Mfahamu vyema mnyama Tembo (Elephant )

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,427
154,274
54077bdd91a5aa362437ba5547b19efa.jpg

1.Tembo pamoja na ukubwa wake akitembea hana kishindo kabisa miguu yake kwa chini ni kama ina sponge hivi.

2.Tembo anaukubwa wa tani 7

3.Tembo jike hubeba mimba miaka 2

4.Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80

5.Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40

6.Uume wa tembo una kilo 27,ukimuona wakati anafanya mapenzi kwa nyuma unaweza kuhisi ana miguu mitatu.

7.Ni moja kati ya wanyama ambao hawapendi kelele

8.Umri wake wa kuishi ni miaka 60

9.Tembo ana fanya mapenzi kwa masaa 12 masaa 6 ya mwanzo anamuandaa mwenzi wake na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe na hiyo ni ile raundi ya kwanza.

10.Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne

11.Akipiga bao tembo dume manii zake ni ujazo wa lita tano.

54077bdd91a5aa362437ba5547b19efa.jpg


Tunamzungumzia tembo. Huyu ndiye mnyama mkubwa kuliko wote aishiye nchi kavu na anashika namba mbili duniani kwa ukubwa baada ya nyangumi (Blue whale ambaye ana uzito wa tone 190).

Tembo anapatikana katika bara la Africa na barani Asia pekee katika dunia nzima, yupo katika order inayofahamika kama PROBOSCIDEA na familia yake ni ELEPHANTIDAE na uzito wake ni tone 7 kwa dume na tone 5-6 kwa jike pia la tembo hubeba ujauzito wake kwa kipindi cha takribani miezi 22-24 na huyu ndo mnyama anayebeba ujauzito wake kwa mda mrefu kuliko wanyama wote duniani na mtoto wa tembo anapozaliwa anakuwa na uzito wa kilo 120 na urefu wa futi 3.

Tembo hula nyasi na majani ya juu katika matawi ya miti (Browser ) na hula takribani kilo 300 za majani na hunywa maji lita 150-200 kila siku, pia tembo hupumzika masaa nane pekee kwa siku na masaa mengine 16 yaliyobaki huyatumia kutafuta malisho yake.

Hawa pia ni miongoni mwa wanyama walio katika hatari ya kutoweka duniani kutokana na kuwindwa sana na majangili kwa ajili ya meno yao ambayo yana thamani kubwa katika nchi za uarabuni hasa hasa nchini yemeni.

Kwa kawaida tembo huishi katika makundi na kila kundi la tembo huongozwa na tembo jike (matriarch cow or female leader ) wakati madume wao huishi katika kundi la madume pekee (Bachelor herd ) au wakati mwingine mmoja mmoja (Solitary ) na wakati wa ujamianaji madume huwatafuta majike waliopo kwenye heat kwa njia ya harufu pia madume hupigana kweli kweli kwa ajili ya kugombania majike na atakayeibuka mshindi huyo ndiye atakayejamiana na jike aliopo kwenye heat.

Uume wa dume la tembo una takribani kilo 27 na ukifanya kazi vizuri kwa mama wakati wa tendo humwaga maji (manii )lita tano . Tembo huishi duniani(life span ) kwa kipindi cha miaka 60-70 years na hii ni kutokana na kuwa tembo hutegemea sana meno yao yaani iko hivi tembo wana seti sita za meno na kila seti ya meno hulika na Kung'oka wakati wa tembo akila majani, mfano seti ya kwanza ikilika na Kung'oka seti ya pili huchukua nafasi na ya pili nayo ikilika ya tatu huchukua nafasi hivyohivyo hadi seti ya sita ambayo ndiyo seti ya mwisho na hii seti ya sita ikishalika na Kung'oka hapo tembo hatokuwa tena na uwezo wa kula vyakula vigumu kama mizizi, magome ya miti wala majani magumu na badala yake tembo huamia katika maeneo owevu (Marsh area ) na kula nyasi laini ambazo hizi nyasi hazina uwezo virutubisho vya kutosha kwa tembo na baadaye tembo hufa kwa ugonjwa wa utapia mlo (malnutrition ).

Tembo huvuna majani kwa kutumia mkonga wake ambao umeundwa na zaidi ya misuli 1000 pia mkonga wa tembo una kazi nyingi kama kunywa maji, kupumua na kadhalika.

Licha ya kuwa mzito tembo ana uwezo wa kuogelea bila kuzama na ardhini tembo ana uwezo wa kukimbia takribani kilometers 40 kwa saa.

Hapa nchini Tanzania tembo wanapatikana karibia katika hifadhi zote lakini sehemu nzuri zaidi ya kuwaona hawa kwa kaskazini ni TARANGIRE NATIONAL PARK na kusini ni RUAHA NATIONAL PARK.
 
Sasa kuna haja ya kumjadili mnyama hapa? Halafu haya mambo ya kutuletea vipindi vya LEO TENA hayana faida hata moja kwenye jamii ya Great Thinkers.
 
basi kanizidi kwa kilo 5 tu,ila vilivyobakia vyote tuko sawa. Nalog off
 
Sasa kuna haja ya kumjadili mnyama hapa? Halafu haya mambo ya kutuletea vipindi vya LEO TENA hayana faida hata moja kwenye jamii ya Great Thinkers.

Weee Mwita acha hizo. Bujibuji katupa elimu tosha.
 
Sista tembo ndo balaa zaidi...
1) anaweza kuparamiwa na braza tembo kwa 6hrs straight
2) ana k kubwa kama kalavati.....27kg za mshipa wa braza tembo unaingia na naacha 5ltrs za manii...kama sio kalavati hilo ni nini?
 
Tuletee na wanyama wengine Bujibuji ukipata nafasi
 
1.Tembo pamoja na ukubwa wake
akitembea hana kishindo kabisa miguu yake
kwa chini ni kama ina sponge hivi.
2.Tembo anaukubwa wa tani 7
3.Tembo jike hubeba mimba miaka 2
4.Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80
5.Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na
maji lita 40
6.Uume wa tembo una kilo 27,ukimuona
wakati anafanya mapenzi kwa nyuma
unaweza kuhisi ana miguu mitatu.
7.Ni moja kati ya wanyama ambao hawapendi
kelele
8.Umri wake wa kuishi ni miaka 60
9.Tembo ana fanya mapenzi kwa masaa 12
masaa 6 ya mwanzo anamuandaa mwenzi
wake na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe
na hiyo ni ile raundi ya kwanza.
10.Tembo dume huwa na wanawake wawili
mpaka wanne
11.Akipiga bao tembo dume manii zake ni
ujazo wa lita tano.
hapo no 9 ni hatari. ingekuwaje kama na sisi wanadamu inakuwa hivyo, je tungefanya shuguli nyingine kweli maana tunavyopenda iyo issue mh nawaza!
 
Kabla hujamuiga tembo kunya boga bora uyajue haya kwanza.

african-elephant_435_600x450.jpg




  1. Tembo ndie mnyama mkubwa kuliko wote duniani. Hata hivyo, pamoja na ukubwa wake akitembea hana kishindo kabisa, miguu yake kwa chini ni kama ina sponge, na pia hapendi kelele.
  1. Tembo ana ukubwa wa tani 7 na hula mizizi, majani, matunda na magamba ya miti. Tembo pia hunusa harufu ya maji umbali wa meli 3.
  1. Umri wake wa kuishi ni miaka 60 hadi 70.
  1. Mkonga wa Tembo hutumika kwa shughuli nyingi, ikiwemo kuvutia pumzi na kunusia (pua), kulia, kuchotea maji ya kunywa, kukata matawi ya miti, kupigania,
  2. kuchimbia, kupapasana, na hata kujirushia maji na mavumbi kwa ajili ya kuhifadhi ngozi yake na maradhi na wadudu (mkono).
  1. Pembe yake moja inaweza kukaribia kilo 100 na urefu wa zaidi ya nchi 130. Pia jino lake moja linakaribia uzito wa kilo 20.
  1. Tembo anatumia masaa 16 kwa siku kwa kula tu, na kinyesi chake kwa siku kinafika kilo 150.
  1. Tembo huwa hasahau, chochote/yeyote alichowahi/aliyewahi kukiona/kumuona maishani mwake basi huwa anakikumbuka/anamkumbuka mara tu akikiona/akimuona
  1. Tembo huwa wanalia, kuhuzunika, hufurahi na kucheka pia. Vile vile wana huruma kiasi kwamba mtoto anapolia basi wote hukusanyana na kumbembeleza. Pia wanaomboleza pale mmoja wao anapofariki.
  1. Tembo ana uwezo wakuogelea masafa marefu.
  1. Tembo jike hubeba mimba miaka 2.
  1. Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80 hadi 120
  1. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
  1. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi unaweza kuhisi kama vile ana miguu mitatukwa nyuma.
  1. Tembo ana fanya mapenzi kwa masaa 12, masaa 6 ya mwanzo anamuandaa mwenzi wake na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe na hiyo ni ile raundi ya kwanza.
  1. Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne
  1. Tembo dume "akifunga goli / akipiga bao" manii yake yanafika ujazo wa lita tano.
 
Wow...!!!!
Maelezo muruwa, ahsante sana kwa info, najuwa wengi hawajui haya...
Pia nasikia ukitaka kuwakimbiza Tembo karibu ya Mji au Shamba wewe choma pilipili, basi watakereka sana katika mapua yao na wataondoka pale..
 
mengine ya kuchapia.................. mfano urefu wa nchi 130 kwa penbe......................m hapo sio kweli............... halafu tembo hawezi kuswaga wanawake................... anaweza kupanda majike ya tembo tu................ hakuna mwanamke duniani anayewezxa kumhimili tembo.................. tumezoea kusikia majibwa ya wazungu tu yakipewa uroda na wanawake ila sio tembo.....................
 
Kabla hujamuiga tembo kunya boga bora uyajue haya kwanza.

african-elephant_435_600x450.jpg




  1. Tembo ndie mnyama mkubwa kuliko wote duniani. Hata hivyo, pamoja na ukubwa wake akitembea hana kishindo kabisa, miguu yake kwa chini ni kama ina sponge, na pia hapendi kelele.
  1. Tembo ana ukubwa wa tani 7 na hula mizizi, majani, matunda na magamba ya miti. Tembo pia hunusa harufu ya maji umbali wa meli 3.
  1. Umri wake wa kuishi ni miaka 60 hadi 70.
  1. Mkonga wa Tembo hutumika kwa shughuli nyingi, ikiwemo kuvutia pumzi na kunusia (pua), kulia, kuchotea maji ya kunywa, kukata matawi ya miti, kupigania,
  2. kuchimbia, kupapasana, na hata kujirushia maji na mavumbi kwa ajili ya kuhifadhi ngozi yake na maradhi na wadudu (mkono).
  1. Pembe yake moja inaweza kukaribia kilo 100 na urefu wa zaidi ya nchi 130. Pia jino lake moja linakaribia uzito wa kilo 20.
  1. Tembo anatumia masaa 16 kwa siku kwa kula tu, na kinyesi chake kwa siku kinafika kilo 150.
  1. Tembo huwa hasahau, chochote/yeyote alichowahi/aliyewahi kukiona/kumuona maishani mwake basi huwa anakikumbuka/anamkumbuka mara tu akikiona/akimuona
  1. Tembo huwa wanalia, kuhuzunika, hufurahi na kucheka pia. Vile vile wana huruma kiasi kwamba mtoto anapolia basi wote hukusanyana na kumbembeleza. Pia wanaomboleza pale mmoja wao anapofariki.
  1. Tembo ana uwezo wakuogelea masafa marefu.
  1. Tembo jike hubeba mimba miaka 2.
  1. Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80 hadi 120
  1. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
  1. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi unaweza kuhisi kama vile ana miguu mitatukwa nyuma.
  1. Tembo ana fanya mapenzi kwa masaa 12, masaa 6 ya mwanzo anamuandaa mwenzi wake na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe na hiyo ni ile raundi ya kwanza.
  1. Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne
  1. Tembo dume "akifunga goli / akipiga bao" manii yake yanafika ujazo wa lita tano.
mnyama *mkubwa kuliko wote ni nyangumi,kafunue vitabu vya biology kwa maelezo zaidi
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom