Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

Kwa uelewa wangu wa kutumia gari za auto kwa muda marefu ni kuwa overdrive ina tumuka kuaccerelate gari mfano wakati wa kuovertake au umeshuka mlima na 130 unataka kupanda kilima kingine labda na 100 hivi ndo inaiweka na kweli spidi haitafika hata chini ya mia ila ukiwa tambarare na viinuko vidogo ni vema ukazima overdrive ili gear zote 5 ziwe engaged, so overdrive ni kama turbo kwenye magari yasiyo na turbo yaani huipa nguvu gari ila si ya kutumia wakati wote, kwa wali ambao magari yao hayana overdrivr ni vema ku overtake kwa kuweka namba 2 ili usije kutana na gari mbele inakuwa fsta kuliko kawaida ila rudisha D haraka ukishalipita gari la mbele.
Hiyo point si inaifanya gari kuwa nzito ama?!
 
Jibu rahisi. Tumia overdrive unapokuwa unaendesha zaidi ya 50kph. Chini ya hapo usitumie. Ukitumia overdrive muda wote hata pale unapoendesha chini ya 50kph, utasababisha madhara makubwa kwenye gari yako.
 
aaaah ! Sasa nyie mmenikoroga kabisa ! Nikiwa sijabonyeza buton, gari iko kawaida tu, lakini nikiweka OD OFF gari ni nyepesi na inaondoka ile mbaya, ila rpm inakuwa juu. Sasa wakati gani niitumie?
Ipo hivi, unapoendesha gari yako, kama upo speed chini ya 60km/h, then usihangaike kuweka overdrive, na utajua overdrive ipo off kama pale kwenye dashboard itaonyesha kataa kale kalikoandikwa OD/OFF.

Ila ukiwa upo barabara mnyooko na hakuna foleni wala traffic wa speed limit, then ichochee gari mshale wa speed ukishafika mitaa ya 60km/h pale then bonyeza kale kabatani ka Overdrive na kale kataa katazima pale kwenye dashboard then utasikilizia utamu namna gari itakuwa nyepesi kama ndege.....


Pia mfano unasafiri na unataka kuovertake labda lorry au bus..... Then hakikisha usalama kuwa unaona mbele kupo clear hakuna gari inayokuja then achia pedal kidogo kuwe na nafasi kati yako na gari unayotaka kuiovertake then kanyaga uichochee gari hadi ifike speed ya 60km /hr kisha papo hapo bonyeza Overdrive kuiwasha then endelea kuchochea ili gari izidi kuchapa lami kwa kasi. Na unaweza kutambaa nayo hadi pale utapoona unataka kutembea speed ndogo then unaitoa......
 
Ipo hivi, unapoendesha gari yako, kama upo speed chini ya 60km/h, then usihangaike kuweka overdrive, na utajua overdrive ipo off kama pale kwenye dashboard itaonyesha kataa kale kalikoandikwa OD/OFF.

Ila ukiwa upo barabara mnyooko na hakuna foleni wala traffic wa speed limit, then ichochee gari mshale wa speed ukishafika mitaa ya 60km/h pale then bonyeza kale kabatani ka Overdrive na kale kataa katazima pale kwenye dashboard then utasikilizia utamu namna gari itakuwa nyepesi kama ndege.....


Pia mfano unasafiri na unataka kuovertake labda lorry au bus..... Then hakikisha usalama kuwa unaona mbele kupo clear hakuna gari inayokuja then achia pedal kidogo kuwe na nafasi kati yako na gari unayotaka kuiovertake then kanyaga uichochee gari hadi ifike speed ya 60km /hr kisha papo hapo bonyeza Overdrive kuiwasha then endelea kuchochea ili gari izidi kuchapa lami kwa kasi. Na unaweza kutambaa nayo hadi pale utapoona unataka kutembea speed ndogo then unaitoa......
Mnachotuchanganya wataalam kwenye hii Mada ni jambo dogo tu, ni wakati gani OD inakuwa ON, ikiwa taa inawaka kwenye Dash board au haiwaki??
 
Mnachotuchanganya wataalam kwenye hii Mada ni jambo dogo tu, ni wakati gani OD inakuwa ON, ikiwa taa inawaka kwenye Dash board au haiwaki??
Hata mm wananichanganya madereva wa Automatic
ukitaka kupata speed kali wanasema zima OD
ukitaka overtake ili upate nguvu /speed washa OD
Ila ukiwa upo barabara mnyooko na hakuna foleni wala traffic wa speed limit, then ichochee gari mshale wa speed ukishafika mitaa ya 60km/h pale then
bonyeza kale kabatani ka Overdrive na kale kataa katazima pale kwenye dashboard then utasikilizia utamu namna gari itakuwa nyepesi kama ndege.....
Pia mfano unasafiri na unataka kuovertake labda lorry au bus..... Then hakikisha usalama kuwa unaona mbele kupo clear hakuna gari inayokuja then achia pedal kidogo kuwe na nafasi kati yako na gari unayotaka kuiovertake then kanyaga uichochee gari hadi ifike speed ya 60km /hr kisha papo hapo bonyeza Overdrive kuiwasha then endelea kuchochea ili gari izidi kuchapa lami
 
Hata mm wananichanganya madereva wa Automatic
ukitaka kupata speed kali wanasema zima OD
ukitaka overtake ili upate nguvu /speed washa OD
Mimi gari yangu RAV4 nikitaka nipande mlima kwa spidi kali,nabonyeza kitufe cha OD,kitaa kinawaka kwenye dashboard na gari inaenda kwa spid Kali.nikipunguza mwendo nakibonyeza tena na kinazima kwenye dashboard.Niliambiwa kuwa OD ikiwa on inawaka kwenye dashboard,ikiwa off kitaa kinazima.sasa nafikiri wataalam pamoja na ufafanuzi wenu nzuri kabisa,lakini bado kuna utata kidogo juu ya taa ya OD inawaka ikiwa on au off?kwangu mimi najua ikiwaka ndiyo iko on
 
Jibu rahisi. Tumia overdrive unapokuwa unaendesha zaidi ya 50kph. Chini ya hapo usitumie. Ukitumia overdrive muda wote hata pale unapoendesha chini ya 50kph, utasababisha madhara makubwa kwenye gari yako.
Madhara yapi? Elezea kitaalamu. Maana mimi natumia miaka yote ikiwa on na sijawahi pata tatizo la gari.
 
Mimi gari yangu RAV4 nikitaka nipande mlima kwa spidi kali,nabonyeza kitufe cha OD,kitaa kinawaka kwenye dashboard na gari inaenda kwa spid Kali.nikipunguza mwendo nakibonyeza tena na kinazima kwenye dashboard.Niliambiwa kuwa OD ikiwa on inawaka kwenye dashboard,ikiwa off kitaa kinazima.sasa nafikiri wataalam pamoja na ufafanuzi wenu nzuri kabisa,lakini bado kuna utata kidogo juu ya taa ya OD inawaka ikiwa on au off?kwangu mimi najua ikiwaka ndiyo iko on
Taa ya overdrive ikiwa maana yake ipo Off. Ukibonyeza ikazima maana yake Ipo On. Wengi wanachanganya. Kama unaendesha au umepark ile taa inawaka maana yake huja engage over drive.
 
Mimi gari yangu RAV4 nikitaka nipande mlima kwa spidi kali,nabonyeza kitufe cha OD,kitaa kinawaka kwenye dashboard na gari inaenda kwa spid Kali.nikipunguza mwendo nakibonyeza tena na kinazima kwenye dashboard.Niliambiwa kuwa OD ikiwa on inawaka kwenye dashboard,ikiwa off kitaa kinazima.sasa nafikiri wataalam pamoja na ufafanuzi wenu nzuri kabisa,lakini bado kuna utata kidogo juu ya taa ya OD inawaka ikiwa on au off?kwangu mimi najua ikiwaka ndiyo iko on
Na hapa ndipo watu wengi wanajimix. Taa ya OD/OFF ikiwa inawaka kwenye dashboard kama ilivyo kawaida ya gari nyingi za toyota, ina maanisha kuwa umezima au umedisengage Over drive kwenye Gari yako, but Taa ya OD/OFF ikiwa imezimika , haionekani katika dashboard then jua Over drive Function imewaka au ume'engaged katika gari yako.
 
Na hapa ndipo watu wengi wanajimix. Taa ya OD/OFF ikiwa inawaka kwenye dashboard kama ilivyo kawaida ya gari nyingi za toyota, ina maanisha kuwa umezima au umedisengage Over drive kwenye Gari yako, but Taa ya OD/OFF ikiwa imezimika , haionekani katika dashboard then jua Over drive Function imewaka au ume'engaged katika gari yako.
Daaa..., kwahyo tutembee taa ya O/D ikiwa inawaka kwenye dashboard au ikiwa imezima mkuu....?
 
Mnachotuchanganya wataalam kwenye hii Mada ni jambo dogo tu, ni wakati gani OD inakuwa ON, ikiwa taa inawaka kwenye Dash board au haiwaki??
Taa ya OD/OFF ikiwa inawaka pale kwenye Dashboard maana yake umezima Overdrive yaani haitumiki. Kinyume chake ni ile taa ikizima baada ya wewe kubonyeza button ya Over drive it means umewaiwasha.
 


dashboard inatakiwa iwe clean!
Isioneshe sign yoyote kwa gari isiyo na tatizo..

Kwa kifupi hiyo O/D haitakiwi kuwaka unapoendesha katika mazingira ya kawaida!!
Ile taa ikiwa ina waka maana yake umezima Overdrive, ikizima maana yake umewasha overdrive. Mbona hii kitu ni very simple inawachanganya wapi?!
 
Daaa..., kwahyo tutembee taa ya O/D ikiwa inawaka kwenye dashboard au ikiwa imezima mkuu....?
Kwakifupi nakushauri fanya hivi. Tumia overdrive ukiwa barabara iliyonyooka ambayo utatembea muda mwingi above speed 60km/h.

Sababu overdrive inatumika mazingira ambayo gari itakuwa katika high speed muda mrefu na haitakuwa rough road yaani utaweza kanyaga kwa muda mrefu kibati.

Ukiwa mazingira ambayo hauwezi kimbiza sana yaani unakwenda kwa mwendo wa taratibu below 60km/h, then hauna haja ya kuweka overdrive mode iwe on.

Over drive ikiwa on taa inakuwa haiwaki pale kwenye Dashboard inazimika baada ya button kubonyezwa.

Ikiwa Off ile taa itawaka pale kwenye dashboard ikiwa na maandishi OD/OFF.
 
Ile taa ikiwa ina waka maana yake umezima Overdrive, ikizima maana yake umewasha overdrive. Mbona hii kitu ni very simple inawachanganya wapi?!
Wengi wanaamini ikiwaka ni ishara kwamba O/D iko on!

sasa wanapokutana na habari ya kutakiwa kutoonekana kwenye dash basi wanavurugika!

Vilevile wengi hawaijui kabisa, akiiona inawaka halafu asikie gari inavuma anajua ndo inafanya kazi, pia akiiwasha ikatoweka kwenye dash anajua ndiyo ameizima!!
 
Wengi wanaamini ikiwaka ni ishara kwamba O/D iko on!

sasa wanapokutana na habari ya kutakiwa kutoonekana kwenye dash basi wanavurugika!

Vilevile wengi hawaijui kabisa, akiiona inawaka halafu asikie gari inavuma anajua ndo inafanya kazi, pia akiiwasha ikatoweka kwenye dash anajua ndiyo ameizima!!
Kuna mabwege nimebishana nayo hapa nayaelekeza yananibishia na kuniona mimi ninaongea nisichokijua.

Wakampigia fundi akasema ikiwaka taa ndio ipo On ikizima ndio ipo off. Nikasema duh....... Huu ni mtihani. Kama fundi nae kapotoka hivi na wale mabwege ndio wakazini kuchochea kuwa sasa nambishia hadi fundi. Nikaona hapa hii ni case ya milembe hawa siwezi bishana nao wakanielewa. Maana sio tu hawana ufahamu hawajui hata hii kitu inafanya kazi vipi.
 
Back
Top Bottom