Kwa muda mrefu nimekuwa nikipitia katika jukwaa hili kama msomaji ila changamoto nilioiona wengi wamekuwa hawafahamu aina mbalimbali za model za mgari, mfano nimeona kuna uzi unauliza tofauti ya alphard V na G, ningependa kuchukua nafasi hii kunza na hii model ya alphard kutoka katika kampuni ya toyota.
Nitajaribu kugusia sehemu mbalimbali za hizi gari ingawa si katika mpagilio sana maana mimi si muandishi mzuri
Toyota alphard ni gari zilizoanza kutengenezwa mwaka 2002 kama MPV (Mini Passenger Vehicle) hasa kwa soko la ndani (Japan). Mpaka sasa kuna vizazi vitatu vya toyota alphard, kizazi cha kwanza kilianzia 2002-2007, cha pili 2008-2014 na cha tatu ni 2014 na kuendelea
first generation
second G
3 generation
Tukianza na first generation
Kwa ufupi hapa palikuwa na model 3 ambazo ni ambazo ni alphard V, alphard G na alphard hybrid.
Jinsi ya kugundua Alphard imetengenezwa lini
Mara nyingi gari tunazonunua huwa zimekwisha tumika hivyo katika kujiridhisha ni vizuri ukajua hii gari ilitengenezwa lini, kwa upande wa toyota alphard utafanya kama ifuatavyo
1. Angalia chassis namba ya gari ili kujihakikishia mwaka ulioandikwa ndio huo muuzaji anausema? Kama alphard yako ni pre face lifted (PFL) fungua boneti na kopi chesesi namba za zilizopo upande wa kushoto baada ya kufungua boneti
Na kama alphard yako ni face lifted(FL) imeandikwa nyuma ya injini hivyo toa plastic lililoziba utazikuta
Baada ya hapo ingiza hizo chesisi namba Check Manufacture Year - Japan Partner itakutajia hiyo alphard ilitengenezwa mwaka gani hii ni njia ya kwanza ya kugundua alphard yako imetengenezwa lini.
2. Njia ya pili angalia lebo iliopo kwenye siti belt ingawa wauzaji wengi hukata hii lebo.
3. Kama ukikuta alphard yako lebo wametoa nenda kwenye mfuniko wa tool box uliopo upande wa kushoto mwa buti hapo kuna plastic la mfuniko ligeuze nyuma utaona kuna tebo inavidoti doti mstari wa kushoto uliosimama unaonyesha mwaka wakati mstari wa juu uliolala unaonyesha miezi wakati kidoti katikati ya tebo kitakuonyesha wiki hivyo kwa kuunganisha hivyo vitu vitatu utaweza jua gari lako limetengenezwa mwaka gani mwezi gani na wiki ya ngapi mfano hapo kwenye picha gari imetengenezwa wiki ya kwanza july 2005 hizi siri za magari hata wauzaji wengi huwa hawazijui nilichogundua.
Tofauti kati ya alphard Pre face lifted(PFL) and New Face lifted
kama nilivyosema alphard zilianza kutengenezwa 2002 lakini kufikia may 2005 kuna mabadiliko kidogo yalifanyika katika bodi kama ifuatavyo
Kwa nje kulikuwa na mabadiliko katika headlight cluster kwa taa za mbele na nyuma alphard zilizotengenezwa baada ya may 2005 katika taa za mbele kwa pembeni kuna vinundu viwili wakati za awali zilikuwa na kinundu kimoja pia mpya zikawa na taa nyeupe yote wakati za awali zilikuwa na kinundu cha orange kutokana na size ya taa kuwa tofauti hivyo hata front grill zilitofautiana ingawa kwa mocho huwezi gundua ila ukiwa makini utaona new face lift(NFL) grill ya juu ni kubwa kuliko ya PFL model kama katika hiyo picha ya upande wa kushoto utofauti mwingine upo katika taa za nyuma za indiketa alphard za awali zilikuwa na mstari mmoja wa indiketa wakati zilizofanyiwa maboresho zilikuwa na mistari miwili tofauti nyingine ni kwenye taa za kurudi nyuma PFL(left photo) ilikuwa na taa ndogo wakati NFL ikawekwa taa kubwa zenye distinct light elements
NDANI
Kwa ndani kitu kikubwa kilichobadilishwa ni head uni, NFL iliwekewa head unit kubwa (picha ya kushoto) yenye 8-inch wakati za awali zilikuwa na head unit ndogo
Jinsi ya kujua kama alphard ni 2WD au 4WD
Kwakuangalia kwa nje huwezi kutambua kama ni 2WD au 4WD labda kama hutojali chungulia chini utaona shaft imeenda tairi za nyuma na diff, njia nyingine ni kwakuangaria odel code na hapa huwa tunaangaria the first 5 alphanumeric ya model code ndio itakayotueleza kama gari ni 2WD au 4WD nazani itakuwa rahisi kama nitaweka katebo kuonyesha utofauti.
Kwa alphard hizi model code zipo kwenye chassis plate kwa toleo la kwanza kabla ya kuinuliwa juu (pre face lifted) huandikwa upande wa kushoto baada ya kufungua boneti na kwa (face lifted model) huandikwa kwenye mlango wa mbele wa abiria. kwakuangaria hiyo tebo kama model code ni 10 basi hoyo ni 2WD na kama ni 15 basi ni 4WD
Kamera katika toyota alphard
miongni mwa vitu muhimu katika toyota alphard ni kamera maana kuendesha gari kubwa kama alphard hasa linapokuja swala la parking lingesumbua sana lakini kwa alphard kilikuwa solved before maana kupitia camera zilizopo mbele na nyuma yagari dereva ataweza ona kilichopo mbele na nyuma ya gari moja kwa moja kupitia head unity.
kamera ya mbele imewekwa chini ya grill ya mbele
Hapa pia itategemea na mwaka wa kutengenezwa kuna zenye kamera ya pande mbili hivyo dereva ataweza kuona kushoto na kulia mwa gari lake na kuna zenye kamera tatu hivyo dereva ataweza ona kushoto, kulia na mbele mwa gari lake kamera mbili view
kamera 3 view
kwa kawaida kamera ya mbele huwa inawaka pale unapowasha tu gari ila unaweza izima kwa kupitia kitufe kilichopo kwenye mskanio(stering)
Pia katika alphard zilizotengenezwa baada ya may 2005 kuna button ya kuchagua camera ionyeshe pande mbili au tatu
Kamera ya nyuma imewekwa kwenye mlango wa buti juu ya plate namba, hii huwa outomatic pole unapoweka gia ya kurudi nyuma pia itakuchorea pembe nne ya rangi ya njano ambayo ni maximum ya gari kurudi nyuma na pembenne nyekundu ambayo ni extream position kama kwenye picha
Pale utakapoanza kukata kona ile langi ya njano itaanza elekea kule stering inapo elekea wakati mstari wa kijani utabaki ukionyesha uelekeo halisi wa gari
Nitajaribu kugusia sehemu mbalimbali za hizi gari ingawa si katika mpagilio sana maana mimi si muandishi mzuri
Toyota alphard ni gari zilizoanza kutengenezwa mwaka 2002 kama MPV (Mini Passenger Vehicle) hasa kwa soko la ndani (Japan). Mpaka sasa kuna vizazi vitatu vya toyota alphard, kizazi cha kwanza kilianzia 2002-2007, cha pili 2008-2014 na cha tatu ni 2014 na kuendelea
first generation
second G
3 generation
Tukianza na first generation
Kwa ufupi hapa palikuwa na model 3 ambazo ni ambazo ni alphard V, alphard G na alphard hybrid.
Jinsi ya kugundua Alphard imetengenezwa lini
Mara nyingi gari tunazonunua huwa zimekwisha tumika hivyo katika kujiridhisha ni vizuri ukajua hii gari ilitengenezwa lini, kwa upande wa toyota alphard utafanya kama ifuatavyo
1. Angalia chassis namba ya gari ili kujihakikishia mwaka ulioandikwa ndio huo muuzaji anausema? Kama alphard yako ni pre face lifted (PFL) fungua boneti na kopi chesesi namba za zilizopo upande wa kushoto baada ya kufungua boneti
Na kama alphard yako ni face lifted(FL) imeandikwa nyuma ya injini hivyo toa plastic lililoziba utazikuta
Baada ya hapo ingiza hizo chesisi namba Check Manufacture Year - Japan Partner itakutajia hiyo alphard ilitengenezwa mwaka gani hii ni njia ya kwanza ya kugundua alphard yako imetengenezwa lini.
2. Njia ya pili angalia lebo iliopo kwenye siti belt ingawa wauzaji wengi hukata hii lebo.
3. Kama ukikuta alphard yako lebo wametoa nenda kwenye mfuniko wa tool box uliopo upande wa kushoto mwa buti hapo kuna plastic la mfuniko ligeuze nyuma utaona kuna tebo inavidoti doti mstari wa kushoto uliosimama unaonyesha mwaka wakati mstari wa juu uliolala unaonyesha miezi wakati kidoti katikati ya tebo kitakuonyesha wiki hivyo kwa kuunganisha hivyo vitu vitatu utaweza jua gari lako limetengenezwa mwaka gani mwezi gani na wiki ya ngapi mfano hapo kwenye picha gari imetengenezwa wiki ya kwanza july 2005 hizi siri za magari hata wauzaji wengi huwa hawazijui nilichogundua.
Tofauti kati ya alphard Pre face lifted(PFL) and New Face lifted
kama nilivyosema alphard zilianza kutengenezwa 2002 lakini kufikia may 2005 kuna mabadiliko kidogo yalifanyika katika bodi kama ifuatavyo
Kwa nje kulikuwa na mabadiliko katika headlight cluster kwa taa za mbele na nyuma alphard zilizotengenezwa baada ya may 2005 katika taa za mbele kwa pembeni kuna vinundu viwili wakati za awali zilikuwa na kinundu kimoja pia mpya zikawa na taa nyeupe yote wakati za awali zilikuwa na kinundu cha orange kutokana na size ya taa kuwa tofauti hivyo hata front grill zilitofautiana ingawa kwa mocho huwezi gundua ila ukiwa makini utaona new face lift(NFL) grill ya juu ni kubwa kuliko ya PFL model kama katika hiyo picha ya upande wa kushoto utofauti mwingine upo katika taa za nyuma za indiketa alphard za awali zilikuwa na mstari mmoja wa indiketa wakati zilizofanyiwa maboresho zilikuwa na mistari miwili tofauti nyingine ni kwenye taa za kurudi nyuma PFL(left photo) ilikuwa na taa ndogo wakati NFL ikawekwa taa kubwa zenye distinct light elements
NDANI
Kwa ndani kitu kikubwa kilichobadilishwa ni head uni, NFL iliwekewa head unit kubwa (picha ya kushoto) yenye 8-inch wakati za awali zilikuwa na head unit ndogo
Jinsi ya kujua kama alphard ni 2WD au 4WD
Kwakuangalia kwa nje huwezi kutambua kama ni 2WD au 4WD labda kama hutojali chungulia chini utaona shaft imeenda tairi za nyuma na diff, njia nyingine ni kwakuangaria odel code na hapa huwa tunaangaria the first 5 alphanumeric ya model code ndio itakayotueleza kama gari ni 2WD au 4WD nazani itakuwa rahisi kama nitaweka katebo kuonyesha utofauti.
model code | engine code | grade | trasmission |
MNH 10W | 1MZ-FE (3.0L gasoline) | MZ/MS/MX | Front Wheel Drive |
ANH 10W | 2AZ-FE (2.4L gasoline) | AS/AX | Front Wheel Drive |
MNH 15W | 1MZ-FE (3.0L gasoline) | MZ/MS/MX | Four Wheel Drive |
ANH 15W | 2AZ-FE (2.4L gasoline | AS/AX | Four Wheel Drive |
Kwa alphard hizi model code zipo kwenye chassis plate kwa toleo la kwanza kabla ya kuinuliwa juu (pre face lifted) huandikwa upande wa kushoto baada ya kufungua boneti na kwa (face lifted model) huandikwa kwenye mlango wa mbele wa abiria. kwakuangaria hiyo tebo kama model code ni 10 basi hoyo ni 2WD na kama ni 15 basi ni 4WD
Kamera katika toyota alphard
miongni mwa vitu muhimu katika toyota alphard ni kamera maana kuendesha gari kubwa kama alphard hasa linapokuja swala la parking lingesumbua sana lakini kwa alphard kilikuwa solved before maana kupitia camera zilizopo mbele na nyuma yagari dereva ataweza ona kilichopo mbele na nyuma ya gari moja kwa moja kupitia head unity.
kamera ya mbele imewekwa chini ya grill ya mbele
Hapa pia itategemea na mwaka wa kutengenezwa kuna zenye kamera ya pande mbili hivyo dereva ataweza kuona kushoto na kulia mwa gari lake na kuna zenye kamera tatu hivyo dereva ataweza ona kushoto, kulia na mbele mwa gari lake kamera mbili view
kamera 3 view
kwa kawaida kamera ya mbele huwa inawaka pale unapowasha tu gari ila unaweza izima kwa kupitia kitufe kilichopo kwenye mskanio(stering)
Pia katika alphard zilizotengenezwa baada ya may 2005 kuna button ya kuchagua camera ionyeshe pande mbili au tatu
Kamera ya nyuma imewekwa kwenye mlango wa buti juu ya plate namba, hii huwa outomatic pole unapoweka gia ya kurudi nyuma pia itakuchorea pembe nne ya rangi ya njano ambayo ni maximum ya gari kurudi nyuma na pembenne nyekundu ambayo ni extream position kama kwenye picha
Pale utakapoanza kukata kona ile langi ya njano itaanza elekea kule stering inapo elekea wakati mstari wa kijani utabaki ukionyesha uelekeo halisi wa gari