Fahamu kuhusu Saratani ya Shingo ya Kizazi. Visa vingi hutokea kwenye Nchi zenye Uchumi wa Kati na Chini

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,500
9,279
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI?

Ni mabadiliko hasi (yasiyo ya kawaida) ya chembechembe hai zilizopo kwenye shingo ya kizazi. Mara nyingi saratani hii ikiwa inaanza haionyeshi dalili yoyote hivyo mgonjwa hawezi kuchukua hatua yoyote kukabiliana na tatizo hili kwa wakati huu.

Kwa kiasi kikubwa saratani hii husababishwa na maambukizi ya mda mrefu (persistence infection) ya virusi viitwavyo Human papilloma, ambavyo huenezwa kwa njia ya kujamiiana. Kawaida mwili una uwezo wa hudhibiti maambukizi haya yaingiapo mwilini, lakini yasipodhibitiwa kikamilifu na kuwepo mwilini kwa mda mrefu husababisha ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi.

MAMBO MENGINE YANAYOCHANGIA KUPATA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

  • Kufanya ngono zembe
  • Kuwa na wapenzi wengi
  • Kukoma siku katika umri mkubwa
  • Utumiaji mafuta mengi katika chakula.
  • Kutokufanya mazoezi ya mara kwa mara.
  • Unene kupita kiasi
  • Uvutaji sigara.
  • Utumiaji wa pombe kupita kiasi.
  • Historia ya saratani ya matiti katika familia.
DALILI ZA UGONJWA WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Dalili za ugonjwa huu huanza kujitokeza baada ya tatizo kuanza kukomaa, zifuatazo ni baadhi ya dalili

  • Kutokwa na maji maji yenye harufu ukeni
  • Kutokwa damu baada ya kujamiiana
  • Kutokwa damu kusiko kwa kawaida (siyo damu ya hedhi)
  • Kuumwa mgongo na kiuno
  • Kuumwa miguu
  • Kizunguzungu na kuishiwa nguvu
NINI KIFANYIKE?

Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika au kutibika kabisa endapo itagundulika ikiwa kwenye hatua za awali.

Hivyo ni muhimu kufanya uchunguzi wa afya yako kwa kadiri utakavyoshauriwa na wataalam wa afya

Wanawake wote walio na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea wanatakiwa kufanya uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi.

Kumbuka: Wakati wa uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi ni sasa usisubiri hadi uone dalili, fika kituo cha huduma za afya kwa ushauri/mwongozo Zaidi,
 
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI?

Ni mabadiliko hasi (yasiyo ya kawaida) ya chembechembe hai zilizopo kwenye shingo ya kizazi. Mara nyingi saratani hii ikiwa inaanza haionyeshi dalili yoyote hivyo mgonjwa hawezi kuchukua hatua yoyote kukabiliana na tatizo hili kwa wakati huu.

Kwa kiasi kikubwa saratani hii husababishwa na maambukizi ya mda mrefu (persistence infection) ya virusi viitwavyo Human papilloma, ambavyo huenezwa kwa njia ya kujamiiana. Kawaida mwili una uwezo wa hudhibiti maambukizi haya yaingiapo mwilini, lakini yasipodhibitiwa kikamilifu na kuwepo mwilini kwa mda mrefu husababisha ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi.

MAMBO MENGINE YANAYOCHANGIA KUPATA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

  • Kufanya ngono zembe
  • Kuwa na wapenzi wengi
  • Kukoma siku katika umri mkubwa
  • Utumiaji mafuta mengi katika chakula.
  • Kutokufanya mazoezi ya mara kwa mara.
  • Unene kupita kiasi
  • Uvutaji sigara.
  • Utumiaji wa pombe kupita kiasi.
  • Historia ya saratani ya matiti katika familia.
DALILI ZA UGONJWA WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Dalili za ugonjwa huu huanza kujitokeza baada ya tatizo kuanza kukomaa, zifuatazo ni baadhi ya dalili

  • Kutokwa na maji maji yenye harufu ukeni
  • Kutokwa damu baada ya kujamiiana
  • Kutokwa damu kusiko kwa kawaida (siyo damu ya hedhi)
  • Kuumwa mgongo na kiuno
  • Kuumwa miguu
  • Kizunguzungu na kuishiwa nguvu
NINI KIFANYIKE?

Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika au kutibika kabisa endapo itagundulika ikiwa kwenye hatua za awali.

Hivyo ni muhimu kufanya uchunguzi wa afya yako kwa kadiri utakavyoshauriwa na wataalam wa afya

Wanawake wote walio na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea wanatakiwa kufanya uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi.

Kumbuka: Wakati wa uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi ni sasa usisubiri hadi uone dalili, fika kituo cha huduma za afya kwa ushauri/mwongozo Zaidi,
Kama umewahi kupitia changamoto hiyo na hujapata matibabu au unamjua rafiki na ndugu pia Basi wasiliana nasi tukupatie huduma bila kufanya upasuaji. Gombeyehealthcare. Tunapatikana Dar es salaam ILALA. Na mikoani kote Tunatoa huduma. Mawasiliano yetu no;+255 678 211 747
+255 733 482 038.
 
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI?

Ni mabadiliko hasi (yasiyo ya kawaida) ya chembechembe hai zilizopo kwenye shingo ya kizazi. Mara nyingi saratani hii ikiwa inaanza haionyeshi dalili yoyote hivyo mgonjwa hawezi kuchukua hatua yoyote kukabiliana na tatizo hili kwa wakati huu.

Kwa kiasi kikubwa saratani hii husababishwa na maambukizi ya mda mrefu (persistence infection) ya virusi viitwavyo Human papilloma, ambavyo huenezwa kwa njia ya kujamiiana. Kawaida mwili una uwezo wa hudhibiti maambukizi haya yaingiapo mwilini, lakini yasipodhibitiwa kikamilifu na kuwepo mwilini kwa mda mrefu husababisha ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi.

MAMBO MENGINE YANAYOCHANGIA KUPATA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

  • Kufanya ngono zembe
  • Kuwa na wapenzi wengi
  • Kukoma siku katika umri mkubwa
  • Utumiaji mafuta mengi katika chakula.
  • Kutokufanya mazoezi ya mara kwa mara.
  • Unene kupita kiasi
  • Uvutaji sigara.
  • Utumiaji wa pombe kupita kiasi.
  • Historia ya saratani ya matiti katika familia.
DALILI ZA UGONJWA WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Dalili za ugonjwa huu huanza kujitokeza baada ya tatizo kuanza kukomaa, zifuatazo ni baadhi ya dalili

  • Kutokwa na maji maji yenye harufu ukeni
  • Kutokwa damu baada ya kujamiiana
  • Kutokwa damu kusiko kwa kawaida (siyo damu ya hedhi)
  • Kuumwa mgongo na kiuno
  • Kuumwa miguu
  • Kizunguzungu na kuishiwa nguvu
NINI KIFANYIKE?

Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika au kutibika kabisa endapo itagundulika ikiwa kwenye hatua za awali.

Hivyo ni muhimu kufanya uchunguzi wa afya yako kwa kadiri utakavyoshauriwa na wataalam wa afya

Wanawake wote walio na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea wanatakiwa kufanya uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi.

Kumbuka: Wakati wa uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi ni sasa usisubiri hadi uone dalili, fika kituo cha huduma za afya kwa ushauri/mwongozo Zaidi,
inaweza kusaidia, kuponya, kutibu au kuzuia ...

Kuuma Misuli

Ugonjwa wa Asidi Reflux (Reflux Acid)

Ugonjwa wa Arthritis

Pumu

Fizi za Kutokwa na damu

Majipu

Ugonjwa wa utumbo

Saratani

Cholesterol

Ugonjwa wa Uchovu wa muda mrefu

Kuvimbiwa

COPD

Ugonjwa wa Crohns

Ugonjwa wa ngozi

Kisukari

Diverticulum

Eczema

Fibromyalgia

Malengelenge sehemu za siri

Gout

Homa ya nyasi

Bawasiri na Rundo la Kutokwa na Damu

VVU

Shughuli ya kuzuia virusi na uvimbe: Vitendo hivi vinaweza kutokana na athari zisizo za moja kwa moja au za moja kwa moja. Athari ya moja kwa moja ni kutokana na kusisimua kwa mfumo wa kinga na athari ya moja kwa moja ni kutokana na anthraquinones. .anthraquinone aloin huzima virusi mbalimbali vilivyofunikwa kama vile herpes simplex, varisela zosta na influenza.

Shinikizo la damu

Cystitis

Ugonjwa wa Utumbo unaowaka (IBS)

Maumivu ya Viungo

Mawe kwenyeFigo

Ini

Lupus

Malaria

Migraine
.Milia

Pancreatitis

Psoriasis

Ugonjwa wa Rhematism

Scalds

Matatizo ya Sinus

Athari za Ngozi kutoka kwa Tiba ya Mionzi

Tendinitis

Neuralgia ya Trigeminal

Colitis ya Vidonda

Vidonda vya Mdomo

Vidonda vya Ngozi

Vidonda vya Tumbo

Mshipa wa Varicose

Inaweza kusaidia mifupa yako kuwa na afya kadri umri unavyosonga

Husaidia misuli yako kufanya kazi vizuri

Afya ya usagaji chakula

Bidhaa hii ina virutubisho kama vitamin 12 ikiwemo B12, madini 20 , amino acid 18 na enzymes.

.AloeTFCG
 
Back
Top Bottom