Bora kuwa muoga kuliko kuwa zuzu.waafrika wengi ni mazuzu hasahasa kutoka tanzania wale wa lumumba.
 
We Tabutupu unashangaza kweli. Hao jamaa si waoga,bali wanazingatia tahadhari.

Umeshawahi kutafakari kuhusu ujasiri wa Mzungu kwenda Sayari za mbali (Mars na Mwezini) kwa mwendo wa maelfu ya maili, huku hawajui kule wangekutana na viumbe wa aina gani au hatari gani?

Leo kuna wasomi vijana wa Kiafrika ni waoga kupangiwa kazi vijijini, wanaogopa mazingira ya huko Ila Wazungu hawakuogopa kwenda kwenye mapori manene ya Africa na America kwenye miaka ya 1400s, na bado hawaogopi kwenda to the space.

Sisi UJINGA wetu ndo tunaufanya ujasiri. Na kama ni ujasiri basi tunao kwenye mambo ya KIPUMBAVU.
 
Janga la corona, limedhihirisha kwamba wazungu ni waoga, sijui kwa sababu wote wamesoma.. unajua kuto kusoma nako ni faida kwa kuchukulia mambo poa.

Wazungu saizi wanaogopa corona kuliko hata simba wakati africa bando matangazo ya disco na sherehe yanaendelea kubandikwa.

Tumeona wazungu wakikimbia africa, wana amini watakufa na corona, lakini cha kushangaza hakuna corona africa kama ilivyo kwa wazungu.

WHO ilitabiri kuona maiti zikizagaa wakasahahu kwamba bara la africa ndilo lenye binadamu fit wenye afya kuliko mabara mengine. Africa hakuna huduma za afya ukiona mtu anatembea ujue yupo fit.
Sio UOGA, ila wanajua thamani ya UHAI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini umeshajiuliza kuhusu life span yao na yetu? Manake sio tu kusema mtu yuko fiti lakini hatoboi zaidi ya miaka 60 wakati hao 'waoga' wanadunda hadi miaka 100

Sent using Jamii Forums mobile app
Lifespan inategemea mungu kakuamuliaje na kwenye vitu vichache sana ambavyo hata wewe ukivifanya utaishi miaka mingi tu .

1.lishe bora .
2.malazi bora.
3.usiwe na mawazo/stress.
4.furaha.

Ukifanya hayo sahau kuugua mara kwa mara na pia utaishi miaka mingi tu.

《Caprichar o teu sorriso》
 
We Tabutupu unashangaza kweli. Hao jamaa si waoga,bali wanazingatia tahadhari.

Umeshawahi kutafakari kuhusu ujasiri wa Mzungu kwenda Sayari za mbali (Mars na Mwezini) kwa mwendo wa maelfu ya maili, huku hawajui kule wangekutana na viumbe wa aina gani au hatari gani?

Leo kuna wasomi vijana wa Kiafrika ni waoga kupangiwa kazi vijijini, wanaogopa mazingira ya huko Ila Wazungu hawakuogopa kwenda kwenye mapori manene ya Africa na America kwenye miaka ya 1400s, na bado hawaogopi kwenda to the space.

Sisi UJINGA wetu ndo tunaufanya ujasiri. Na kama ni ujasiri basi tunao kwenye mambo ya KIPUMBAVU.
Hii ni quicl explanation ya mawazo ya wabongi wengi kwa sasa. ni wachache wenye kuuona ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhispania ambayo ni nchi ya pili kutembelewa zaidi duniani hupata wageni takriban Milioni 80 kwa mwaka inajipanga kufungua sekta ya utali
MSAADA.
KAMA SPAIN NI YA NCHI YA PILI KWA KUTEMBELEWA DUNIANI, BILA SHAKA WATU WATAPENDA PIA KUFAHAMU NI NCHI GANI YA KWANZA KWA KUTEMBELEWA ZAID DUNIANI?
 
Hadi sasa Marekani inaongoza kwa maambukizi ya #CoronaVirus. Kwa mujibu wa Chuo Kikuu cha Johns Hopsin vifo vimefikia 99,805

Marekani ina jumla ya maambukizi 1,706,226 na watu 464,670 wameripotiwa kupona. Watu 1,141,751 bado wana virusi hivyo na 17,114 kati yao wakiwa na hali mbaya

Rais Donald Trump wa Marekani ameendelea kutaka nchi hiyo iondoe vikwazo vyote na kuendelea na shughuli za kujenga uchumi

====
At least 98,223 people have died in the US from coronavirus, according to data from Johns Hopkins University.

The US has at least 1,662,768 recorded cases of the disease - the highest number globally.

The totals include cases from all 50 states, the District of Columbia and other US territories, as well as repatriated cases.
 
Korona ni imani kama ilivyoandikwa katika Biblia kuwa imani uja kutokana na kusikia.. Na ni hakika ya jambo litalajiwalo na bayana ya jambo lisilo onekana
 
Si mmeona Marekani wanavyoandamana dhidi ya mauaji ya George Floyd? mmeona protester aliyevaa barakoa? Mmeona social distancing? Si mmeona wanavyoshikamana mikono? Si mmeona wanavyoimba kwa sauti wakiwa wamesongamana kwenye maandamano? Corona iko wapi hapo?
Ingekuwa in huku kwetu tungesema Hilo tukio limefanyika kuisahau corona

Mask wapo wanaovaa.. Ila labda nimapema kujua kama haya maandamano yanaongeza kusambaa kwa corona.
 
Si mmeona Marekani wanavyoandamana dhidi ya mauaji ya George Floyd? mmeona protester aliyevaa barakoa? Mmeona social distancing? Si mmeona wanavyoshikamana mikono? Si mmeona wanavyoimba kwa sauti wakiwa wamesongamana kwenye maandamano? Corona iko wapi hapo?
Walikuwa wanatudanganya tu mbona sasa hawatangazi tena hata idadi ya kila siku ya maambukizi? kama walivyokuwa wanatupa stress bure labda walikuwa na lao jambo!
 
Au Ni trick ya hao "IILUMINATI NA FREEMASON"?

Kwamba wameona watu hawafi sana hasa blacks Kama walivyopanga walivyocheza karata ya Covid-19.....

Wakajiuliza tufanyeje???

Jibu Ni kill a black person to incite chaos ambapo watu watatoka tu nje hasa blacks kuandamana then maambukizi yatakuwa makubwa..

Hapa duniani hasa America hakuna kitu kinatokea randomly......hii inaweza kuwa iko planned..

Let us wait and see baada ya haya Maandamano...level ya infection kwa black Americans itakuaje....
 
Au Ni trick ya hao "IILUMINATI NA FREEMASON"?

Kwamba wameona watu hawafi sana hasa blacks Kama walivyopanga walivyocheza karata ya Covid-19.....

Wakajiuliza tufanyeje???

Jibu Ni kill a black person to incite chaos ambapo watu watatoka tu nje hasa blacks kuandamana then maambukizi yatakuwa makubwa..

Hapa duniani hasa America hakuna kitu kinatokea randomly......hii inaweza kuwa iko planned..

Let us wait and see baada ya haya Maandamano...level ya infection kwa black Americans itakuaje....
Good point but is nothing but conspiracy theory.
Huyo si black wa kwanza kuuwawa. Wameuwawa wengi tu huko nyuma.. why now? Why sio huko nyuma?
Je haya ni maandamano ya mara ya kwanza? Nope
 
Back
Top Bottom