Facebook yatekeleza amri ya Mahakama Kuu na kuzifungia akaunti 12 za wanaomuunga mkono Rais Jair Bolsonaro

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Kampuni ya Facebook imetangaza kufungwa akaunti 12 za wafuasi wa Rais Jair Bolsonaro ambazo zinadaiwa kusambaza habari za uongo

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya Facebook kupigwa faini kwa kutotekeleza agizo la kuzifunga kama ilivyoamriwa na Jaji wa Mahakama Kuu

Msemaji wa Facebook amesema wamekubali kufanya hivyo licha ya kwamba agizo hilo linatishia uhuru wa kujieleza nje ya Brazil. Kampuni hiyo imesema itakata rufaa

Mei mwaka huu Mahakama iliamuru akaunti 12 za Facebook na 16 za Twitter kufungwa zikihusisha na usambazaji wa habari za uongo wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2018

===

Facebook said on Saturday it has put a global block on certain accounts controlled by supporters of Brazil's President Jair Bolsonaro implicated in a fake news inquiry, a day after it was fined for not complying with a Supreme Court judge's order to do so.

A spokesperson for Facebook said the order was “extreme” and threatens “freedom of expression outside of Brazil's jurisdiction”, but said the company has agreed to the order. “Given the threat of criminal liability to a local employee, at this point we see no other alternative than complying with the decision by blocking the accounts globally, while we appeal to the Supreme Court.”

Justice Alexandre de Moraes had ruled on Thursday that Facebook and Twitter failed to comply with orders to block the accounts because they were only blocked within Brazil, but remained accessible with foreign IP addresses.

On Friday, he ruled that Facebook must pay a 1.92 million reais ($367,710) fine for not complying and face further daily fines of 100,000 reais per day if it does not block the accounts in question globally.

Before the fine was announced, Facebook said on Friday that it would appeal the decision. The world's largest social network said it respects the laws of countries where it operates, but that “Brazilian law recognizes the limits of its jurisdiction.”

The judge's fine only addressed Facebook's non-compliance. It was not clear whether Twitter would face a similar fine.

The judge originally decided in May to block 16 Twitter accounts and 12 Facebook accounts of Bolsonaro supporters who have been linked to a probe into the spreading of fake news during Brazil's 2018 election.
 
Back
Top Bottom