Fahamu kwa uchache CV za baadhi ya Scientists/Wafanyakazi wa NASA.

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,453
20,712
bila shaka umeshawahi kuisikia NASA(National Aeronautics and Space Administration) na majukumu yake.
inasemekana hii ni moja ya taasisi bora duniani inayoongoza kwa kuajiri watu brilliant katika sayansi.
f0ede299f56517f9fcbe79a91858b9fa.jpg
6823473b94b955ddb1ab3dd996dfcf53.jpg


ni taasisi inayoongoza kuajiri "ma-genius " wa mathematics, physics, chemistry,biology, geography,rocket science,aerospace engineering, computer science,mechanical engineering na masuala yote yanayohusu elimu ya kulichunguza anga(astronomy) kwa ujumla wake.

binafsi sikusomea masuala ya sayansi ila napenda sana kujiongezea ufahamu kwa kusoma vitabu, majarida, articles na kutembelea kurasa zinazo zungumzia sayansi.

nilikuwa naperuzi mtandao wa LinkedIn, nikasema acha nifungue ukurasa wa NASA. nikiwa katika ukurasa huo, nikakutana na profile/CV za baadhi ya wafanyakazi wa taasisi hii nyeti duniani.

kwa kuwa nilikuwa nimevutiwa na CV zao, nimeona si vibaya nikizileta hapa ili ku-motivate members wa jf wanaovutiwa na mada za kisayansi lakini pia ku-motivate ndugu au jamaa zetu waliopo vyuoni wakisomea masuala ya kisayansi au uhandisi katika vyuo mbalimbali.

NB: kuna tetesi wapo watanzania wanaofanya kazi NASA. mwenye ukweli juu ya hili atatujuza au anaweza kuleta taarifa zao. ni kwa nia njema tu ya kujenga na si vinginevyo.

hawa ni baadhi ya wafanyakazi wa NASA na CV zao.
IMG_20180815_163050.jpg
IMG_20180815_163113.jpg


IMG_20180815_163133.jpg
IMG_20180815_163152.jpg


IMG_20180815_163211.jpg
IMG_20180815_163226.jpg


IMG_20180815_163305.jpg
IMG_20180815_163335.jpg


IMG_20180815_163357.jpg
IMG_20180815_163414.jpg


IMG_20180815_163504.jpg
IMG_20180815_163520.jpg


IMG_20180815_163843.jpg
IMG_20180815_163859.jpg


IMG_20180815_163941.jpg
IMG_20180815_164001.jpg


IMG_20180815_164108.jpg
IMG_20180815_164128.jpg
 
Nnajua wanajihusisha na mambo ya anga, lakini chanzo chao kikuu cha pesa ni fungu la serikali au kuna biashara wanafanya? Shukrani
NASA ni wakala wa serikali ya marekani anayehusika na tafiti za anga kwa niaba ya serikali ya marekani.

hivyo basi mapato yake yanatokana na kutengewa budget inayopitishwa na baraza la congress.

ni kama tu vile CIA, NSA nk.
IMG_20180815_220844.jpg
 
bila shaka umeshawahi kuisikia NASA(National Aeronautics and Space Administration) na majukumu yake.
inasemekana hii ni moja ya taasisi bora duniani inayoongoza kwa kuajiri watu brilliant katika sayansi.
View attachment 837079View attachment 837080

ni taasisi inayoongoza kuajiri "ma-genius " wa mathematics, physics, chemistry,biology, geography,rocket science,aerospace engineering, computer science,mechanical engineering na masuala yote yanayohusu elimu ya kulichunguza anga(astronomy) kwa ujumla wake.

binafsi sikusomea masuala ya sayansi ila napenda sana kujiongezea ufahamu kwa kusoma vitabu, majarida, articles na kutembelea kurasa zinazo zungumzia sayansi.

nilikuwa naperuzi mtandao wa LinkedIn, nikasema acha nifungue ukurasa wa NASA. nikiwa katika ukurasa huo, nikakutana na profile/CV za baadhi ya wafanyakazi wa taasisi hii nyeti duniani.

kwa kuwa nilikuwa nimevutiwa na CV zao, nimeona si vibaya nikizileta hapa ili ku-motivate members wa jf wanaovutiwa na mada za kisayansi lakini pia ku-motivate ndugu au jamaa zetu waliopo vyuoni wakisomea masuala ya kisayansi au uhandisi katika vyuo mbalimbali.

NB: kuna tetesi wapo watanzania wanaofanya kazi NASA. mwenye ukweli juu ya hili atatujuza au anaweza kuleta taarifa zao. ni kwa nia njema tu ya kujenga na si vinginevyo.

hawa ni baadhi ya wafanyakazi wa NASA na CV zao.
View attachment 837085View attachment 837086

View attachment 837087View attachment 837088

View attachment 837089View attachment 837090

View attachment 837091View attachment 837092

View attachment 837093View attachment 837094

View attachment 837095View attachment 837096

View attachment 837097View attachment 837098

View attachment 837099View attachment 837100

View attachment 837101View attachment 837102
Huyu Dexter kama alishawai gombea udiwani kata ya kimara ngoja nami nimgugo
 
NASA ni wakala wa serikali ya marekani anayehusika na tafiti za anga kwa niaba ya serikali ya marekani.

hivyo basi mapato yake yanatokana na kutengewa budget inayopitishwa na baraza la congress.

ni kama tu vile CIA, NSA nk.
View attachment 837167


Hapo ndio nilipokua napataka. Wenzetu wanathamini sana tafiti. Huo uwekezaji sio wa kitoto. Shukran
 
upo sahihi comrade. ndio maana majority ya watz walipo instagram hufatilia sana kurasa za udaku.
Internet imerahisisha sana upatikanaji wa maarifa na mambo mbali mbali yenye manufaa lakini kwa Watanzania internet imewafanya kuwa wajinga zaidi.....

Nchi zilizoendelea internet imewafanya watu kuwa mamilionea kama sio mabilionea....
 
Back
Top Bottom