CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Kwa ninu unasema Miko ya Iringa ba Morogoro? Je unajua Morogoro wanalima kule Milimani?
Usiseme miko hiyo ilihali hata Singida Au Dodoma unalima.
Kizingiti kikubwa ni Joto na hii na kwa.mikoa ya Pwan kama Dar, Tanga, Pwani, Mtwara na Lindi. Na hat Morogoro huku ukanda wa chini.
Usiseme miko hiyo ilihali hata Singida Au Dodoma unalima.
Kizingiti kikubwa ni Joto na hii na kwa.mikoa ya Pwan kama Dar, Tanga, Pwani, Mtwara na Lindi. Na hat Morogoro huku ukanda wa chini.