitizwa sana na zinafuatwa.
Lockdown inaonekana ni logical kwasababu imeprove kupunguza idadi ya maambukizi chini ya nusu ya siku ambazo hazina lockdown.
Yoyo unayoitaja, chukua mfano wale jamaa walivyofanikiwa kuitokomeza malaria.