Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,439
50,961
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:



Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

Img-1600316389230.jpg


TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
 
kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, raisi Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa balozi Marekani baada ya ubunge wake huko Muleba.

Ukweki ni kwamba Masilingi aliteuliwa na rais Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.

Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.

Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 28 tusifanye makosa!.
P
 
Kama huelewi taratibu za uteuzi ni bora ukakaa kimya!

Masilingi aliteuliwa na Rais Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi August 2015

Akawasilisha Credentials zake kwa rais Obama mwezi September

Wakati huo Magufuli akiwa ni Waziri wa Ujenzi.

Sasa aache Kamba kuwa yeye ndo alimteua Masilingi kuwa balozi wa Tanzania Marekani baada ya ubunge wake huko Muleba: Tunataka Rais msema kweli, siyo msema chochote kutafuta kiki za kisiasa!

Img-1600318370271.jpg
 
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.
Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tubaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteus Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
Nawashauri Watanzania wen zangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Pascal unweza kuthbtisha magu n muwaz kwa kufcha Atcl kwny ofis yke manunuz ya ndge htujui hta bei 1.5T je usshau kagera altafuna ela japo jna wmemzomea iv nyie mnaosemga ameshushwa hua mnfkria kitumia nn mbn hua swaelew tangu aingie maish ymekua magumu(Kuna mtu atasema fanya Kaz hta hao matajir wanalia Hali mbaya hkuna ambae hfnyi kazi) kwaio Pascal toka usngzin huyu n mwizi tu hna lolote
 
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.
Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tubaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteus Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
Nawashauri Watanzania wen zangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P

Inaelekea hujaisikiliza hiyo clip vizuri, au kama umeisikiliza umeamua kuweka pamba masikioni.

Magufuli anasema alimteua Masilingi kuwa balozi baada ya kumaliza ubunge wake, ukweli ni kwamba Masilingi alikuwa balozi Netherands kuanzia mwaka 2013 hadi 2015, wakati huo Magufuli ni waziri katika serikali ya Kikwete

Kisha Masilingi akateuliwa na Kikwete mwaka 2015 mwezi Agosti kuwa balozi wa Tanzania Marekani. Kwa hiyo JPM anavyodai kuwa alimteua Masilingi kuwa balozi baada ya ubunge wake siyo kweli. Ni kikwete ndiye aliyemteua.

Tunataka Raisi msema kweli
 
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.
Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tubaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteus Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
Nawashauri Watanzania wen zangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Huko kwenu mtapiga kura October, 25?
 
49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom