Fahamu kuhusu kada ya biotechnology (bioteknolojia) na majukumu ya wataalamu wa bioteknolojia

Hayo ndio mambo yangu mkuu, hata ukiniamsha toka usingizi tunalianzisha kushuka
Congratulation for all mchemia wa GOT, tutengenezee basi ata chanjo ya Corona achana na mambo ya madesa ya wazungu walio tafiti wao ss tunakaa kumeza.

Usiumize kichwa kwa kitu kilichopo, umiza kichwa kwa vitu ambavyo havipo, mfano tiba za virus,
 
Subiri nichukue hii nchi utanielewa tu
Nchi inaongozwa na mwanasayansi Tena Chemist Kama wewe; Raisi wa Zanzibar Ni Mwanasayansi vilevile...Makamu wa Raisi awamu ya Kikwete Dr.Bilal Ni Mwanasayansi mkubwa Duniani....na licha ya hao wote tupo Hapa tulipo...

What is it that you will do that is so exceptional that everybody else has failed to do lakini wewe utafanya???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa haraka sijaona sababu ya kucopy mtandaoni ...kama upo smart mkuu in 5lines ungenitajia mechanism ya drug design na drug targets simply tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu, mbona unatudanganya? Jaribu kufanya simple research kabla ya kushusha uzi mrefu uliojaa uongo.
Hapo nilikuwa namprovia kuwa haya mambo sio siasa, hiyo kazi ya ugunguzi wa dawa ni ya Kemia, kwa mimi ninavyo elewa kwenye uvumbuzi wa madawa kuna hawa watu Biochemist, medicinal chemist, organic chemist, pharmacist, na watu wa molecular biology. Kwasababu hayo madawa ni ma organic compound biotechnology hizo reaction hawezi kuzielewa bila hao wakemia hapo
Naona mnaandika maherufi meengi..

Je kuna mtu anafanya tafuti ya vaccine au dawa ya korona hapa tz?

Watu wanakufa je hiyo kemia yako inatusaidiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mnaandika maherufi meengi..

Je kuna mtu anafanya tafuti ya vaccine au dawa ya korona hapa tz?

Watu wanakufa je hiyo kemia yako inatusaidiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachokifanya Ni kujimwambafy kwamba wako smart, wamesoma vitu complex, Kada Hii Ni ya muhimu kuliko Hii, Sisi Ni "Watabe" kuliko wale ,Tuliosoma Chuo hiki Yuko vizuri kuliko wale , and the like....

"Motives" behind vitu wanavyosoma/kufanya Waafrika Hasa Watanzania Ni vitu vya ajabuajabu na si kutumikia watu kupitia Talanta walizopewa , ndo Mana wanaishia kujimwambafy tu Bila kutoa majibu yenye mantiki hata kwa vitu simple tu tunavyowauliza hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom