Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,130
- 1,371
kuna mdhara gani ukiweka gear ktk L,au 2 ukiwa ktk mwendo.?
Kwa ufahamu wangu OD ikiwa off yaani taa kwenye dashboard inawaka fuel consumption inakuwa low na speed inafika hadi 130 km/h na fuel rotation haipandi kuzidi 3 lakini OD ikiwa ON yaani taa imezima fuel consumption lazima itakuwa kubwa sbb umeweka extra power na hapo speed ni hadi unamaliza dashboard na rotation inafika 5.
USHAURI: usiendeshe gari OD ikiwa ON kwa maeneo ya mjini sbb ni wastage of fuel na kama upo long safar weka OD ON kama una overtake tu na si vinginevyo.
MKUU haupo sawa hata kidogo Kwa faida nitakueleza ukipenda ila Kwa hasara endelea kudanganya wana JF ila mi nimeshuka Kwenye gari yako safiri salamaMagari mengi taa ya OD inapaswa kuwaka Kama Ikimaanisha Over drive iko Off, Na iwe Imezima ikamaanisha OverDrive iko On.
Sasa nimegundua wengi wakiona taa inawaka huminya Button ili izime Kumbe ndio wameweka kwnye OD.
Ngoja niwachambulie kuhusu taa kuwaka na overdrive yenyewe:
Kuhusu taa:
Taaa yoyote inapowaka wakati engine iko on, humaanisha kuwa kuna hitilafu inabidi irekebishwe. Unapoweka switch on kwenye dashboard, taa mbali mbali huwaka na unapowasha gari, taa zote huzima. Mathalani taa ya airbag ikiwaka au ya betri ikiwaka au ya oili ikiwaka, au ya over drive ikiwaka, inaonesha kuwa eneo hilo linashida na inabidi ufanye kitu ili taa hiyo ijizime.
Kuhusu over drive:
Tuchukue mfumo wa gari ya manual ili kuelezea maana ya over drive. Gari za zamani za manual zilikuaw na gear mwisho nne, lakini kutokana na kukua kwa teknolojia, wakagundua mtoto wa gearbox ambaye uki mu engage, gari inahama kutoka kutumia gearbox ya kawaida kwenye gear namba nne, na kuanza kutumia mtoto wa gear box ambaye kwenye gari ya manula itakuwa gear namba tano hadi sita kwa baadhi ya magari lakini kwenye gari ya automatic unapotumia mtoto wa gearbox ina maana unatumia gear ya over drive!
Kwa hiyo ili engine izunguke kidogo kwenye speed kubwa na ili uweze kuokoa mafuta, kwa gari ya manual utatumia gear namba tano, na kwe gari ya auto utatumia over drive. Kwa hiyo unapozima gear ya over drive, inamaana unaacha kutumia mtoto wa gearbox na hivyo gari itatumia gear kubwa kubwa, na hilo husababisha engine kuzunguka sana na mafuta kwenda kwa wingi. Kwa kifupi unapoendesha gari, taa ya over drive inabidi iwe imezimika wakati wote isipokuwa kwa vipindi maalum ambapo gari itahitaji nguvu ya ziada kama vile kuovertake au kupandisha milima.
Over Drive OD if you turn it on the light will go off.... Kama upo katika mazingira ya kawaida sio highway, hakuna milima, you don't overtake, unaendesha kawaida inatakiwa kuwa taa inawaka ikiwa ina masha kuwa OD off
Taa kuwaka mara nyingi uhashiria kuna taadhari lakini kwa OD ni tofauti. Opposite
Ukiendesha hakikisha kwenye dashboard hakuna taa yoyote inawaka zaidi ya zile za gearliver tu.
Ha ha ha! Hili somo la over drive linaonekana ni gumu sana! Ingekuwa mtihani, wengi mngepata division five!
Asante mkuu, naomba kukuamini
Lesseni za vichochoroni hizi kazi kweli kweli
Taa yoyote Ile inayowaka kwenye dashboard maanake ni "alert" au sijui niseme alarm kuwa either kuna kitu hakipo Sawa na unapaswa uchunguze au Kama umechunguza na ukaamua kuendesha hivyo hivyo manaake ni kuwa umekielewa hicho kisicho Sawa na umekusudia kutembea hivyo hivyo. Kuanzia indicator, hazard lights, Taa za kawaida, full lights, kufunga mkanda, betrii, oil check, Taa iliyoungua pamoja na hiyo OD. Dashboard inatakiwa iwe clear.
BTW Pale kwenye alert ya OD kuna hadi Taa za kucheki Kama airbags ziko zinafanya kazi au hazifanyi na sensor yake isipoziditect itawaka pia.
mm kwa hili nakussuport saana . na ndio watu wanabisha .
huwezi zima taa /OD ON ,while gari iko kwnye speed ndogo . .. utawaiweka ON pale tu ambapo Uko kwenye speed saana na ushamaliza Gear Zote kubwa .
Aaaargh...kwani na baskeli yangu inayo?
kumbe kuna watu wanamagari halafu bado kuna vitu hawajui kazi zake
Hizi ndo Gear za kiumeni
TUNAITA
TONGE
NYAMA
Ndiyo MKUU kama ni mountain bike inayo sana
Ukiendesha hakikisha kwenye dashboard hakuna taa yoyote inawaka zaidi ya zile za gearliver tu.
Kawaida taa ya Over Drive ikiwa on gari huwa nyepesi sana na inatafuna sana mafuta...taa ikizima means Over Drive iko off na ndio normality yake....make sure km upo mjini au sehemu ambayo huhitaji kuendesha speed kali taa ya OD iko off ili ku-serve mafuta???