trachomatis JF-Expert Member Jun 7, 2011 3,758 736 Mar 25, 2012 #22 stevoh said: Wako wanaofika ila maximum 15 elfu Click to expand... Poa mkuu ... Nimekupata vilivyo!
Amyner JF-Expert Member Jul 13, 2011 2,397 877 Mar 26, 2012 #23 stevoh said: Angalia mwanaume na mwanamke wakiwa kwenye ugomvi mwanaume maneno yanaisha mapema wakat mwanamke bado ukimpiga bado anaongea! Hence proved! Click to expand... Stevoh umechukua sample yako tu i think.. But generally kuna wanaume wanaoongea sana kuliko wanawake..
stevoh said: Angalia mwanaume na mwanamke wakiwa kwenye ugomvi mwanaume maneno yanaisha mapema wakat mwanamke bado ukimpiga bado anaongea! Hence proved! Click to expand... Stevoh umechukua sample yako tu i think.. But generally kuna wanaume wanaoongea sana kuliko wanawake..
Negrodemus JF-Expert Member Dec 30, 2010 2,316 677 Mar 26, 2012 #24 duuuh! Mwisho mtakuja na fact kwamba mwanaume na mwanamke wanafika mshindo mara ngap tangu kuanza ngono mpk kufa.
duuuh! Mwisho mtakuja na fact kwamba mwanaume na mwanamke wanafika mshindo mara ngap tangu kuanza ngono mpk kufa.
stevoh JF-Expert Member Dec 5, 2011 2,921 1,104 Mar 28, 2012 Thread starter #25 Kapalampya said: duuuh! Mwisho mtakuja na fact kwamba mwanaume na mwanamke wanafika mshindo mara ngap tangu kuanza ngono mpk kufa. Click to expand... Sitaki ugomvi jamani!
Kapalampya said: duuuh! Mwisho mtakuja na fact kwamba mwanaume na mwanamke wanafika mshindo mara ngap tangu kuanza ngono mpk kufa. Click to expand... Sitaki ugomvi jamani!
kalukamise JF-Expert Member May 4, 2011 683 189 Mar 28, 2012 #26 King Kong III said: Mponjori,ushatoka jela au mistaken identity? Click to expand... Unamfahamu eeh