Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,983
- 6,283
Kama ndivyo ilikuaje basi Ndugai amshambulie Mbowe? Baada ya muda ukweli utakuwa wazi.Inahitaji uwe mtu wa reasoning kumuelewa mtoa maada, binafs haiingii akilini et Mdee kakurupuka Tu kwenda kuapa , inaniwia vigumu kukubali na ndo mana najipa mda kuangalia hii show inakwendaje..
Miaka mitano Serikali ya ccm ilikuwa ikipambana na Chadema na kuwaaminisha watu kuwa tatizo kubwa linalokwamisha maendeleo ni Chadema. Sasa wamebaki wenyewe lkn bado wanahangaika kutafuta ushirika na wapinga maendeleo.