Environmental Security
Senior Member
- May 21, 2020
- 181
- 261
Kuna facts nyingi ambazo ukifuatilia utajua kuwa Magufuli ni Muhimu sana kwa taifa hili na yupo kwa wakati sahihi.
Vision 2000 - 2025, inaelekea kufikia mwisho na bado tulikuwa nyuma sana katika kuifikia malengo mengi katika vision hii, kuna mahali ambapo nchi inatakiwa kuwepo ili kushabihiana na dira yetu hii, kwa jinsi tulivyokuwa nyuma katika kufikia malengo yetu, imetufaa sana kumpata rais ambaye kasi yake, maamuzi yake, uthubutu wake umetupeleka kwa kasi katika kuona kuwa inawezekana kufukia malengo yetu ya vision 20-25. (Nimeiambatanisha nashauri tupate muda wa kuisoma)
Ni ajabu namna ambavyo amefanikiwa kufanya sekta zote zipige hatua, Elimu ufaulu umeongezeka na mazingira na kufundisha na kujifunza yameboreshwa, maliasili za taifa hazichezewi hovyo na zinachangia pato la taifa sasa, sekta ya afya inaimarika kila siku kwa majengo, watalam, vifaa na ubora wa huduma, ulinzi na usalama sina mengi ya kusema ila ndio eneo limekua stable kwelikweli, nidhamu na ufanisi katika sekta ya utumishi wa umma imeimarika sana, kilimo kinaleta tija mija kwa moja kwa mkulima na tuna usalama wa chakula kama taifa, usafirishaji na uchukuzi amegusa sana huko na tunashuhudia, maji ya bomba na visima vya uhakika sasa hadi vijijini kama kwetu nilipo, sanaa na michezo limeboreshwa kiasi cha kuzalisha mabilionea na ni sekta inatabirika, mifugo na uvuvi tunaona tunapoelekea sio kwa kupapasa kama ilivyokuwa zamani, na nchi na wananchi tunanufaika sasa. (ni mengi nitaendelea kueleza na ninajua wengi wetu tunayafahamu)
Personality yake, aina ya maamuzi anayofanya, ujasiri, ufuatiliaji wa mambo na taarifa (into details) usimamizi wa fedha za umma, nia yake ya dhati ya kutaka taifa liwe taifa imara na lenye proud vinafanya kuwa yeye binafsi kwa kuanzia anakuwa mtu muhimu sana kwa taifa kwa majira haya na nyakati hizi, ili kufikia ndoto za taifa letu na watu wake.
Kwasasa tuna uhakika kuwa hakuna jambo litabaki likiwa halijafanyiwa maamuzi sahihi, ikiwa bado basi tuna hakika ndili linalofuata.
Tunaye Rais sahihi, let us be proud of kilicho chakwetu.
Vision 2000 - 2025, inaelekea kufikia mwisho na bado tulikuwa nyuma sana katika kuifikia malengo mengi katika vision hii, kuna mahali ambapo nchi inatakiwa kuwepo ili kushabihiana na dira yetu hii, kwa jinsi tulivyokuwa nyuma katika kufikia malengo yetu, imetufaa sana kumpata rais ambaye kasi yake, maamuzi yake, uthubutu wake umetupeleka kwa kasi katika kuona kuwa inawezekana kufukia malengo yetu ya vision 20-25. (Nimeiambatanisha nashauri tupate muda wa kuisoma)
Ni ajabu namna ambavyo amefanikiwa kufanya sekta zote zipige hatua, Elimu ufaulu umeongezeka na mazingira na kufundisha na kujifunza yameboreshwa, maliasili za taifa hazichezewi hovyo na zinachangia pato la taifa sasa, sekta ya afya inaimarika kila siku kwa majengo, watalam, vifaa na ubora wa huduma, ulinzi na usalama sina mengi ya kusema ila ndio eneo limekua stable kwelikweli, nidhamu na ufanisi katika sekta ya utumishi wa umma imeimarika sana, kilimo kinaleta tija mija kwa moja kwa mkulima na tuna usalama wa chakula kama taifa, usafirishaji na uchukuzi amegusa sana huko na tunashuhudia, maji ya bomba na visima vya uhakika sasa hadi vijijini kama kwetu nilipo, sanaa na michezo limeboreshwa kiasi cha kuzalisha mabilionea na ni sekta inatabirika, mifugo na uvuvi tunaona tunapoelekea sio kwa kupapasa kama ilivyokuwa zamani, na nchi na wananchi tunanufaika sasa. (ni mengi nitaendelea kueleza na ninajua wengi wetu tunayafahamu)
Personality yake, aina ya maamuzi anayofanya, ujasiri, ufuatiliaji wa mambo na taarifa (into details) usimamizi wa fedha za umma, nia yake ya dhati ya kutaka taifa liwe taifa imara na lenye proud vinafanya kuwa yeye binafsi kwa kuanzia anakuwa mtu muhimu sana kwa taifa kwa majira haya na nyakati hizi, ili kufikia ndoto za taifa letu na watu wake.
Kwasasa tuna uhakika kuwa hakuna jambo litabaki likiwa halijafanyiwa maamuzi sahihi, ikiwa bado basi tuna hakika ndili linalofuata.
Tunaye Rais sahihi, let us be proud of kilicho chakwetu.