MrsPablo1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 792
- 1,308
Mi ninayo nauza ya carrot yamechanganywa na chungwaUnatengenezaje mamii?
Mi ninayo nauza ya carrot yamechanganywa na chungwaUnatengenezaje mamii?
Haya mafuta nimeyatumia na mineyakubali ila sasa pa kuyapata ndo sijui maana aliyekuwa ananiuzia anadai kampuni imefungwa, mwenye kujua pa kuyapata tafadhali anisaidie.
Mkuu ya kiume yanapatikana? sitaki mafuta ya kuchubua ngozi!Kuna hawa wanauza vitu toka Uk
View attachment 1535391 wana vitu vizuri sana vimenisaidiaa mnoo
Mkuu ya kiume yanapatikana? sitaki mafuta ya kuchubua ngozi!
Asanteee!hayachubui anauza vitu natural
Scrub,facial wash kila unachotaka muulize
Natengeneza mwenyewe bei yake ni 15000/Unatengeneza mwenyewe? shilingi ngapi?
Sawa karibu, nina body lotion pia wengi hutumia kwa pamoja na iyo body oil . body oil nafaa pia usoni kama face oil.Asante, kwasasa Nina American dream na ya Nazi, yakiisha nitajaribu na yako
Palmer's hakuna kitu inafanya, me napenda tu vile inanukiaTukiwaomba muweke sura zenu tuone uso unavyongaa najua hamtoweza ila tuwaombe muweke hata picha za mikono au upaja tuone Jinsi mlivyomeremeta Mana nataka na wifi enu nimtafutie kitu inamfaa nshampa sana Palmer's lakini naona kawaida tuu msione nimewadharau bali nawaheshimu na kuwapenda pia Beef Lasagna Shunie Depal sinyora yna2 Patience123
Shukuru sana Mungu dearMwilini napaka mafuta ya nazi, usoni napaka lotion na nina rangi moja mwili mzima. Nikiwaambia watu ninachopaka hawaamini maana nina rangi nzuri mwilini (sijisifii) mpaka najionea wivu.
Sabuni mie yoyote tu.
Sio mtu mwenye hekaheka na mwili wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli huwa namshukuru sana Mungu. Siku hizi nimeanza kudeal na vitu natural hata lotion nilipumzika for like 6 months ila nikiwaambia watu sipaki kitu zaidi ya vitu vya asili wanaona nawanyima vipako vyanguShukuru sana Mungu dear
Baadhi ya ngozi kwikwi sana haitaki ule hiki wala kile haitaki joto haitaki baridi haitaki mafuta haitaki ukavu ili mradii karahaa huna rahaa
Naomba weka picha ya kopo la hayo mafta ya nazi mana dukan kuna mengi mpaka unashndwa kuchaguaHakuna siri ni mafuta ya nazi jamani! Unateleza had raha!..
Naomba weka picha ya kopo la hayo mafta ya nazi mana dukan kuna mengi mpaka unashndwa kuchaguaMimi huwa natumia mafuta ya nazi kwa mwili mzima,
For better results tumia mafuta ya Nazi utanishukuru
Sent using
Naomba weka picha ya kopo la hayo mafta ya nazi mana dukan kuna mengi mpaka unashndwa kuchagua
Jamii Forums mobile app
Naomba weka picha ya kopo la hayo mafta ya nazi mana dukan kuna mengi mpaka unashndwa kuchagua
Parachute mkuu...ni nazi yyt ile au unaweza tengeneza mwenyeweNaomba weka picha ya kopo la hayo mafta ya nazi mana dukan kuna mengi mpaka unashndwa kuchagua
Tumia hayo mafuta , kwenye maduka yanauzwa Kati ya 1500-2000Naomba weka picha ya kopo la hayo mafta ya nazi mana dukan kuna mengi mpaka unashndwa kuchagua
Hii inafaa kwa ngozi ya mafuta?na haichubui?Natumia ponds lotion for acne and dark spot maana mie mhanga wa chunusi, imenisaidia kwa kiasi kikubwa sana pia naogea dettol lemon
Sent using Jamii Forums mobile app