Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,351
- 1,372
WAKUU NIMEWEKA MASAHIHISHO KUTOKA KWA MDAU HAPO CHINI
Kuna aina zaidi ya mbili ya petrol ila common kwa
Tanzania ni unleaded pamoja na Super
1.Super
hii ni aina ya petrol ambayo ni nzito na maana haiko purified mpaka mwisho.
Unapoweka haya mafuta ni kuwa mwangalifu especially ukiwa waweka kwenye gari za kisasa zinazotumia nguvu/umeme mkubwa. kuweka super kunaweza sababisha misfire na uliweka haya mafuta utaona gauge inapanda taratibu.
Sababu haya mafuta ni mazito hata consuption pia inaenda pole pole ni sawa umimine uji na maji kwenye caro la majitaka kipi kitawahi kuisha?
2. Unleaded.
Haya mafuta ni ambayo yako purified mpaka mwisho/mafuta mepesi... uchomaji wake ni mzuri na mara nyingi gari inakua na nguvu zaidi ukiwekea unleaded
consuption ni kubwa ila gari inakua na nguvu
Petrol stations zinazoza unleaded ni pamoja na engine,puma,total na nyingine
na ambazo zimejikita kwenye super ni oilcom, camel oil, gbp na nyingine
kwenye prices mara nyingi super inakua chini kidogo ya unleaded chukulia mfano camel oil na gbp ukilinganisha na puma na total
mnaotumia lexus,nissan teana, fuga etc yaninkwa kifupu gari za kisasa zinazotumia umeme mwingi nawashauri mtumie unleaded
nimeproove hili kila nikiweka super kwenye nisasan teana lazima taa ya check engine iwake which is not the case napotumia unleaded
Kuna aina zaidi ya mbili ya petrol ila common kwa
Tanzania ni unleaded pamoja na Super
1.Super
hii ni aina ya petrol ambayo ni nzito na maana haiko purified mpaka mwisho.
Unapoweka haya mafuta ni kuwa mwangalifu especially ukiwa waweka kwenye gari za kisasa zinazotumia nguvu/umeme mkubwa. kuweka super kunaweza sababisha misfire na uliweka haya mafuta utaona gauge inapanda taratibu.
Sababu haya mafuta ni mazito hata consuption pia inaenda pole pole ni sawa umimine uji na maji kwenye caro la majitaka kipi kitawahi kuisha?
2. Unleaded.
Haya mafuta ni ambayo yako purified mpaka mwisho/mafuta mepesi... uchomaji wake ni mzuri na mara nyingi gari inakua na nguvu zaidi ukiwekea unleaded
consuption ni kubwa ila gari inakua na nguvu
Petrol stations zinazoza unleaded ni pamoja na engine,puma,total na nyingine
na ambazo zimejikita kwenye super ni oilcom, camel oil, gbp na nyingine
kwenye prices mara nyingi super inakua chini kidogo ya unleaded chukulia mfano camel oil na gbp ukilinganisha na puma na total
mnaotumia lexus,nissan teana, fuga etc yaninkwa kifupu gari za kisasa zinazotumia umeme mwingi nawashauri mtumie unleaded
nimeproove hili kila nikiweka super kwenye nisasan teana lazima taa ya check engine iwake which is not the case napotumia unleaded
masahihisho kidogo. petroli yote inayouzwa ni unleaded, kwa maana kwamba haijaongezwa tetraethyllead (TEL), hii additive ilikua inaongezewa kwenye petroli ili ku boost octane ratings za petroli na hivyo kuongeza ufanisi wa injini, lakini baada ya madhara ya lead kuonekana ni makubwa katika uchafuzi wa mazingira nchi nyingi duniani zilipiga marufuku matumizi ya leaded gassoline, nchi pekee ambazo bado leaded gassoline inarihusiwa ni Afghanistan, Argeria, Iraq, North korea, Myanmar na Yemen. sasa ni nini tofauti ya "unleaded" na "super unleaded" petrol?
super unleaded petrol (super) inakuwa na ongezeko la octane ratings (RON), ongezeko hilo la octane rating hua linaongeza engine performance na kupunguza matumizi ya mafuta. ingawa kiuhalisia tufauti hua ni ndogo sana hususani kama wewe ni mtu wa kuchanganya mafuta leo regular unleaded (a.k.a unleaded) kesho super unleaded (a.k.a super), hutaona tofauti yoyote. pia sina uhakika kwa hapa Tanzania kama kuna petrol station wanayouza super unleaded petrol zaidi ya mabango tu yanayosema "super", kwasababu kiuhalisia super ni gharama zaidi kuliko regular unleaded petrol