Fahamu kuhusu sanduku la kura na karatasi ya kupigia kura

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
624
934
79973022-D7A6-423B-8850-C8717E868FFD.jpeg


Kwa mujibu wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi kifungu cha 58 kifungu kidogo cha 1, sanduku la kura linatakiwa kutengenezwa kwa namna ambayo inamruhusu mpiga kura kuweza kuweka karatasi ya kura bila kuweza kuitoa

Kifungu kidogo cha pili kinasema kuwa kabla mchakato wa kupiga kura haujaanza, msimamizi kwenye kila kituo anatakiwa kuonesha sanduku la kura lililo tupu kwa watu waliopo katika eneo hilo kihalali ili waweze kuthibitisha kuwa halina kitu chochote

Baada ya hapo anatakiwa kulifunga sanduku hilo na kuliwekea utepe au muhuri ambao utalizuia kufunguka bila kukata utepe huo na kuliweka tayari kwa ajili ya kupokea karatasi za kura huku likiwa limefungwa

Karatasi ya Kupigia Kura

Kifungu cha 59 kinazungumza kuhusu namna karatasi ya kura inavyotakiwa kuwa

a) Inatakiwa kujumuisha yafuatayo;

- Jina kamili la mgombea

- Picha ya mgombea ya hivi karibuni, iliyopigwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu

- Kifupisho au logo ya chama cha siasa kinachomfadhili mgombea husika

b) Inatakiwa kuwa na uwezo wa kukunjika

c) Inatakiwa kuambatana na nakala yenye namba ya mfululizo(serial number)
 
IVYO

Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi ya Taifa kifungu cha 58 kifungu kidogo cha 1, sanduku la kura linatakiwa kutengenezwa kwa namna ambayo inamruhusu mpiga kura kuweza kuweka karatasi ya kura bila kuweza kuitoa

Kifungu kidogo cha pili kinasema kuwa kabla mchakato wa kupiga kura haujaanza, msimamizi kwenye kila kituo anatakiwa kuonesha sanduku la kura lililo tupu kwa watu waliopo katika eneo hilo kihalali ili waweze kuthibitisha kuwa halina kitu chochote

Baada ya hapo anatakiwa kulifunga sanduku hilo na kuliwekea utepe au muhuri ambao utalizuia kufunguka bila kukata utepe huo na kuliweka tayari kwa ajili ya kupokea karatasi za kura huku likiwa limefungwa

Karatasi ya Kupigia Kura

Kifungu cha 59 kinazungumza kuhusu namna karatasi ya kura inavyotakiwa kuwa

a) Inatakiwa kujumuisha yafuatayo;

- Jina kamili la mgombea

- Picha ya mgombea ya hivi karibuni, iliyopigwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu

- Kifupisho au logo ya chama cha siasa kinachomfadhili mgombea husika

b) Inatakiwa kuwa na uwezo wa kukunjika

c) Inatakiwa kuambatana na nakala yenye namba ya mfululizo(serial number)
Kwenye karatasi za kura za urais za Uchaguzi Mkuu wa 2020, picha ya kwanza, picha iliyo juu kabisa ni ya MSHINDI DR.JOHN MAGUFULI! Hivyo mpiga kura usihangaike kumtafuta mshindi wako, wewe angalia JUU TU na weka alama ya "PATA" kwenye hicho chumba cha JUU KABISA au siyo!
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom