Yaani kama ni mimi wala simuuulizi kitu chochote, nafanya yangu kwa ajili ya ndugu yangu tu, na hapo inategeme na kosa lenyewe ni lipi! Ila Mimi siwezi siwezi mlazimisha kabisa kumjulia hali ndugu yanguHivi ikitokea una mke, mna familia na mnapendana lakini kila mara kuna migogoro utafanyaje? Na ikitokea mwenzako hana upendo na ndugu zako unafanyeje? Mfano una kaka yako ulikuwa unamuuguza akafanyiwa operation lakini kabla ya kwenda kwenye operation ukagombana na mwenzako kutokana na ugomvi wenu mwanamke akaamua kutokwenda hospitali wala kutokumpigia kaka yako simu kumjulia hali. Hivi mtu kama huyu ana upendo wa kweli na anayo hofu ya Mungu?
Sawa, Na utaendelea kuishi nae kwa amani na upendo kabisa baada ya yeye kufanya jambo lisilo la kibinaadamu?Yaani kama ni mimi wala simuuulizi kitu chochote, nafanya yangu kwa ajili ya ndugu yangu tu, na hapo inategeme na kosa lenyewe ni lipi! Ila Mimi siwezi siwezi mlazimisha kabisa kumjulia hali ndugu yangu
Sasa ndugu yangu yeye amegoma kwenda utamlazisha? Na ni mtu mzima anajua afanyalo, kuna watu wapo hivyo, mfano mna watoto naye tayari utaachana naye? Hudumia mgonjwa wako basi kama ana akili timamu atajiuliza mwenyewe katika serikali yake ya kichwa, kama ni msamaha ataombaSawa, Na utaendelea kuishi nae kwa amani na upendo kabisa baada ya yeye kufanya jambo lisilo la kibinaadamu?
upo kwenye ndoa?Ndoa ni mchezo wa hatare sana. Kama unaweza kuepuka nayo iepuke...
khaaaaaah JF raha San lolHaa
Hawa Watu Wa Tuma Pesa Ya Kutolea
Changamoto Ya Mahusiano Ni Zaidi Ya Uchaguzi 2020
AmeeeeeeeeeeenSasa ndugu yangu yeye amegoma kwenda utamlazisha? Na ni mtu mzima anajua afanyalo, kuna watu wapo hivyo, mfano mna watoto naye tayari utaachana naye? Hudumia mgonjwa wako basi kama ana akili timamu atajiuliza mwenyewe katika serikali yake ya kichwa, kama ni msamaha ataomba