Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,489
- 51,070
- Thread starter
- #41
Saizi Masilingi yupo USA kwa approval ya nani? Sikiliza hyo clip vzr usikae kwenye sentesi moja. Afu usilazimishe Magufuli awe na matamshi/mpangilio wa maneno uupendao wewe. La msingi pata maana ya jumla ya Maelezo yake ndio ulete kwa jamii.
Kwa nn mnapenda kudonoa ka punje ka chuya kwenye gunia la mchele na kufanya ndio sifa ya mchele wote. Wewe huna tongue sleepary?.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Kasema kuwa alimteua Masilingi ubalozi baada ya ubunge wake siyo kweli. Kikwete ndiye aliyemteua kuwa balozi baada ya muda wake
Masilingi amekuwa balozi kabla ya Magufuli kuwa raisi
Kuextend muda wa utumishi wa balozi kwenye ubalozi uliomkuta nao haimaanishi kuwa wewe ndo umemteua, bali unaendelea kubariki uteuzi uliokwisha fanywa na aliyemteua