Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
Push Gang wanasema Dr.Musukuma ndiyo mgombea wao wa nafasi ya urais 2025 kupitia CCM
aliyeuza simu feki kapewa pesa ya bandia.View attachment 2034909
Tapeli katapeliwa
Iwe reality na sio ya mchongo 🤣🤣🤣🤣Ukiwa na phD Tanzania lazima uchukiwe
Safi yeye na jamaa yake wakati walipokuwa wanatuaminisha kujifukiza ile mizizi huku wazee wetu wakiangamia sasa hii ndio Karma.10,000.
Ndio hawa waliokuwa wakituaminisha kuwa kupiga Nyungu na kunywa kile kinywaji cha Madagaskar kinaponyesha Kirusi hatari cha Covid19Doctorate ya Mchongo😅
kuna miaka mitume na manabii walikuwa wakiponda sana degree, sayansi na usomi kwa ujumla - eti "mbele ya Mungu yote ni bure tu!". Walipopata namna ya kuhitimu bila jasho, siku hizi wote ni madokta au maprofesa wenye hata PhD 3! Na jaribu kuwataja bila kugusia hizo sifa uone kama mtaelewana.Kumbe Msukuma kila mara anawatukana wasomi bungeni lkn moyoni anatamani!!? Loo! Mpaka kaamua kwenda kununua PhD fake???
Aliyetoa dola feki kauziwa cheni feki na aliyeuza cheni feki kapewa dola feki; hapo tuliozoea Jiji tunasema ngoma droo na tuseti mambo mengine yaende kwenye mtandao..😃View attachment 2034909
Tapeli katapeliwa
Kumbe unaweza usisome alafu ukaja kupewa PHD ukaitwa Dokta!Msukuma kiboko, karuka la saba mpaka Phd