Facts: Huenda Tundu Lissu anatumiwa na wamiliki wa migodi

Laxina apondwe. Hujasoma yote? Amesema alihongwa jumba sasa yuko upande wao.
Kupokea na kutoa rushwa ni kosa mbele ya sheria. Je, waweza thibitisha kuhongwa jumba kwa Lissu? Na huo mgodi uliomhonga uutaje humu ili kuondoa migongano.
Na kama Una ushahidi nenda kawape takukuru ili wamkamate. Kinyume chake wewe no mzushi na mvamizi wa jukwaa kwa kuleta kwako habari za uongo. Hivi nawe unapokea posho kutoka Lumumba?
Nikuongeze na hill: Wewe na mwalimu wenu pole×2 mmeshashindwa kujenga hoja za kipropaganda. Mkajipange upya kupambana na Lissu kwani siyo size yenu! Mtaishia kumweka rumande tu na mkifika kwa pilato mnaufyata!
 
Wakati Tundu Lissu ana-deal na wenye migodi alikuwa anahudumu kama mmoja wa wanasheria wa LEAT... Lawyer's Environmental Action Team of Tanzania

Hiki ndicho kipindi nilimfahamu Tundu Lissu... kabla hata Mbowe simfahamu let alone hawa wengine!!!

I was a young boy by the time... nilikuwa namshangaa kweli kweli jinsi alivyokuwa anaichana chana serikali ya Mkapa!!

Na kwa udogo wangu ule, na ukiangalia siasa za miaka ile, nilikuwa najiuliza "huyu jamaa haogopi!" Hiki ni kipindi ambacho CHADEMA wala haikudhaniwa ingefika hapa ilipofikia leo hii!!!

Nadhani wamiliki wa migodi walikuwa wanamhara zaidi Tundu Lissu kuliko kiumbe kingine chochote kwenye ardhi ya Tanzania hii!!!

Mgodi husika unaohangaika kutafuta taarifa zake ni Bulyanhulu enzi hizo wakati ukimilikiwa na Sutton Resources Ltd ya Canada. Kuna makumi ya Watanzania walifukiwa ardhini wakiwa hai mwaka 1996 !! Ni issue ambayo ili-hit hadi House of Commons huko Canada!!

NI Tundu Lissu na wenzake wa LEAT ndie waliokomalia hii kesi kiasi polisi walifikia hadi kuivamia nyumba ya Tundu Lissu na kufanya upekuzi. World Bank wakafanya cover-up kwa kusema madai ya akina Lissu ni uzushi na hakuna mtu yeyote aliyekuwa amefukiwa ardhini!!! Na kwamba hata video iliyokuwa imetolewa as evidence ilikuwa fake!!!

Msimamo huo wa World Bank ulikuwa ndio msimamo wa serikali ya Tanzania!!!
 
Nyie ndo mmelifikisha Taifa hapa kwa akili finyu kama zako. Mtu kahangaika mpaka anawekwa ndani na wanaouza madini yetu kwa bei ya kutupwa na wewe unaleta ngojera za hovyo hapa. Lalamika na waliotuuza kwa kusaini mikataba hovyo unawajua unajifanya hujui.
WAKUU Heshima kwenu
kunauchunguzi mimi mtwa mkulu niliingia kuufanya hasa wakati wa awamu iliyo pita. Niligundua kuwa baadhi ya vijana machachari kipindi kile kutoka upinzani walikuwa wakipiga hela nyingi kwa kuwatisha vigogo kuwa wamepata tuhuma na ili wasitoe taarifa bungeni wanahitaji kiwango kikubwa cha fedha. Nilipata taarifa hizi ila kwa kukosa ushahidi wa wazi nilishindwa kulianika.
wiki hii baada ya kupata hotuba ya mwanasheria mbobezi Tundu Lissu niliumia sana kwani niliona akijishushia credibility yake nikapata shaka sana iwapo nia akili yake. Katika taarifa za siri ambazo mtoa taarifa wangu amenipa ni kuwa Tundu lissu amefanya kazi katika baraza la maaskofu Tanzania yaani CCT wakati furani kitengo cha haki za binadamu... wakati huo alipigania sana haki za wananchi waliokuwa wakinyanyaswa katika migodi kama tunavyotambua kuwa watanzania wengi walinyanyasika sana hasa awamu ile ya Tatu. Mtoa taarifa huyo ambae ni kiongozi wa kanisa moja wapo kati ya makanisa yanayounda CCT amenitonya kuwa Tundu Lissu amewahi kutoa hotuba kuhusu madini iliyowaliza maaskofu.
Siku za badae kuna kesi dhidi ya mgodi furani unaoshutumiwa sana kukiuka haki za binadamu hapa nchini ilianzishwa na Tundu Lissu akiwa si chini ya hawa wa CCT tena alionekana kuwa mwiba mkubwa kwa mabwenyenye. Nitautaja mgodi huo uchunguzi wangu ukikamilika. Hawa jamaa walimuhonga Lissu jumba la kifahari na hivyo kumfanya awe kimya kuongelea masuala ya madini, na pale ambapo maslahi ya watu wa magharibi yakiguswa Tundu Lissu hawezi kukubali kwasababu ni mabwana zake na kuna kitu ananufaika.
Wito wangu Serikali imchunguze bwana huyu ili itakapo bainika asiachiwe bila kujali yatazungumzwa yapi. Yapo mambo mengi ambayo yalihitaji ushiriki wa mwanasheria huyu mfano ni watu wengi walio fukiwa katika mgodi kule Geita nyakati zile za kifo cha baba wa taifa star TV wanayo video lakini nguli huyu anakalia akili mfukoni na kuthubutu kueneza uongo usio kuwa na maslahi na taifa.
kwa
 
WAKUU Heshima kwenu
kunauchunguzi mimi mtwa mkulu niliingia kuufanya hasa wakati wa awamu iliyo pita. Niligundua kuwa baadhi ya vijana machachari kipindi kile kutoka upinzani walikuwa wakipiga hela nyingi kwa kuwatisha vigogo kuwa wamepata tuhuma na ili wasitoe taarifa bungeni wanahitaji kiwango kikubwa cha fedha. Nilipata taarifa hizi ila kwa kukosa ushahidi wa wazi nilishindwa kulianika.
wiki hii baada ya kupata hotuba ya mwanasheria mbobezi Tundu Lissu niliumia sana kwani niliona akijishushia credibility yake nikapata shaka sana iwapo nia akili yake. Katika taarifa za siri ambazo mtoa taarifa wangu amenipa ni kuwa Tundu lissu amefanya kazi katika baraza la maaskofu Tanzania yaani CCT wakati furani kitengo cha haki za binadamu... wakati huo alipigania sana haki za wananchi waliokuwa wakinyanyaswa katika migodi kama tunavyotambua kuwa watanzania wengi walinyanyasika sana hasa awamu ile ya Tatu. Mtoa taarifa huyo ambae ni kiongozi wa kanisa moja wapo kati ya makanisa yanayounda CCT amenitonya kuwa Tundu Lissu amewahi kutoa hotuba kuhusu madini iliyowaliza maaskofu.
Siku za badae kuna kesi dhidi ya mgodi furani unaoshutumiwa sana kukiuka haki za binadamu hapa nchini ilianzishwa na Tundu Lissu akiwa si chini ya hawa wa CCT tena alionekana kuwa mwiba mkubwa kwa mabwenyenye. Nitautaja mgodi huo uchunguzi wangu ukikamilika. Hawa jamaa walimuhonga Lissu jumba la kifahari na hivyo kumfanya awe kimya kuongelea masuala ya madini, na pale ambapo maslahi ya watu wa magharibi yakiguswa Tundu Lissu hawezi kukubali kwasababu ni mabwana zake na kuna kitu ananufaika.
Wito wangu Serikali imchunguze bwana huyu ili itakapo bainika asiachiwe bila kujali yatazungumzwa yapi. Yapo mambo mengi ambayo yalihitaji ushiriki wa mwanasheria huyu mfano ni watu wengi walio fukiwa katika mgodi kule Geita nyakati zile za kifo cha baba wa taifa star TV wanayo video lakini nguli huyu anakalia akili mfukoni na kuthubutu kueneza uongo usio kuwa na maslahi na taifa.
Akili ya panya buku na nguruwe
 
Lissu kaongea upuuzi sn. Wanasaisa wetu daima ni washenzi sn wanawajibika tu kwenye maslahi bnafsi. Anamtishia nani? Mbafu kabsa na jana Gwajima kamchana. Mwanasheria gani anampinga Lowassa akijidai kwa findings then kuja cdm ni msafi. Hv, wanadhani hatuna akl? Mnao geuzwa kwa mitaji yao ya kisiasa endeleeni.
 
Utaendaje? kumshauri Mtu asiyeshaurika na anayejiona mjuaji,na anayeuchukulia Upinzani ni uadui,utaku wewe ni mgeni wa hiz siasa za TZ
 
Lakini si Tundu Lissu huyu huyu aliyekuwa anapinga mikataba na Sheria ya madini ambayo ilipitishwa kwa mbwembe? alikuwa anatumiwa na nani wakati ule??
 
Badala ya kuwachunguza waliosaini mikataba hii ya hovyo unataka tumchunguze Lissu aliekuwa anapinga mikataba hii na sasa anawakumbusha ujinga wenu!
Acha tuendelee tu kuibiwa. Utadhani Tundu Lissu hana uhuru wa kutoa mawazo yake. Shame on us
 
maslahi gani mapana umeyaona katika hotuba yake? kwanza imenitia kichefu chefu ni aibu sana kwa taaluma ya sheria
Wewe ni mwanasheria? Toa basi ushauri wako wa kisheri kwani ni lazima awe Lissu? Mbona wanasheria wako wengi!
 
Badala ya kuwachunguza waliosaini mikataba hii ya hovyo unataka tumchunguze Lissu aliekuwa anapinga mikataba hii na sasa anawakumbusha ujinga wenu!

Tatizo la CCM ni kutafuta wa kula naye,kwa Lissu wameshindwa sasa wamekuja na hoja dhaifu kabisa.
 
WAKUU Heshima kwenu
kunauchunguzi mimi mtwa mkulu niliingia kuufanya hasa wakati wa awamu iliyo pita. Niligundua kuwa baadhi ya vijana machachari kipindi kile kutoka upinzani walikuwa wakipiga hela nyingi kwa kuwatisha vigogo kuwa wamepata tuhuma na ili wasitoe taarifa bungeni wanahitaji kiwango kikubwa cha fedha. Nilipata taarifa hizi ila kwa kukosa ushahidi wa wazi nilishindwa kulianika.
wiki hii baada ya kupata hotuba ya mwanasheria mbobezi Tundu Lissu niliumia sana kwani niliona akijishushia credibility yake nikapata shaka sana iwapo nia akili yake. Katika taarifa za siri ambazo mtoa taarifa wangu amenipa ni kuwa Tundu lissu amefanya kazi katika baraza la maaskofu Tanzania yaani CCT wakati furani kitengo cha haki za binadamu... wakati huo alipigania sana haki za wananchi waliokuwa wakinyanyaswa katika migodi kama tunavyotambua kuwa watanzania wengi walinyanyasika sana hasa awamu ile ya Tatu. Mtoa taarifa huyo ambae ni kiongozi wa kanisa moja wapo kati ya makanisa yanayounda CCT amenitonya kuwa Tundu Lissu amewahi kutoa hotuba kuhusu madini iliyowaliza maaskofu.
Siku za badae kuna kesi dhidi ya mgodi furani unaoshutumiwa sana kukiuka haki za binadamu hapa nchini ilianzishwa na Tundu Lissu akiwa si chini ya hawa wa CCT tena alionekana kuwa mwiba mkubwa kwa mabwenyenye. Nitautaja mgodi huo uchunguzi wangu ukikamilika. Hawa jamaa walimuhonga Lissu jumba la kifahari na hivyo kumfanya awe kimya kuongelea masuala ya madini, na pale ambapo maslahi ya watu wa magharibi yakiguswa Tundu Lissu hawezi kukubali kwasababu ni mabwana zake na kuna kitu ananufaika.
Wito wangu Serikali imchunguze bwana huyu ili itakapo bainika asiachiwe bila kujali yatazungumzwa yapi. Yapo mambo mengi ambayo yalihitaji ushiriki wa mwanasheria huyu mfano ni watu wengi walio fukiwa katika mgodi kule Geita nyakati zile za kifo cha baba wa taifa star TV wanayo video lakini nguli huyu anakalia akili mfukoni na kuthubutu kueneza uongo usio kuwa na maslahi na taifa.

Watawala wa CCM ndiyo walioharakisha kifo cha JKN ili waanze kula mapema,kama unaona Lissu anawatetea wawekezaji tuambie basi way forward mwenzio ameweka wayfoward,by the time mkirealise Lissu yuko right mmeshapigwa sana,tu.Hata kama mpinzani msikilizeni mwenzenu anajua zaidi ya pimbi wa Lumumba
 
WAKUU Heshima kwenu
kunauchunguzi mimi mtwa mkulu niliingia kuufanya hasa wakati wa awamu iliyo pita. Niligundua kuwa baadhi ya vijana machachari kipindi kile kutoka upinzani walikuwa wakipiga hela nyingi kwa kuwatisha vigogo kuwa wamepata tuhuma na ili wasitoe taarifa bungeni wanahitaji kiwango kikubwa cha fedha. Nilipata taarifa hizi ila kwa kukosa ushahidi wa wazi nilishindwa kulianika.
wiki hii baada ya kupata hotuba ya mwanasheria mbobezi Tundu Lissu niliumia sana kwani niliona akijishushia credibility yake nikapata shaka sana iwapo nia akili yake. Katika taarifa za siri ambazo mtoa taarifa wangu amenipa ni kuwa Tundu lissu amefanya kazi katika baraza la maaskofu Tanzania yaani CCT wakati furani kitengo cha haki za binadamu... wakati huo alipigania sana haki za wananchi waliokuwa wakinyanyaswa katika migodi kama tunavyotambua kuwa watanzania wengi walinyanyasika sana hasa awamu ile ya Tatu. Mtoa taarifa huyo ambae ni kiongozi wa kanisa moja wapo kati ya makanisa yanayounda CCT amenitonya kuwa Tundu Lissu amewahi kutoa hotuba kuhusu madini iliyowaliza maaskofu.
Siku za badae kuna kesi dhidi ya mgodi furani unaoshutumiwa sana kukiuka haki za binadamu hapa nchini ilianzishwa na Tundu Lissu akiwa si chini ya hawa wa CCT tena alionekana kuwa mwiba mkubwa kwa mabwenyenye. Nitautaja mgodi huo uchunguzi wangu ukikamilika. Hawa jamaa walimuhonga Lissu jumba la kifahari na hivyo kumfanya awe kimya kuongelea masuala ya madini, na pale ambapo maslahi ya watu wa magharibi yakiguswa Tundu Lissu hawezi kukubali kwasababu ni mabwana zake na kuna kitu ananufaika.
Wito wangu Serikali imchunguze bwana huyu ili itakapo bainika asiachiwe bila kujali yatazungumzwa yapi. Yapo mambo mengi ambayo yalihitaji ushiriki wa mwanasheria huyu mfano ni watu wengi walio fukiwa katika mgodi kule Geita nyakati zile za kifo cha baba wa taifa star TV wanayo video lakini nguli huyu anakalia akili mfukoni na kuthubutu kueneza uongo usio kuwa na maslahi na taifa.
Acha majungu kama ni kweli hujui TAKUKURU wako kwaajili yako?
 
Wakuu heshima kwenu,

Kuna uchunguzi mimi mtwa mkulu niliingia kuufanya hasa wakati wa awamu iliyopita. Niligundua kuwa baadhi ya vijana machachari kipindi kile kutoka upinzani walikuwa wakipiga hela nyingi kwa kuwatisha vigogo kuwa wamepata tuhuma na ili wasitoe taarifa bungeni wanahitaji kiwango kikubwa cha fedha. Nilipata taarifa hizi ila kwa kukosa ushahidi wa wazi nilishindwa kulianika.

Wiki hii baada ya kupata hotuba ya mwanasheria mbobezi Tundu Lissu niliumia sana kwani niliona akijishushia credibility yake nikapata shaka sana iwapo nia akili yake. Katika taarifa za siri ambazo mtoa taarifa wangu amenipa ni kuwa Tundu Lissu amefanya kazi katika baraza la maaskofu Tanzania yaani CCT wakati fulani kitengo cha haki za binadamu..

Wakati huo alipigania sana haki za wananchi waliokuwa wakinyanyaswa katika migodi kama tunavyotambua kuwa watanzania wengi walinyanyasika sana hasa awamu ile ya Tatu. Mtoa taarifa huyo ambae ni kiongozi wa kanisa moja wapo kati ya makanisa yanayounda CCT amenitonya kuwa Tundu Lissu amewahi kutoa hotuba kuhusu madini iliyowaliza maaskofu.

Siku za badae kuna kesi dhidi ya mgodi furani unaoshutumiwa sana kukiuka haki za binadamu hapa nchini ilianzishwa na Tundu Lissu akiwa si chini ya hawa wa CCT tena alionekana kuwa mwiba mkubwa kwa mabwenyenye. Nitautaja mgodi huo uchunguzi wangu ukikamilika. Hawa jamaa walimuhonga Lissu jumba la kifahari na hivyo kumfanya awe kimya kuongelea masuala ya madini, na pale ambapo maslahi ya watu wa magharibi yakiguswa Tundu Lissu hawezi kukubali kwasababu ni mabwana zake na kuna kitu ananufaika.

Wito wangu: Serikali imchunguze bwana huyu ili itakapobainika asiachiwe bila kujali yatazungumzwa yapi. Yapo mambo mengi ambayo yalihitaji ushiriki wa mwanasheria huyu mfano ni watu wengi waliofukiwa katika mgodi kule Geita nyakati zile za kifo cha baba wa taifa. Star TV wanayo video lakini nguli huyu anakalia akili mfukoni na kuthubutu kueneza uongo usio kuwa na maslahi na taifa.
Simply myopic! Siku hizi kila mtu ni mtafiti(hovyo)!
Hiyo taarifa unayo Kisha unasema huenda!
 
Back
Top Bottom