Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya vizuli tukianza
jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara
1.T.I.A.........CHUO BORA KWA ACCOUNTS AND PROCUREMENT
2.UDSM.......CHUO BORA KWA LAW,HR,POLITICAL SCIENCE,STATISTICS,EDUCATION,BCOM AND ENGINEERING
3.I.F.M..........CHUO BORA KWA BANKING AND FINANCE
4.D.I.T...........CHUO BORA KWA ENGINEERING EXPCEPT COMPUTER ENGINEERING
5.MUHAS AND KCMC.......PHARMACY AND MEDICINE
6.LEARN IT.......CHUO BORA CHA INFORMATION TECHNOLGY
7.ARDHI UNIVERSITY.........CHUO BORA KWA ARCHETURE AND URBAN PLANNING
8.N.I.T AND VETA.............DRIVERS AND AUTOMOBILE ENGINEERING
9.MAGOGONI.......... secretarial COURSE........
10.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli
12.BANDARI COLLEGE ....... clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu sana bandarini
13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli
14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi
15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling
16.D.S.J......... journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali
17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject
kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote
jina la chuo fani sifa za graduate maofisini katika idara
1.T.I.A.........CHUO BORA KWA ACCOUNTS AND PROCUREMENT
2.UDSM.......CHUO BORA KWA LAW,HR,POLITICAL SCIENCE,STATISTICS,EDUCATION,BCOM AND ENGINEERING
3.I.F.M..........CHUO BORA KWA BANKING AND FINANCE
4.D.I.T...........CHUO BORA KWA ENGINEERING EXPCEPT COMPUTER ENGINEERING
5.MUHAS AND KCMC.......PHARMACY AND MEDICINE
6.LEARN IT.......CHUO BORA CHA INFORMATION TECHNOLGY
7.ARDHI UNIVERSITY.........CHUO BORA KWA ARCHETURE AND URBAN PLANNING
8.N.I.T AND VETA.............DRIVERS AND AUTOMOBILE ENGINEERING
9.MAGOGONI.......... secretarial COURSE........
10.madini mining and minerals hapa ndipo vijana hufanya vizuli
12.BANDARI COLLEGE ....... clearing and forwading hapa vijana toka hichi chuo hapata
and port mangement sana shavu sana bandarini
13.d.m.i water transporation mabahalia wengi kutoka hiki chuo
hufanya vizuli
14.i.t.a tax administration hichi ndio chuo pekee t.r.a hupenda
kuchukua vijana wakafanye kazi
15.civil aviation air hostels,flight operators
training cargo handling
16.D.S.J......... journalism hiki ndio chuo ambacho hutoa graduates
wazuli kuliko vyuo vyote tanzaniaa katika
tasnia ya habali
17.muccobs corperative hapa ndio kidogo cooperative subject
kuhusu vyuo vingine...........sikuwahi kupata sifa zao wakiwa maofisini ....lakini hivi ndivyo vyuo pekeeee ambavyo ukisoma hizi fani unakubalika kuliko chuo chochote