Baba Nla
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 718
- 2,209
Apo ni kula shule youtube tuuUnaweza niambia nifanyaje na mm ni generati zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo ni kula shule youtube tuuUnaweza niambia nifanyaje na mm ni generati zangu
zipo njia mbiliUnaweza niambia nifanyaje na mm ni generati zangu
Nipe shule mkuuzipo njia mbili
1]tafuta video zinazoonesha mipangilio namna ya kutengeneza map ila naona nyingi ni za kizamani hazifanyi kazi kwa sasa.
2]ongea na watu ii upate vitu
kwa upande wangu nilitumia njia ya kwanza japokuwa nililost muda +bando kidogo nilifaulu ila kuna kipindi nilifeli kuendelea pia nikakata tamaa so nikakutata na mbongo mwenzangu tukayajenga mambo yakaenda vyema sana ndo mwnzo wa kuendeleza kile nilichokianza.
View attachment 1872953
Daah hongela ulikuwa huijui siri hii?Wakuu nimekuja kugundua kuwa wazee wa driving game mnafaidi Sana Jana kwenye pitapita zangu za kuperuzi nimepata game Indonesia bus simulator asee nimejikuta nakesha bila kupenda game iko poa Sana yaan Kama naendesha bus live bila chenga asee nimefurah Sana,na Bado natafuta na hz zenu za malori mwenye kujua game Kali anipe app nipakue na huko
Kwamba ka design map nzima au bus tu? Na je hiyo map ni ya bongo?Daah hongela ulikuwa huijui siri hii?
Pia kwenye pc unaweza kuendesha hayo hayo mabus. Mfano ni hii yutong aliyo design ni mbongo mwenzetu.View attachment 1875751View attachment 1875752
Kwa ninavyoelewa mimi hiyo ni teamKwamba ka design map nzima au bus tu? Na je hiyo map ni ya bongo?
Shukran sana mkuu na enjoy Sana driving gameDaah hongela ulikuwa huijui siri hii?
Pia kwenye pc unaweza kuendesha hayo hayo mabus. Mfano ni hii yutong aliyo design ni mbongo mwenzetu.View attachment 1875751View attachment 1875752
Mkuu apa bado kabisa maana naona apo nimpaka uwe na steam account alafu nimejaribu but nimeshindwa apo maana niki fuata linafunguka gamenikupe shule hapa?
anza na hizi video ukifeli niambie
Alafu apa mm nina vision ya 1.41Mkuu apa bado kabisa maana naona apo nimpaka uwe na steam account alafu nimejaribu but nimeshindwa apo maana niki fuata linafunguka game
pole sanaMkuu apa bado kabisa maana naona apo nimpaka uwe na steam account alafu nimejaribu but nimeshindwa apo maana niki fuata linafunguka game
Apo mkuu nimejua unatesekapole sana
sasa kama linahitaji steam si utengeneze acc kisha ununue game.
mara nyingi tunapiga kelele humu kuhamasisha watu kununua game pia ndo moja ya faida za kununua game.
Huwaga sinaga mood sana na mabasi huwa napenda kago ngumu
Napenda map kubwa sio stend alon map ndo maana nimenunua promods roex 3.1 southern region road to Asia na read see
Hyo bus ni bus mod tu anatumia huyo jamaa..ila map ni cargo tuHuwaga sinaga mood sana na mabasi huwa napenda kago ngumu
Ni stend alon map au naweza cheza kwenye base game na map nyingineHyo bus ni bus mod tu anatumia huyo jamaa..ila map ni cargo tu
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Daah!! Mkuu nakumbuka nishawahi kuiulizia hii map.