alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,637
- 5,746
Ni porojo tu, hakuna ulazima wowote wa kuminya mishipa wakati wa punyeto na hakuna ulazima wa kumaliza haraka kama unavyodai,JINSI PUNYETO INAVYOWAMALIZA VIJANA.
Habari ninasaidia vijana kuondokana na tatizo la nguvu za kiume leo nimeamua kushare na nyinyi “jinsi punyeto inavyomaliza vijana”. Unapopiga punyeto unakuwa unaiminyamishipa ya uume ambayo ndio inafanya uume usimame matokeo yake unaifanya mishipa hiyo ilegee na kutokuwa na uwezo wa kupitisha damuya kutosha...
badala yake unaweza kutumia muda mrefu zaidi kufanya punyeto kuliko kufanya na mtu, hii ni kwa sababu you stand to be the only who control the process, this is done by slowing down massaging when ejaculation comes
Kuwa na mtu it's kinda hard sababu mwenzako anaweza asijue au asijali kama unaelekea mwisho hivyo akaongeza kasi badala ya kupunguza, ndio early ejaculation hutokea
Haya hapa ndio mambo machache MUHIMU unayotakiwa kuyajua ili kufanya punyeto salama isiyo na madhara yoyote:
1. Fanya bila kuminya misuli
2. Fanya taratibu bila kusugua au kutumia nguvu (slow massaging)
3. Usifanye kwa target ya kumaliza haraka, punguza massaging kila unapoelekea kukojoa
4. Fanya kwa kutumia lotion au lubricant kama KY Kelly (usitumie sabuni au mafuta mazito au ya mgando)