Kifalsafa Hofu ni siraha ya maangamizi!
Kama ni vita basi KORONA inaingia ulingoni ikiwa na point moja ya ushindi ambayo ni hofu!
Hofu hupunguza nguvu ya IMMUNITY kufanya kazi! Kwahiyo hofu inaondoa uwezo wa kupambana na ugonjwa wa korona by 50%
 
Yaani malaria licha ya kuwepo na tiba pamoja na njia za kujikinga lakini kwa mwaka inaua watu mpaka laki 5 ila tunaiona ya kawaida na hata hatukumbuki kulala na vyandarua,

Huu ugonjwa bado haujapatiwa dawa lakini ndani ya miezi 4+ fatality ni 7000 kasoro ila tunauogopa sana.

Sijui kwa sababu mkubwa kasema?

Sent using Jamii Forums mobile app
I bet wazee wanaokufa ni sababu ya ugonjwa wa moyo, panic ndio inayouwa watu sio COVID-19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huu ugonjwa umefika kweli Tanzania au tunatishana tishana?

Nimejiuliza tu, mnisamehe kama nimekosea.

IMG-20200316-WA0015.jpeg
IMG-20200316-WA0015.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom