Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
★1. Ukitaka ambacho hakijamilikiwa na mtu yoyote ni lazima ufanye jambo ambalo halijafanywa na yoyote.
★2. Mungu akitaka kukubadili hukuletea mtu na shetani akitaka kukuangamiza pia huleta mtu.
★3. Bora Uishi mwenyewe kuliko kuishi na mtu ambaye si sahihi katika maisha yako.
★4. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta hamfiki popote.
★5. Aina Tano za wanaume wakuepuka.
Mlevi
Wazinzi
Wagomvi
Wavivu
Wachawi
★6. Aina 5 za Wanawake wa kuepuka.
Walevi
Wazinzi
Wachawi
Wasiotii
Wagomvi
★7. Maneno matatu (3) yanayojenga Amani ni:
Nakupenda
Samahani
Asante
★8. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano na kwamba hutooa/Kuolewa na Mtu Mwenye sura mbaya Bali fahamu kila kitu ni Matunzo.
★9. Asili ya Mikono inayojari ni Moyo Unaothamini na Kujari.
★10. Usioe / Kuolewa na Pesa au Mali , Oa / Olewa na mtu maana Pesa au Mali hufirisika lakini UTU Hudumu milele.
Mwenyezi Mungu Akubariki sana
★2. Mungu akitaka kukubadili hukuletea mtu na shetani akitaka kukuangamiza pia huleta mtu.
★3. Bora Uishi mwenyewe kuliko kuishi na mtu ambaye si sahihi katika maisha yako.
★4. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta hamfiki popote.
★5. Aina Tano za wanaume wakuepuka.
Mlevi
Wazinzi
Wagomvi
Wavivu
Wachawi
★6. Aina 5 za Wanawake wa kuepuka.
Walevi
Wazinzi
Wachawi
Wasiotii
Wagomvi
★7. Maneno matatu (3) yanayojenga Amani ni:
Nakupenda
Samahani
Asante
★8. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano na kwamba hutooa/Kuolewa na Mtu Mwenye sura mbaya Bali fahamu kila kitu ni Matunzo.
★9. Asili ya Mikono inayojari ni Moyo Unaothamini na Kujari.
★10. Usioe / Kuolewa na Pesa au Mali , Oa / Olewa na mtu maana Pesa au Mali hufirisika lakini UTU Hudumu milele.
Mwenyezi Mungu Akubariki sana