Fahamu haya unapoenda weka mafuta hasa petrol

Brodre

JF-Expert Member
Aug 23, 2012
2,351
1,372
WAKUU NIMEWEKA MASAHIHISHO KUTOKA KWA MDAU HAPO CHINI


Kuna aina zaidi ya mbili ya petrol ila common kwa
Tanzania ni unleaded pamoja na Super

1.Super
hii ni aina ya petrol ambayo ni nzito na maana haiko purified mpaka mwisho.
Unapoweka haya mafuta ni kuwa mwangalifu especially ukiwa waweka kwenye gari za kisasa zinazotumia nguvu/umeme mkubwa. kuweka super kunaweza sababisha misfire na uliweka haya mafuta utaona gauge inapanda taratibu.

Sababu haya mafuta ni mazito hata consuption pia inaenda pole pole ni sawa umimine uji na maji kwenye caro la majitaka kipi kitawahi kuisha?

2. Unleaded.
Haya mafuta ni ambayo yako purified mpaka mwisho/mafuta mepesi... uchomaji wake ni mzuri na mara nyingi gari inakua na nguvu zaidi ukiwekea unleaded

consuption ni kubwa ila gari inakua na nguvu

Petrol stations zinazoza unleaded ni pamoja na engine,puma,total na nyingine

na ambazo zimejikita kwenye super ni oilcom, camel oil, gbp na nyingine

kwenye prices mara nyingi super inakua chini kidogo ya unleaded chukulia mfano camel oil na gbp ukilinganisha na puma na total

mnaotumia lexus,nissan teana, fuga etc yaninkwa kifupu gari za kisasa zinazotumia umeme mwingi nawashauri mtumie unleaded

nimeproove hili kila nikiweka super kwenye nisasan teana lazima taa ya check engine iwake which is not the case napotumia unleaded

masahihisho kidogo. petroli yote inayouzwa ni unleaded, kwa maana kwamba haijaongezwa tetraethyllead (TEL), hii additive ilikua inaongezewa kwenye petroli ili ku boost octane ratings za petroli na hivyo kuongeza ufanisi wa injini, lakini baada ya madhara ya lead kuonekana ni makubwa katika uchafuzi wa mazingira nchi nyingi duniani zilipiga marufuku matumizi ya leaded gassoline, nchi pekee ambazo bado leaded gassoline inarihusiwa ni Afghanistan, Argeria, Iraq, North korea, Myanmar na Yemen. sasa ni nini tofauti ya "unleaded" na "super unleaded" petrol?
super unleaded petrol (super) inakuwa na ongezeko la octane ratings (RON), ongezeko hilo la octane rating hua linaongeza engine performance na kupunguza matumizi ya mafuta. ingawa kiuhalisia tufauti hua ni ndogo sana hususani kama wewe ni mtu wa kuchanganya mafuta leo regular unleaded (a.k.a unleaded) kesho super unleaded (a.k.a super), hutaona tofauti yoyote. pia sina uhakika kwa hapa Tanzania kama kuna petrol station wanayouza super unleaded petrol zaidi ya mabango tu yanayosema "super", kwasababu kiuhalisia super ni gharama zaidi kuliko regular unleaded petrol
 
masahihisho kidogo. petroli yote inayouzwa ni unleaded, kwa maana kwamba haijaongezwa tetraethyllead (TEL), hii additive ilikua inaongezewa kwenye petroli ili ku boost octane ratings za petroli na hivyo kuongeza ufanisi wa injini, lakini baada ya madhara ya lead kuonekana ni makubwa katika uchafuzi wa mazingira nchi nyingi duniani zilipiga marufuku matumizi ya leaded gassoline, nchi pekee ambazo bado leaded gassoline inarihusiwa ni Afghanistan, Argeria, Iraq, North korea, Myanmar na Yemen. sasa ni nini tofauti ya "unleaded" na "super unleaded" petrol?
super unleaded petrol (super) inakuwa na ongezeko la octane ratings (RON), ongezeko hilo la octane rating hua linaongeza engine performance na kupunguza matumizi ya mafuta. ingawa kiuhalisia tufauti hua ni ndogo sana hususani kama wewe ni mtu wa kuchanganya mafuta leo regular unleaded (a.k.a unleaded) kesho super unleaded (a.k.a super), hutaona tofauti yoyote. pia sina uhakika kwa hapa Tanzania kama kuna petrol station wanayouza super unleaded petrol zaidi ya mabango tu yanayosema "super", kwasababu kiuhalisia super ni gharama zaidi kuliko regular unleaded petrol
 
masahihisho kidogo. petroli yote inayouzwa ni unleaded, kwa maana kwamba haijaongezwa tetraethyllead (TEL), hii additive ilikua inaongezewa kwenye petroli ili ku boost octane ratings za petroli na hivyo kuongeza ufanisi wa injini, lakini baada ya madhara ya lead kuonekana ni makubwa katika uchafuzi wa mazingira nchi nyingi duniani zilipiga marufuku matumizi ya leaded gassoline, nchi pekee ambazo bado leaded gassoline inarihusiwa ni Afghanistan, Argeria, Iraq, North korea, Myanmar na Yemen. sasa ni nini tofauti ya "unleaded" na "super unleaded" petrol?
super unleaded petrol (super) inakuwa na ongezeko la octane ratings (RON), ongezeko hilo la octane rating hua linaongeza engine performance na kupunguza matumizi ya mafuta. ingawa kiuhalisia tufauti hua ni ndogo sana hususani kama wewe ni mtu wa kuchanganya mafuta leo regular leaded kesho super unleaded, hutaona tofauti yeyote. pia sina uhakika kwa hapa Tanzania kama kuna petrol station wanayouza super unleaded petrol zaidi ya mabango tu yanayosema "super", kwasababu kiuhalisia super ni gharama zaidi kuliko regular petrol
Duh nawashukuru wote kwa mada nzuri
 
Hiyo elimu iongezeke tuu maana sass hivi hakuna road licence ni kuilipia ndani ya mafuta hivo kabla ya kuingia petrol station unaanza kujiuliza niweke super au unleaded na niweke kiasi gani kukabiliana na mizunguko ya siku husika.

Usiku mwema nyote.
 
masahihisho kidogo. petroli yote inayouzwa ni unleaded, kwa maana kwamba haijaongezwa tetraethyllead (TEL), hii additive ilikua inaongezewa kwenye petroli ili ku boost octane ratings za petroli na hivyo kuongeza ufanisi wa injini, lakini baada ya madhara ya lead kuonekana ni makubwa katika uchafuzi wa mazingira nchi nyingi duniani zilipiga marufuku matumizi ya leaded gassoline, nchi pekee ambazo bado leaded gassoline inarihusiwa ni Afghanistan, Argeria, Iraq, North korea, Myanmar na Yemen. sasa ni nini tofauti ya "unleaded" na "super unleaded" petrol?
super unleaded petrol (super) inakuwa na ongezeko la octane ratings (RON), ongezeko hilo la octane rating hua linaongeza engine performance na kupunguza matumizi ya mafuta. ingawa kiuhalisia tufauti hua ni ndogo sana hususani kama wewe ni mtu wa kuchanganya mafuta leo regular leaded kesho super unleaded, hutaona tofauti yeyote. pia sina uhakika kwa hapa Tanzania kama kuna petrol station wanayouza super unleaded petrol zaidi ya mabango tu yanayosema "super", kwasababu kiuhalisia super ni gharama zaidi kuliko regular petrol
Haya sio masahihisho kidogo, ni taarifa kinzani. Yupi yu sahihi?
 
Mtoa mada kuna tatizo jingine kwenye gari yako. Kwa sasa Tanzania yoote mafuta ni unleaded katika petrol stations. Labda kama ulienda kuweka yaliyochakachuliwa. Gari zoote za kuanzia 2005 ni za umeme mwingi kama engines za VVTI ama D4D kwa Toyota cars ambao walichelewa kwenye umeme. Lakini brand zingine ni full umeme toka 2000 hadi sasa.
Baada ya kuanzishwa ile bulk procurement ya mafuta, wanaagiza mafuta ya aina moja tuu kwa petrol na aina moja kwa diesel na aina moja kwa ndege. Ulipoenda kuweka nahisi walikuchakachuwa, sababu hao GDP nasi tunaweka kila siku hapo Sinza , hatujawahi ona tofauti.
 
Nagundua kitu hapa.Sasa kama mafuta yote yanaagizwa pamoja kwanini kuna utofauti mkubwa wa bei katika sheli za Dsm? Je inawezekana vipi vituo vilivyopo Nje ya Dsm mfano katika Barabara iendeyo Lindi na Mtwara kuuza bei ya chini kuliko Dsm? Ahsante
 
Vip kuhusu Diesel, au ndio super yenyewe?
Diesel inatumika kwenye machine kubwa heavy duty machine Kama malori machine za viwandani yan ile mitambo mikubwa PETROL inatumika kwenye machine ndogo kama jenereta za saloon water pump pia gari za petrol nyingi utazikuta so kubwa kama CARINA PASSO NOAH NISSAN japo kuna gari ndogo pia zinatumia DIESEL
 
Kuna aina zaidi ya mbili ya petrol ila common kwa Tanzania ni unleaded pamoja na Super

1.Super
hii ni aina ya petrol ambayo ni nzito na maana haiko purified mpaka mwisho.
Unapoweka haya mafuta ni kuwa mwangalifu especially ukiwa waweka kwenye gari za kisasa zinazotumia nguvu/umeme mkubwa. kuweka super kunaweza sababisha misfire na uliweka haya mafuta utaona gauge inapanda taratibu.

Sababu haya mafuta ni mazito hata consuption pia inaenda pole pole ni sawa umimine uji na maji kwenye caro la majitaka kipi kitawahi kuisha?

2. Unleaded.
Haya mafuta ni ambayo yako purified mpaka mwisho/mafuta mepesi... uchomaji wake ni mzuri na mara nyingi gari inakua na nguvu zaidi ukiwekea unleaded

consuption ni kubwa ila gari inakua na nguvu

Petrol stations zinazoza unleaded ni pamoja na engine,puma,total na nyingine

na ambazo zimejikita kwenye super ni oilcom, camel oil, gbp na nyingine

kwenye prices mara nyingi super inakua chini kidogo ya unleaded chukulia mfano camel oil na gbp ukilinganisha na puma na total

mnaotumia lexus,nissan teana, fuga etc yaninkwa kifupu gari za kisasa zinazotumia umeme mwingi nawashauri mtumie unleaded

nimeproove hili kila nikiweka super kwenye nisasan teana lazima taa ya check engine iwake which is not the case napotumia unleaded
MAFUTA YOTE YANAYOUZWA TANZANIA YANAFANANA HAKUNA CHA MAZITO WALA MEPESI...Mafuta yanayouzwa Tz yanaingizwa kwa system ya bulk procurement. Wote wanatumia the same....na bei kikomo ni moja inayotangazwa na EWURA kutofautiana bei ni njia ya kutafuta ushindani ktk soko
 
Nagundua kitu hapa.Sasa kama mafuta yote yanaagizwa pamoja kwanini kuna utofauti mkubwa wa bei katika sheli za Dsm? Je inawezekana vipi vituo vilivyopo Nje ya Dsm mfano katika Barabara iendeyo Lindi na Mtwara kuuza bei ya chini kuliko Dsm? Ahsante
Kurofautiana bei kunakuja hivi.
EWURA ndionimepewa dhamana ya kutangaza bei ya mafuta aina ya petroli Tanzania kila mwezi, na ile bei inayotangazwa ni bei kikomo ikimaanisha kwamba muuzaji hatakiwi kuzidi iyo bei iliyoyltangazwa ila anaruhusiwa kuuza kwa bei yyote ya chini kwaajili ya ushindani wa biashara.
Mfano EWURA ikitangaza bei kikomo ni elfu 2 hakuna petro station itauza zaidi ya hapo, ila kuuza chini ruksa utajua mwenyew unavopanga faida na ushindani uliopo
 
masahihisho kidogo. petroli yote inayouzwa ni unleaded, kwa maana kwamba haijaongezwa tetraethyllead (TEL), hii additive ilikua inaongezewa kwenye petroli ili ku boost octane ratings za petroli na hivyo kuongeza ufanisi wa injini, lakini baada ya madhara ya lead kuonekana ni makubwa katika uchafuzi wa mazingira nchi nyingi duniani zilipiga marufuku matumizi ya leaded gassoline, nchi pekee ambazo bado leaded gassoline inarihusiwa ni Afghanistan, Argeria, Iraq, North korea, Myanmar na Yemen. sasa ni nini tofauti ya "unleaded" na "super unleaded" petrol?
super unleaded petrol (super) inakuwa na ongezeko la octane ratings (RON), ongezeko hilo la octane rating hua linaongeza engine performance na kupunguza matumizi ya mafuta. ingawa kiuhalisia tufauti hua ni ndogo sana hususani kama wewe ni mtu wa kuchanganya mafuta leo regular unleaded (a.k.a unleaded) kesho super unleaded (a.k.a super), hutaona tofauti yoyote. pia sina uhakika kwa hapa Tanzania kama kuna petrol station wanayouza super unleaded petrol zaidi ya mabango tu yanayosema "super", kwasababu kiuhalisia super ni gharama zaidi kuliko regular unleaded petrol

Nakushukuru mtaalam
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom