Fahahu hivi ndio vyuo bora ambao wanafunzi wake hufanya vizuli maofisini na kozi

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya vizuli tukianza

jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara

1.T.I.A.........CHUO BORA KWA ACCOUNTS AND PROCUREMENT

2.UDSM.......CHUO BORA KWA LAW,HR,POLITICAL SCIENCE,STATISTICS,EDUCATION,BCOM AND ENGINEERING

3.I.F.M..........CHUO BORA KWA BANKING AND FINANCE


4.D.I.T...........CHUO BORA KWA ENGINEERING EXPCEPT COMPUTER ENGINEERING

5.MUHAS AND KCMC.......PHARMACY AND MEDICINE

6.LEARN IT.......CHUO BORA CHA INFORMATION TECHNOLGY

7.ARDHI UNIVERSITY.........CHUO BORA KWA ARCHETURE AND URBAN PLANNING

8.N.I.T AND VETA.............DRIVERS AND AUTOMOBILE ENGINEERING


9.MAGOGONI.......... secretarial COURSE........


10.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli



12.BANDARI COLLEGE ....... clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu sana bandarini


13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli


14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi


15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling




16.D.S.J......... journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali


17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject




kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote
 
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya vizuli tukianza

jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara

1.t.i.a accounts and procurement hufanya kazi vizuli kuliko wanafunzi wa vyuo
katika idara kuliko vyuo vingine

2.udsm bicom,law,hr and education hapa ndio udsm hufanya vizuli katika hizi fani
political science,economics,
statisicts, engineering kidogo

3.ifm banking and finance hii ndiyo kozi tuu ambayo graduates wa ifm
hukubalika kuliko zingine zoteee


4.d.i.t engineering kasoro tuu computer hapa hutoa graduates wazuli katika
engineering ndo sio wazuli kasoro computer engineer graduate
sio wazuli maofisini


5.muhas medicine and pharmacy hapo tuuu ndo hukubalikaaaaa



6.learn it information technology hawa madogo toka hiki chuo hukubalika sana
chuo chao hakina jina ila maofisini ndio
hufanya vizuli katika idara za
it department


7.mzumbe accounts and finance hii ndio kozi ambayo chuo cha mzumbe vijana
wao hukubalikaa kuliko vyuo vyotee


8.ardhi architeture hiii ndio kozi tuu ambayo ukisoma arhi



9.n.i.t and veta drivers and aotomobile hapa vijana hawa ndio hukubalikaaa
engineering


10.magogoni secretarial hapa ndipo good secretary wanapotoka


11.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli



12.bandari college clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu


13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli


14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi


15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling




16.d.s.j journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali


17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject




kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote
wenda una mawazo mazuri...lakini kwa hii lugha ulitumia hakika umepotosha maana na dhumuni la uzi wako!! LUGHA MBAYA....KAJIPANGE!!!!
 
Vipi marketing, procurement, na BBA zote za mzumbe? Nimefanya BAF mzumbe but BBA logistics, marketing and enterprenurship za mzumbe ni kali sana as wana interaction nzuri sana na walimu as wapo wachache sana,, mafano mwaka wangu watu wa procurement walikuwa 20 tu darasan kwao kias cha walimu kumjua kila mtu na uwezo wake, na hata assigment na presentations wao wanafanya individual hakuna kutegeana,,, also baada ya kuajiriwa nikagundua uwezo wa kichwa cha mtu ndo muhim kuna watu wamesoma udom, saut, tumaini etc but they are too good kwenye utendaji kuliko hata waliosoma kwenye ivy league universities
 
Hebu rekebisha heading yako,kama na wewe ni mhitimu wa mojawapo ya vyuo hivyo basi tuna kila sababu ya kutilia shaka ubora huo kwa kuangalia uandishi wako
 
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya vizuli tukianza

jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara

1.t.i.a accounts and procurement hufanya kazi vizuli kuliko wanafunzi wa vyuo
katika idara kuliko vyuo vingine

2.udsm bicom,law,hr and education hapa ndio udsm hufanya vizuli katika hizi fani
political science,economics,
statisicts, engineering kidogo

3.ifm banking and finance hii ndiyo kozi tuu ambayo graduates wa ifm
hukubalika kuliko zingine zoteee


4.d.i.t engineering kasoro tuu computer hapa hutoa graduates wazuli katika
engineering ndo sio wazuli kasoro computer engineer graduate
sio wazuli maofisini


5.muhas medicine and pharmacy hapo tuuu ndo hukubalikaaaaa



6.learn it information technology hawa madogo toka hiki chuo hukubalika sana
chuo chao hakina jina ila maofisini ndio
hufanya vizuli katika idara za
it department


7.mzumbe accounts and finance hii ndio kozi ambayo chuo cha mzumbe vijana
wao hukubalikaa kuliko vyuo vyotee


8.ardhi architeture hiii ndio kozi tuu ambayo ukisoma arhi



9.n.i.t and veta drivers and aotomobile hapa vijana hawa ndio hukubalikaaa
engineering


10.magogoni secretarial hapa ndipo good secretary wanapotoka


11.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli



12.bandari college clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu


13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli


14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi


15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling




16.d.s.j journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali


17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject




kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote

hujafanya utafiti bado unaonekana unakurupukia majina tu!mfano hiyo numero 14 hakuna kitu kama hicho ingawa ni chuo chao lakini uliza watu wote wanaofanya kazi TRA hakuna anaetokea ITA majority ni IFM na CBE tna usiendelee kutudanganya hii sio facebook
 
Hivi mkuu ulipitia hata hiyo title ya thread?..,maana kwa hiyo tu kuna kui-discredit sana!!Halafu huo uandishi? nina wasi wasi nayo!

-Then nani walifanya huo utafiti?? Lini na kwa muda gani?
 
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya vizuli tukianza

jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara

1.t.i.a accounts and procurement vizuli hufanya kazi kuliko wanafunzi wa vyuo
katika idara kuliko vyuo vingine

2.udsm bicom,law,hr and education hapa ndio udsm hufanya vizuli katika hizi fani
political science,economics,
statisicts, engineering kidogo

3.ifm banking and finance hii ndiyo kozi tuu ambayo graduates wa ifm
hukubalika kuliko zingine zoteee


4.d.i.t engineering kasoro tuu computer hapa hutoa graduates wazuli katika
engineering ndo sio wazuli kasoro computer engineer graduate
sio wazuli maofisini


5.muhas medicine and pharmacy hapo tuuu ndo hukubalikaaaaa



6.learn it information technology hawa madogo toka hiki chuo hukubalika sana
chuo chao hakina jina ila maofisini ndio
hufanya vizuli katika idara za
it department


7.mzumbe accounts and finance hii ndio kozi ambayo chuo cha mzumbe vijana
wao hukubalikaa kuliko vyuo vyotee


8.ardhi architeture hiii ndio kozi tuu ambayo ukisoma arhi



9.n.i.t and veta drivers and aotoe hapa vijana hawa ndio hukubalikaaa
engineering


10.magogoni secretarial hapa ndipo good secretary wanapotoka


11.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli



12.bandari college clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu


13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli


14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi


15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling




16.d.s.j
journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali


17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject




kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote

Nitarudi ............
 
duh vp walio soma SUA, KAIRUKI, KCMC,S.T AGUST,ST.JOHN'S,MIPANGO,...ww mbna umesoma kati ya vyuo ulivyo vtaja kuanda umechmsha, au ndo mbulula.
 
Yaani hizi ndo janjajanja colleges, yaani uandishi poor, thread yenyewe hovyo na nahisi ni yakwako kwani source yake haijitosherezi, mi nadhani nawe ni walewale umeamua kuja kivyako
 
Kumbe tunasoma ili tufanye kazi maofisini tu, itabidi ufanye utafiti mwingine wa kuonyesha wanaofanya vizuri uraiani
 
corrections: ni vizuri sio vizuli.
okay mkuu umesomeka, vipi umegumia kigezo gani kaka? umewachunguza graduates walio maofisini au maeneo ya kazi au umetumia ukongwe wa vyuo au? tunajua samaki mmoja akioza wote wanatupw, may be kuna mfanyakazi mmoja ulimuona mzembe ukauliza background yake ukaambia alisoma chuo flani, ndio we ukachukulia hiko chuo ni vilaza. mie sijakubaliana na list yako ata kidogo.
haya chuo kama udom(i am currently study here) bado kichanga coz kilianza 2007 na its first graduates walikua 2010, je umewachunguza wote? vipi umekiweka ktk nafasi ya ngapi kutokana na huyo list yako ya kukatishana tamaa?
udsm, chuo kikongwe na kinaaminika kua ni bora kuliko vyote Tanzania, vipi kina college nyingi, wewe ume base ktk nn?

hasira.:mad::thumbdown::banghead::confused::what::screwy:
 
asante. hatuna mpango wa kuingia ktk mashindano yanayo andaliwa na wataalam ma selfish,
 
Back
Top Bottom