Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Je ni faida gani umepata tangu ulipoanza kutumia facebook?
Je ni faida gani umepata tangu ulipoanza kutumia facebook?
binafsi nina miaka mitatu kwenye facebuk lakini sijapata faida yoyote mpaka dakika hii!!
nilikuwa nikipata habari za watu tulopotezana kitambo, like where they are now wat they do n stuff lakini siku hizi situmii tena n frankly speaking I dont miss a thing!! thanks to my machine it stopped opening my FB pg!!
Social networking..Je ni faida gani umepata tangu ulipoanza kutumia facebook?
Kuna wengine nao wanajiuliza...hivi toka mlipojiunga Jamii Forums mmepata faida gani?Maana sehemu kubwa ya taarifa ambazo ziko hapa sources zake ni kwenye vyombo vya habari mbalimbali?Mtu yeyote anaweza kupata taarifa hizo hata bila kujiunga na Jamii Forums!
Nia yangu ni kuonesha kuwa suala la kujiunga au kutumia teknolojia fulani ni suala la mtu binafsi.Mtazamo wa mtu mmoja kuhusu teknolojia husika haufanyi iwe mbaya au nzuri!It's all about choices we make kwenye maisha yetu!
Wanaotumia Facebook watakuwa wanasababu zao,ambazo zinaweza kutokuwa na maana kwako ila ni za msingi sana kwao.Likewise watumia mtandao kama Jamii Forums pia wanasababu zao ambazo zina uzito kwa upande.
Aisee mimi ni mmoja wao pia ambaye nimepata faida ya kukutana na marafiki tulio soma nao shule ya msingi miaka 31 iliyopita, na kati yao ni mke wangu wa sasa ambaye tulipoteana miaka mingi sana na atmae FB imetukutanisha na sasa ni mume na mke.Faida niliyopata ni kuwa na mawasiliano na jamaa niliopotezana nao tangu nimalize primary school!