call me T
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 291
- 390
Mkuu huko siwezi pata ndinga kali kwa bei chee au wanacho uza huko ni vitu visivyo uzika kitaa pekeeemkuu unaweza kujaribu hizi japo baadhi tayari zimefungwa
Mkuu huko siwezi pata ndinga kali kwa bei chee au wanacho uza huko ni vitu visivyo uzika kitaa pekeeemkuu unaweza kujaribu hizi japo baadhi tayari zimefungwa
usidhani kuishi kwako tanzania inakupa guarantee ya kuwa salama.Watanipatia wapi, nipo bongo Bahati mbaya
Anahisi kuingia Dark Web ni sehemu ya mzaha mzaha ,camera tu ya PC na phone inabidi azimeusidhani kuishi kwako tanzania inakupa guarantee ya kuwa salama.
kwenye ulimwengu wa darkweb dunia ni kijiji kidogo sana.
kitufe cha location kama kipo ON kwenye smartphone yako ni rahisi sana kukupata kama mtu atakuwa na dhamira ya kufanya hivyo. ndio maana inashauriwa kuzima kitufe cha lacation.haina sababu kiwe ON mda wote.
Yaani wewe jamaa umeni copy Kila kituJF nizaidi ya chuo kikuu aisee
why unanunua nuclear bomb!Yaah huko kuna tisha sana unaweza kwenda na usirudi salama, yaani kule ni dunia nyingine, kuna jamaa anauza huko Nuclear Bomb anataka nimtumie advance billion 160, kwa njia ya Bitcoin, hapa nataka niende Nikaangalie mchakato bandarini nalipitisha hapo nione nitatoswa kodi how much na TRA.....
Ukitaka kuingia huko uwe na VPN Strong ( au uwe mkali wa network security) nawatumia DDG ( Duck Duck Go ) iko km google ,website nyingi huko ni dot Onion ,na si dot comkwa hiyo kati ya google, mozila, bing etc ipi ni browser salama
Nikishadownload orbit nafanya nini ili kuestablish VPN?Kwa upande wa simu unahitaji application mbili.
Orbot - ku-establish vpn au bridge connection
Orfox - ku-browse
For starters unaweza kutembelea deepweblinks.org kupata baadhi ya links zilizopangiliwa katika different categories
Search engine kama duckduck to go etc
Yeah ni lazima kutoka out of your comfort zone ili ugrow kama binadamuNami lazima nizame huko huu uthubut muhimu,wengine wanaweza sisi tunakalia woga tu,hela hatuna ,nyumba tunaishi za mbavu za mbwa ,liwalo na liwe , naomba maelekezo ya kina nizame huko walikojoficha na biashara zao
Yeah ni lazima kutoka out of your comfort zone ili ugrow kama binadamu
Ukikuta kuna nafasi za kazi nikumbuke na mimi mkuu