Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Hahahahaha hili ndio tatizo la waajiriwa. Kibarua ni muhimu kuliko biashara yako ningekuwa mm nisinge andika kitu kama hiki. Labda tu nisema hiki ndio kinachofanya watumishi wengi washindwe kuwa na biashara zilizofanikiwa kwani hata usipouza unajua hautalala njaa si mshahara upo sasa ya nn uhangaike kubembeleza wateja. Hivi unafikiri Mengi angeajiriwa na wakat huo huo ameanzisha IPP media yake had leo ingekuwepo?
Pia umesema wewe umeanzisha hiyo biashara kutokana na ushawishi wa huyo msichana wako that means ni wazo lake ila mtaji wako sasa tarajia akipata mtaji wake kupitia mtaji wako atakuacha na mtaji wako ukiwa ule ule au umepungua. Pia nikisoma comments zako between lines sioni kama upo serious.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una jicho kama langu..!andika tu unaoba huyu hana commitment kbs