Facebook yazindua "tools" kuwasaidia Wananchi wa Afghanistan wanaofuta taarifa zao mtandaoni kwa hofu ya kukamatwa na Taliban

isajorsergio

Platinum Member
Apr 22, 2018
4,125
6,250
Vipengele vipya vya usalama vimekusudiwa kusaidia Waafghan kufunga akaunti haraka na kupunguza nyayo zao katika mitandao ya kijamii.

Alhamisi Facebook ilisema inaanzisha udhibiti mpya wa watumiaji kwa watu nchini Afghanistan ambao wanakimbilia kufuta nyayo zao za kidijitali kwa hofu simu zao au kompyuta zinaweza kukamatwa na Taliban.

Kupelekea kuonesha uhusiano wa watu kutoka mataifa ya magharibi, asasi za kijamii za kimataifa, jeshi la Afghanistan au serikali ya Afghanistan iliyoanguka hivi karibuni.

==

Facebook unveils tools to help Afghan people fearful of Taliban violence​


Facebook said Thursday it is rolling out new user controls for people in Afghanistan who are rushing to delete their digital footprints for fears that their phones or computers may be seized by the Taliban and reveal links to people from Western nations, international civil society groups, the Afghan military or the recently collapsed Afghan government.

WhatsApp, a popular messaging app in Afghanistan that the Taliban have used in recent days to spread the word of their siege of Kabul on Sunday, is also owned by Facebook.

Among the new security features Facebook has released for Afghan users is a one-click tool that allows people to quickly lock their accounts, which prevents people who aren’t already friends with the users from downloading their profile picture or seeing their posts, according to several posts on Twitter by Nathaniel Gleicher, the head of security at Facebook. On Instagram, which Facebook also owns, the company is offering new popup messages to alert users of ways to secure their accounts.

“Over the past week, our teams have been working around the clock to do everything we can to help keep people safe,” Gleicher said on Twitter. “While we have to be careful to avoid tipping off bad actors, here are a few security measures we’ve rolled out for people in country to protect their accounts.”

Gleicher added that Facebook has created “a special operations center” to help respond to the fast-moving crisis in the country and urged people to consult a suite of digital security tools created by human rights organizations to better secure their digital lives.

Facebook’s new security features follow what human rights workers have described as a dire need to protect people in Afghanistan who fear traces of their online lives could be used as an excuse to enact violence against them and their families. The company did not clarify if it has translated its new resources and help pages into Pashto and Dari, the two primary languages in Afghanistan.

“People in Afghanistan want to scrub their digital footprint now because they don’t want to risk their lives or physical security in any way, even if it’s just identifying them and asking them questions,” said Nighat Dad, a lawyer and internet rights activist who is the executive director of the Digital Rights Foundation based in Pakistan and serves on Facebook’s Oversight Board.

Source: NBC News
 
Pole Mzee mwenzangu

Hata Russia ilibidi wanyooshe Mikono tu

Biden kanyoosha Mikono hadharan, kasema hawezi kuruhusu Vijana wa Kimarekan 'kuendelea' kuua kulinda watu wasio 'tayari' kujilinda
Afghanistan sasa imekuwa rasmi ni taifa la magaidi
 
Hii miarabu inelaaniwa
Hivi wewe lini utaacha ujinga, kuna thread nyingi humu unafahamishwa kwamba hawa jamaa sio waarabu.
Nina wasiwasi kwamba Waarabu wamekufi...... ndio maana una chuki nao.
Pumbaffffff.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom