MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,105
- 3,068
Hii yangu ndo feki au sielewi haina cha M wala F ila ni N
View attachment 1659997
Hii yangu ndo feki au sielewi wewe mleta uzi acha kupotosha watu. Yangu haina cha M wala F ila kuna N.
N maana yake ni replacement device, mtu wa kwanza kununua ilikuwa na shida kwahyo akabadilishiwa na kupewa hiyo mkuu.
N maana yake ni replacement device, mtu wa kwanza kununua ilikuwa na shida kwahyo akabadilishiwa na kupewa hiyo mkuu.
Kwahyo zenye N pia ni OG au tumeliwa
View attachment 1659997
Hii yangu ndo feki au sielewi haina cha M wala F ila ni N
iPhone ni iPhone sijui unauziwaje Feki kuna watu 2020 bado akili za kujua feki na OG ni Tatizo bado sio simu tu hata vitu vingine unauziwaje feki .?? SMH
View attachment 1660026
Msaada mkuu hii yangu ni nchi yangu
View attachment 1659997
Hii yangu ndo feki au sielewi haina cha M wala F ila ni N
View attachment 1660026
Msaada mkuu hii yangu ni nchi yangu
View attachment 1660155
Hii ya nchi gani?
AA/A hii itakuwa ni ya wapi mkuuKumekuwa na maswali mengi sana kuhusu simu janja iphone wengi wamekuwa wakipigwa na kuuziwa simu feki, refurbished nk. Nikaona ni busara nikaandaa uzi kuhusu iphone users na ambao wanataka kuanza kutumia iphone waweze kuelewa vitu muhimu kuhusu iphone.
Leo nitazungumzia namna ya kujua kama simu ni brand new, Refurbished. Sasa hapa twende taratibu iphone ikiwa brand new hapa inamaanisha wewe ndo unaanza itumia kwa mara ya1, nenda “setting “ kisha “general” afu nenda option ya “about” hapo utaona sehem imeandikwa “model number” kama inaoonesha kwa picha hapo chini.,
View attachment 1659634
Herufi ya kwanza ndo inaonesha kama simu ni new au refurbished
M = Brand new
F= Refurbished
N= Ikiwa iphone itaanza na N, Apple ilitoa kama kifaa mbadala cha iPhone isiyofanya kazi.
Ukiona iphone yako kwenye model number imeanza na “M” jua hio iphone ni brand new ila kama utaona “F” basi jua hio iphone ni refurbished.
Jambo la 2 kujua origin ya iphone, hapa wengi tumetofautiana sana iphone zinatengenezwa kutokana na mazingira ya nchi husika ndomana iphone ya uk, US au china zinakuwa sawa ila kila kitu lakn kuna vitu ndani special kwa sehem husika. Japo kibongo tunatumia sana za china, uk na US. Swali linakuja utajuaje origin ya iphone yako?? Ni simple tu kama nilivoelekeza hapo juu utarud palepale kwenye “Model number” ili kujua origin yake kuna herufi zinawakilisha
View attachment 1659635
LL= USA
BT/ZO= Uk
C/A= canada
CH= china
AB = saudi Arabia , UAE
Sasa herufi za mwisho kabla ya slash ndo znaonesha origin ya iphone yako mfano hapa yangu origin yake ni USA .
Hio model number inaonesha kama simu ni mpya, refurbished nk na origin ya simu kama hujaelewa karibu kwa maswali.
View attachment 1660034
View attachment 1660035
Mkuu kwa sasa Iphone gani ndio nzuri ya kununua kwa utaalamu wako, kati ya 6+ na 7+Kumekuwa na maswali mengi sana kuhusu simu janja iphone wengi wamekuwa wakipigwa na kuuziwa simu feki, refurbished nk. Nikaona ni busara nikaandaa uzi kuhusu iphone users na ambao wanataka kuanza kutumia iphone waweze kuelewa vitu muhimu kuhusu iphone.
Leo nitazungumzia namna ya kujua kama simu ni brand new, Refurbished. Sasa hapa twende taratibu iphone ikiwa brand new hapa inamaanisha wewe ndo unaanza itumia kwa mara ya1, nenda “setting “ kisha “general” afu nenda option ya “about” hapo utaona sehem imeandikwa “model number” kama inaoonesha kwa picha hapo chini.,
View attachment 1659634
Herufi ya kwanza ndo inaonesha kama simu ni new au refurbished
M = Brand new
F= Refurbished
N= Ikiwa iphone itaanza na N, Apple ilitoa kama kifaa mbadala cha iPhone isiyofanya kazi.
Ukiona iphone yako kwenye model number imeanza na “M” jua hio iphone ni brand new ila kama utaona “F” basi jua hio iphone ni refurbished.
Jambo la 2 kujua origin ya iphone, hapa wengi tumetofautiana sana iphone zinatengenezwa kutokana na mazingira ya nchi husika ndomana iphone ya uk, US au china zinakuwa sawa ila kila kitu lakn kuna vitu ndani special kwa sehem husika. Japo kibongo tunatumia sana za china, uk na US. Swali linakuja utajuaje origin ya iphone yako?? Ni simple tu kama nilivoelekeza hapo juu utarud palepale kwenye “Model number” ili kujua origin yake kuna herufi zinawakilisha
View attachment 1659635
LL= USA
BT/ZO= Uk
C/A= canada
CH= china
AB = saudi Arabia , UAE
Sasa herufi za mwisho kabla ya slash ndo znaonesha origin ya iphone yako mfano hapa yangu origin yake ni USA .
Hio model number inaonesha kama simu ni mpya, refurbished nk na origin ya simu kama hujaelewa karibu kwa maswali.
View attachment 1660034
View attachment 1660035
7plus ni far better.hata bei ni mbingu na ardhi.Mkuu kwa sasa Iphone gani ndio nzuri ya kununua kwa utaalamu wako, kati ya 6+ na 7+
6s+ ikoje mkuu kwa matumizi ?7plus ni far better.hata bei ni mbingu na ardhi.
iko vizuri ila huwezi ilinganisha na 7plus.6s+ ikoje mkuu kwa matumizi ?