Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,037
- 12,509
Mleta uzi nadhani kichwani ana matatizo, kikubwa ajue Mama kachafuka mno, siyo wafanyakazi wala machinga au bodaboda wote hawampendi kabisa.🤔🤔🤔🤔Ulikaa naye mkazungumza uliyoyaandika?