Hisa ni nini?
Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa inawakilisha asilimia fulani ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji (mwanahisa) anamiliki hisa 100,000 mwekezaji huyu anamiliki 10% ya kampuni. Mwekezaji anayenunua hisa basi ananunua haki ya kumiliki kampuni.
Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa inawakilisha asilimia fulani ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji (mwanahisa) anamiliki hisa 100,000 mwekezaji huyu anamiliki 10% ya kampuni. Mwekezaji anayenunua hisa basi ananunua haki ya kumiliki kampuni.