G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
Wewe Una uhakika wa kumaliza Mwaka huu?Huyu miaka 5 ni mingi sana mkuu
Wewe Una uhakika wa kumaliza Mwaka huu?Huyu miaka 5 ni mingi sana mkuu
Hatavuka July kabla hajawa mwendazakeKwa umri wa ndugai, na pesa alizopiga, kwa sasa anahikitaji zaidi amani ya moyo kuliko kitu chochote kile…
Wabongo sheria zikipitishwa kimya, wanasubiri matukio. Kuna masheria mengi ya kijinga kabisa, kumiliki kiblog hadi ulipie leseni n.k. Hii sheria imeminya sio uhuru wa kujieleza tuu bali hata wale wanaosoma ivo viblog wamekosa habari au elimu. Ilipitishwa na watu wakaa kimya, nadhani hadi ilipombana Polepole ndio watu wameanza kuamka.
Bunge la TZ halina uzalendo na hupitisha madudu ya sheria kama hizi. Kwanini asiresign wakati analipwa fresh bila ya kufanya kazi ? I would have done the same!😏
Aliwaza Urais 2025 kama Sitta alivyotamani Urais 2010-15 mpaka akadhamini CCJ.Kwa hiyo unadhani Ndugai bado ana hamu na hicho cheo ambacho mwisho wake ulikuwa 2025?
Na vipi kuhusu safari za India kuhudhuria clinic,serkali italipa gharama au yeye mwenyewe.Why Job Ndugai will still smile all the way to the bank
thecitizen.co.tz
Jan 7, 2022 12:00 PM
Even though the Speaker of Tanzania's National Assembly, Job Ndugai, has unceremoniously resigned from his post, he will still enjoy most of the pecuniary and other benefits he was accustomed to while holding the high-rank post.
According to the Political Service Retirement Benefits Act (Revised Edition of 2015) Ndugai will be very well taken care of by the government.
The law states that:
A leader who held the office of the Speaker of the National Assembly shall, upon ceasing to hold office, be granted:
(A) a gratuity of the sum equal to 50% of the total sums of moneys received by him as salaries when he held office of Speaker;
(B) An annual pension granted monthly of a sum equal to 80% of the salary of the incumbent Speaker of the National Assembly,
(C) A winding-up allowance of a sum equal to the amount that would be received as salary by the incumbent Speaker in a number of months as may be determined by the appropriate authority.
(D) One motor vehicle to be granted once and which shall be maintained by him;
(E) A driver.
(F) A diplomatic passport for him and for his spouse or spouses.
(G) Seventy litres of fuel per week;
(H) Maintenance allowance for a motor vehicle at a rate equal to 40% of fuel allowance.
Pesa ni nguvuKwani kuna shida?
Sasa kuwaza urais ni kosa?Aliwaza Urais 2025 kama Sitta alivyotamani Urais 2010-15 mpaka akadhamini CCJ.
Nachokufundisha ni kuwa wanasiasa wanachotafuta ni mamlaka ili waweze kutekeleza yale wanataka ila pesa sio issue kwao.
Hvi makonda hana hela? But pesa bila mamlaka kwa mwanasiasa ni kifo.
Wewe Una uhakika wa kumaliza Mwaka huu?
Si mnasema CCM ndio kuna demokrasia na kwamba upinzani ni uDikteta? Ko mtajuana wenyewe huko mafisadi.Sasa kuwaza urais ni kosa?
Si ndio democrasia hiyo?
Tatizo sio mpunga, tatizo ni heshima ambayo angeipata kama angestaafu kwa mujibu wa sheria hicho tu. Hata Lowassa anapata haki zote, lakini ile dhana kuwa alilazimishwa kujiuzulu ndiyo inamtesa.Why Job Ndugai will still smile all the way to the bank
thecitizen.co.tz
Jan 7, 2022 12:00 PM
Even though the Speaker of Tanzania's National Assembly, Job Ndugai, has unceremoniously resigned from his post, he will still enjoy most of the pecuniary and other benefits he was accustomed to while holding the high-rank post.
According to the Political Service Retirement Benefits Act (Revised Edition of 2015) Ndugai will be very well taken care of by the government.
The law states that:
A leader who held the office of the Speaker of the National Assembly shall, upon ceasing to hold office, be granted:
(A) a gratuity of the sum equal to 50% of the total sums of moneys received by him as salaries when he held office of Speaker;
(B) An annual pension granted monthly of a sum equal to 80% of the salary of the incumbent Speaker of the National Assembly,
(C) A winding-up allowance of a sum equal to the amount that would be received as salary by the incumbent Speaker in a number of months as may be determined by the appropriate authority.
(D) One motor vehicle to be granted once and which shall be maintained by him;
(E) A driver.
(F) A diplomatic passport for him and for his spouse or spouses.
(G) Seventy litres of fuel per week;
(H) Maintenance allowance for a motor vehicle at a rate equal to 40% of fuel allowance.
akatulie zake galilaya tu 😁😁... kabisa; akajiweke "lockdown ya daima" atakuja kutushukuru!
Hapa ndio naomba serikali hasa viongozi waone mzigo kwa walipa kodi kumhudumia huyu mtu!Why Job Ndugai will still smile all the way to the bank
thecitizen.co.tz
Jan 7, 2022 12:00 PM
Even though the Speaker of Tanzania's National Assembly, Job Ndugai, has unceremoniously resigned from his post, he will still enjoy most of the pecuniary and other benefits he was accustomed to while holding the high-rank post.
According to the Political Service Retirement Benefits Act (Revised Edition of 2015) Ndugai will be very well taken care of by the government.
The law states that:
A leader who held the office of the Speaker of the National Assembly shall, upon ceasing to hold office, be granted:
(A) a gratuity of the sum equal to 50% of the total sums of moneys received by him as salaries when he held office of Speaker;
(B) An annual pension granted monthly of a sum equal to 80% of the salary of the incumbent Speaker of the National Assembly,
(C) A winding-up allowance of a sum equal to the amount that would be received as salary by the incumbent Speaker in a number of months as may be determined by the appropriate authority.
(D) One motor vehicle to be granted once and which shall be maintained by him;
(E) A driver.
(F) A diplomatic passport for him and for his spouse or spouses.
(G) Seventy litres of fuel per week;
(H) Maintenance allowance for a motor vehicle at a rate equal to 40% of fuel allowance.
Kwahiyo kumbe ndio maana afya ya huyu mwamba inayumba sanaHata Lowassa anapata haki zote, lakini ile dhana kuwa alilazimishwa kujiuzulu ndiyo inamtesa.
Pole Sana, Mungu ndo ajuaye Kesho yake, huna haja ya kumhukumu mwenzako, tena Mungu anaweza kukupa kifo cha mateso Sana.Ndio mkuu
SafiiiMpini umeshapiga kichwa ni kutulia tu