Fact Checking: Madai kuwa Dr. Mwele alipewa kazi UN wiki moja baada ya kutumbuliwa siyo ya kweli. Je, aliyemzushia amuombe msamaha?

Dr. Mwele Malecela amuomba radhi Rais Magufuli kwa kumsababisha akosee hadharani kitu ambacho kimetafsiriwa kama kitendo kibaya cha kuisumbua akili ya Rais bila sababu kutokana na madhambi yake aliyotenda.

Tunamshukuru Rais kwa kutoa msamaha baada ya kuikubali radhi hiyo na kweli amesamehe mara saba sabini.

Kwamba Zika haipo?.
Dissemination ya research findings ni kutangaza Janga?. Before that reports za uwepo wa Zika virus infection Tz hazikuwapo?.
Kilichotokea kwenye nchi za latina America ni mlipuko, ila haikuwa na maana kuwa nchi nyingine hamna katika levels ambazo sio that much public threat. Na tafiti zinazoendelea bado vinaonekana, hasa kwa mimba zinazoharibika, kuzaliwa kabla ya muda n.k.
Hakuwa anatangaza Janga, alikuwa anafanya kazi iliyokatika wigo wake ya kutoa matokeo ya utafiti.
 
Mtu anapopewa nafasi kubwa kama hiyo huwa hatangazwi hadharani hadi baadhi ya protokali zikamilike. Sasa yawezekana wewe mleta mada unaangalia tarehe aliyotangazwa na hao mabeberu lakini hujui kabla ya hiyo tarehe ya kutangazwa offer letter alipata lini. Na hapo ndipo linakuja suala la kupewa kazi week moja baada ya kufukuzwa.

Unaweza kupata kazi ya level hizo kwenye int.organisations ambazo ni arms za UN bila kuwa endorsed na Serikali yako?. WHO ni mabeberu kuanzia lini?. Tunashirikuana nao sasa au hatufanyi hivyo?. Kwa nini tushirikishane nao kama ni beberuz?. Au kwa vile Mbuzi beberu tunakulaagaaaaaa.
 
Tatizo watz wanachukulia cheo cha Rais poa..nawakumbusha tu Rais ni taasis inayongozwa na Rais,Rais ni mtu kubwa sana na amezungukwa na wabobezi katika fani mbalimbali.
Akiongea kitu ujue ni cream..labda uwe na siasa ndani yako.
 
Tatizo watz wanachukulia cheo cha Rais poa..nawakumbusha tu Rais ni taasis inayongozwa na Rais,Rais ni mtu kubwa sana na amezungukwa na wabobezi katika fani mbalimbali.
Akiongea kitu ujue ni cream..labda uwe na siasa ndani yako.

KWAKE,

UONGO UNARUHUSIWA?

NA UNAYO KINGA?

NI SWALI.
 
Mwasiasa akikuambia 'usiku mwema' toka nje kwanza ukaangalie kama ni kweli giza limetanda ndio urudi umjibu!
 
..Dr.Mwele Malecela alitumbuliwa mwezi December 16, 2016.




..Na habari kwamba amepata kazi UN-WHO zilitangazwa April 3, 2017.


..madai kwamba Dr.Mwele Malecela alikuwa anatumiwa na alipewa kazi wiki moja baada ya kutumbuliwa siyo ya kweli.

..nashauri aliyetoa madai hayo amuombe msamaha Dr.Malecela.
Shetani ni muongo na ni baba wa huo!
mmeelewa
 
UONGO HAUNA KINGA.

ASHITAKIWE KWA KUSEMA UONGO.
Ni kweli kabisa, hakuna mahali imeandikwa kuwa Rais akisema uwongo sheria inamkinga asishtakiwe. Kwa nafsi yake uongo ni kukivunjia heshima kiti na taasisi ya urais kwa jumla, jambo linaloweza kuitishwa kura ya kukosa imani naye maana amekuwa MUONGO
 
Ni kweli kabisa, hakuna mahali imeandikwa kuwa Rais akisema uwongo sheria inamkinga asishtakiwe. Kwa nafsi yake uongo ni kukivunjia heshima kiti na taasisi ya urais kwa jumla, jambo linaloweza kuitishwa kura ya kukosa imani naye maana amekuwa MUONGO

"ZITO"

Peleka hoja ya kutokuwa na IMANI NA RAIS KWA KESEMA UONGO.


KURA WAPIGE WANANCHI WOTE.
 
..nafasi za UN ni za USHINDANI.

..Nafasi hutangazwa.

..wenye sifa huomba.

..baada ya hapo hufanyika usaili.

..na aliyefaulu usaili huteuliwa / huchaguliwa.

..hili siyo zoezi linaloweza kufanyika ndani ya wiki moja.

Unaweza ukaweka hapa tangazo la kazi ambalo mwele alishindania?
Maana WHO wanafanya mambo kwa uwazi. Licha ya kuwa nao wana politik na urasimu wao.
 
Huyu huyu aliesababisha bei ya sukari kupanda na kuongea hadharani
yeye ndo kakuta bei iko juu na kaishusha?

Huyu huyu anaesema hakopi kopi huku deni la Taifa ni mara mbili ya Kikwete
chini yake?

huyu wa kuomba radhhi?
Please!!!
 
Ni kweli kabisa, hakuna mahali imeandikwa kuwa Rais akisema uwongo sheria inamkinga asishtakiwe. Kwa nafsi yake uongo ni kukivunjia heshima kiti na taasisi ya urais kwa jumla, jambo linaloweza kuitishwa kura ya kukosa imani naye maana amekuwa MUONGO
Leta ukweli
 
..nimeuliza alipokuwa Waziri.

..aliuza nyumba za serikali.

..pia alinunua kivuko kibovu.

..na aliunga mkono sheria za madini na gesi.

..Je, alikuwa FISADI?

..Je, alikuwa MSALITI?

..Je, alikuwa KIBARAKA?

Cc tindo

.

Who cares alipokuwa waziri? Watanzania wengi pamoja na mimi ndio tulimpa urais we do not care about your shenanigans.
 
Back
Top Bottom