nakuelewa uzuri brah!..ndo naenda kunako usafiri sasa...see you some other time Jg!
simamia hao watu...wanadokoa mbaya!wanahakikisha ww ukimaliza kujenga na wao walau wanaanza msingi.
Weka picha!
BT nawe kwa kudigest mambo..bo!...uko sawa mkuu..tehe...nimelenga eeh?
hiyo ni fact tafadhali...tusije tukakamatana mashati hapa...LOL
jpili njema GTs