Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,911
- 5,980
COVID-19, Mzee wa ku-overtake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka kashika usukaniCOVID-19, Mzee wa ku-overtake!
UK,,bado nchi nyingi tu,,maana hii covid saa ingine inapaa inashuka,
Marekani bado,walitoka kidogo tu kuandamana.
UK maduka yanafunguliwa leo lakini bar na migahawa mpaka JulyUK,,bado nchi nyingi tu,,maana hii covid saa ingine inapaa inashuka,
Kulingana na takwimu zinazoendelea kutolewa ukizingatia pia na utaratibu unaotumika katika utoaji wa takwimu hizo.Ugonjwa ulipoanzia (China) waliokufa na kuambukizwa ni wachache kuliko sehemu nyingine. Hatari
Maandamano yapi hayo?mbona wakati wa maandamano hukukua na records zozote za covid19 ?🤔
Mtaalam kweli,Baada ya kufa magufuli kelele zote kwisha.Nakumbuka maneno ya mwendazake "Vita ya uchumi"Tutakutana tena baada ya drama hii kuisha,nakuhakikishia utajiona mjinga sana.