KIWAVI
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 1,817
- 699
Makamu mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya huduma za jamii Dr Ndugulile ameharibu mlolongo wa bajeti, ana kampuni ya mambo ya maabara na anaharibu utaratibu wa kuendeleza vitengo kwa kubamba matamanio ya manunuzi ya vifaa vya maabara
bajeti ya wizara hiyo ina mafamba
bajeti ya wizara hiyo ina mafamba