citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,490
- 704
Pengine alipigia jaramba. Kazi maelewano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuweke sawa mtoa mada, mkuu wa nchi alisema amekuwa akimuongezea muda kuwa balozi kila mara muda wake unapoisha.
Tarehe ya uchaguzi imebadilika?Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.
Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tubaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteus Masilingi.
Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
Nawashauri Watanzania wen zangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Ndio hicho anacho maanisha kila muda wake wa ubalozi ukiisha huwa anamuuongezea, kwani anapomuongezea sio uteuzi?Sikiliza hiyo clip ya Magufuli hapo juu
Kuandika hujui, maelezo yamechanganyana. Rudi memkwa kwanza.Pascal ww n kilaza sana nimegndua Hilo unweza kuthbtisha magu n muwaz kwa kufcha Atcl kwny ofis yke manunuz ya ndge htujui hta bei 1.5T je usshau kagera altafuna ela japo jna wmemzomea iv nyie mnaosemga ameshushwa hua mnfkria kitumia nn mbn hua swaelew tangu aingie maish ymekua magumu(Kuna mjinga atasema fanya Kaz hta hao matajir wanalia Hali mbaya hkuna ambae hfnyi kazi) kwaio Pascal toka usngzin huyu n mwizi tu hna lolote
Ndio hicho anacho maanisha kila muda wake wa ubalozi ukiisha huwa anamuuongezea, kwani anapomuongezea sio uteuzi?
Kwani kama aliteuliwa na Kikwete nani anamteua hivi sasa. Maana ni mbunge mstaafu mpaka sasa, tumia akili bro.Ni tofauti na kusema yeye ndo aliyemteua ubalozi baada ya ubunge wake
Aliyemteua Masilingi ubalozi baada ya ubunge wake ni Kikwete.
Licha ya kumteua pia amekuwa akimuongezea muda wa kuendelea kuwa balozi huko USA. Nalo pia mtoa post unapingana nalo?
Ivi Magu adanganye kuhusu ubalozi wa Masilingi akiwa anatafuta nn?
Nimegundua haters wa JF walipenda sana JPM apate upinzani BUKOBA ktk kampeni zake cha ajabu Wazirankende wame show love ya kupitiliza kwa mgombea JPM. Watoto wakienda kampeni za Lissu wanakuwa maarufu lkn watoto haohao ktk kampeni kumlaki JPM Bukoba wanakuwa wanatumika. My friends opp politicians jiangalieni na hoja zenu kwetu. Kimsingi huwa mnakosa strong points to stand on. Inawaondolea credibility kwa jamii ya waelewa wa mambo na kuwaona nanyie ni walewale na tena hamna agenda zenye mashiko zaidi ya kuwa haters tu.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Oneni huyuKama huelewi taratibu za uteuzi ni bora ukakaa kimya!
Oktoba 25 kuna nini mzee njaa ?Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.
Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tubaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteus Masilingi.
Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
Nawashauri Watanzania wen zangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Kwani kama aliteuliwa na Kikwete nani anamteua hivi sasa. Maana ni mbunge mstaafu mpaka sasa, tumia akili bro.
Acha uongo na wewe, unapata faida gani kudanganya? Aliyeahidi laptop kwa kila Mwalimu ni Kikwete siyo Magufuli.Huyu mzee ndiyo maana aliahidi laptop kwa kila mwalimu lakini hajatimiza. Siyo msena kweli, japo anajifanya msema kweli
Na pale anapoongea uwongo ni huwa anatutania tu au?Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.
Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tubaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteus Masilingi.
Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
Nawashauri Watanzania wen zangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Saizi Masilingi yupo USA kwa approval ya nani? Sikiliza hyo clip vzr usikae kwenye sentesi moja. Afu usilazimishe Magufuli awe na matamshi/mpangilio wa maneno uupendao wewe. La msingi pata maana ya jumla ya Maelezo yake ndio ulete kwa jamii.Magufuli hakumteua Masilingi ubalozi baada ya Ubunge wake, ni Kikwete ndiye aliyemteua Masilingi kuwa balozi huko Nertherands mwaka 2013 na baadae Marekani mwaka 2015 mwezi August wakati huo Magufuli akiwa ni waziri wa kawaida tu katika serikali ya Kikwete
Mbona miaka yote mnaongozwa na maccm maongo zaid ya shwetaniKwa nini adanganye ili iweje ?? Kwa manufaa ya nani huyo uongo? Hatutaki viongozi waongo
Hii hatari sasa.Hamteui bali ana extend muda wa huduma yake
Uteuzi wa awali wa Kikwete uko palepale