Kwa kazi zangu za ukungwi nimechunguza na kujiridhisha kwamba 95% ya wanawake wanene ndiyo wenye tabia na mwenendo mzuri ktk ndoa zao.
Hii imewekwa makusudi na mwenyezi Mungu kama njia ya kuziba mapungufu yao. Kwasabb wanawake wanene asilimia kubwa ni:-
*wavivu wa kunyanduana,
*hawana ashki majinun kama wenzao wembamba,
*hawana mvuto sana kwa wakware.
Ni kwasabb hizi waume zao hawapitii kashikashi za kufumania, kudharauliuriwa na wala hawana wahaka wa wivu wa kimapenzi.
Ewe kijana ambaye hujaoa ukitaka kuishi bila stress oa mwanamke mnene.
Hawa wembamba pia wana mioyo miembamba ya uvumilivu.
UTANISHUKURU.
Hii imewekwa makusudi na mwenyezi Mungu kama njia ya kuziba mapungufu yao. Kwasabb wanawake wanene asilimia kubwa ni:-
*wavivu wa kunyanduana,
*hawana ashki majinun kama wenzao wembamba,
*hawana mvuto sana kwa wakware.
Ni kwasabb hizi waume zao hawapitii kashikashi za kufumania, kudharauliuriwa na wala hawana wahaka wa wivu wa kimapenzi.
Ewe kijana ambaye hujaoa ukitaka kuishi bila stress oa mwanamke mnene.
Hawa wembamba pia wana mioyo miembamba ya uvumilivu.
UTANISHUKURU.