Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,626
Mwingine akikasirika yeye ana kupa jitumbua tuuuu!! kwa mitindo yake yoote anayo jua!! ili kukupoza injini ya hasira zako na kweli utapoaaaa baaada ya kupiga mashine kiswasawa si unataka kula baada ya kazi?1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu!
2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere!
huwezi kuomba chakula ukiwa na hasira lazima uwe mpole tu!!! hii njia ni nzuri sana km umebarikiwa kuwa nayo mtadumu na mumeo mpka mchakae!! utambato weee!! mpaka ulie pooo!!
hata ukimaliza unamalizia humo!! humo!! hakupi nafasi ya kupumzika!! matokeo ni kuwa na watoto wengi!! anakukomoa kwa hali km hii! na hela utaacha nyingi!! ila nawashauri tu muachege hasira wamama!