sumuni samson
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 249
- 61
Nihiyo tuuKuku kushusha mabawa pekee hakuna dalili nyingine mkuu wanazoonesha
Nihiyo tuuKuku kushusha mabawa pekee hakuna dalili nyingine mkuu wanazoonesha
Hapana hawaku copy kwangu bali mimi ndio nime copy kwao but kwa kuwa its all about information nimeona si mbaya ku share na wana member humu ndaniIpo ya Kingerez kama hii kutoka KARI kenya vipi walicopy kwako?
Hapana hawaku copy kwangu bali mimi ndio nime copy kwao but kwa kuwa its all about information nimeona si mbaya ku share na wana member humu ndani
Though Binafsi ninazo za kwangu ambazo ziko approved.
Karibu sana mkuuAsante mkuu kwa elimu hii
Vp hauna group la whatsup ili tuipate elimu hii kwa ukaribuKaribu sana mkuu
Ipo ya Kingerez kama hii kutoka KARI kenya vipi walicopy kwako?
Lipo mkuu angalia post #22Vp hauna group la whatsup ili tuipate elimu hii kwa ukaribu
Karibu mkuu.Elimu nzuri sana.
OK mkuuLipo mkuu angalia post #22
Hata ya kujengea unaweza kutumia ili mradi ichanganywe vizuri ndani ya chakula! Fahamu kuwa chokaa ni udongo! Kina mama waja wazito hula udongo, kwa ajili ya kuongeza calcium na Iron! Haina madhara kama ukizingatia uwiano!Sio chokaa ya kujengea mkuu nenda kwa maduka makubwa ya mifugo waulizie nataka chokaa ambayo itumika katika utengenezaji wa chakula cha mifugo watakupatia
Dagaa wanaoongelewa hapa ni dagaa wa mwanza mkuu. Ni vyema kwanza vikasagwa na inashauriwa machine iwe na sieve la atleast 4-12mm ili kupata size inayotakiwa then ndio unachanganya.Ahsante kwa topic murua mkuu. Dagaa wa aina gani wanahitajika? Unaweza kuchanganya vitu vyote hivyo kisha ukaenda kuvisaga kwa pamoja?
Shukran
Soya ya kawaida hii mkuu.soya,soya maalumu ya mifugo au soya hizi za lishe?pia kwenye kuku wa nyama maharage ya soya yanaweza tumika kwenye kuku wa mayai.?km chanzo cha soya kuku wa mayai?
Dagaa wanaoongelewa hapa ni dagaa wa mwanza mkuu....
ni vyema kwanza vikasagwa na inashauriwa machine iwe na sieve la atleast 4-12mm ili kupata size inayotakiwa then ndio unachanganya....
Dagaa wa mwanza is the best mkuu.Shukrani Sana
Kuna madhara endapo ntatumia dagaa wa Zanzibar?