Facebook wabadili jina, sasa kuitwa Meta

Naona sehemu nyingi watu wanadhani kwamba facebook.com au app ya facebook itabadili jina, LA HASHA!!

Niwawekee usahihi kwamba facebook ina sehemu mbili, Sehemu ya kwanza ni hii huduma ambayo tumezoea kuitumia kwenye simu zetu, Sehemu ya pili facebook ni kampuni ambayo inamiliki bidhaa ya kwanza niloyoitaja hapo juu tuliyoizoea , instagrama na whatsapp

Kwa hio kitu pekee kitachobadilika ni hilo jina la kampuni (facebook company) na itaitwa Meta Company, mabadiliko haya yatafanyika bila kuathiri majina ya huduma zake kuu tatu ambazo ni facebook, instagram na whatsapp.
Metaverse.
 
Hivi karibuni facebook walitangaza kuwa watabadili jina.

Leo wametangaza jina lao jipya kuwa ni Meta.

Meta ilikuwa initiative ya mke wa Mark, leo Facebook imebadili jina na kujiita Meta. Nguvu ya mapenzi hii.

Karibu meta.





---
Facebook has changed its corporate name to Meta as part of a major rebrand.

The company said it would better "encompass" what it does, as it broadens its reach beyond social media into areas like virtual reality (VR).

The change does not apply to its individual platforms, such as Facebook, Instagram and Whatsapp, only the parent company that owns them.

The move follows a series of negative stories about Facebook, based on documents leaked by an ex-employee.

Frances Haugen has accused the company of putting "profits over safety".

In 2015, Google restructured its company calling its parent firm Alphabet, however, the name has not caught on.

'Reflects who we are'​

Facebook boss Mark Zuckerberg announced the new name as he unveiled plans to build a "metaverse" - an online world where people can game, work and communicate in a virtual environment, often using VR headsets.

He said the existing brand could not "possibly represent everything that we're doing today, let alone in the future", and needed to change.

"Over time, I hope that we are seen as a metaverse company and I want to anchor our work and our identity on what we're building towards," he told a virtual conference.

"We're now looking at and reporting on our business as two different segments, one for our family of apps, and one for our work on future platforms.

"And as part of this, it is time for us to adopt a new company brand to encompass everything that we do, to reflect who we are and what we hope to build."

The company also unveiled a new sign at its headquarters in Menlo Park, California, on Thursday, replacing its thumbs-up "Like" logo with a blue infinity shape.

Mr Zuckerberg said the new name reflects that over time, users will not need to use Facebook to use the company's other services.

The word "meta" comes from the Greek word meaning "beyond".

To an outsider, a metaverse may look like a version of VR, but some people believe it could be the future of the internet.

Instead of being on a computer, people in a metaverse might use a headset to enter a virtual world connecting all sorts of digital environments.

It is hoped the virtual world could be used for practically anything from work, play and concerts, to socialising with friends and family.

Facebook said it intends to start trading it shares under the new stock ticker MVRS from 1 December.

Source: Facebook changes its name to Meta in major rebrand
IMG_8606.GIF
 
Masikini hata hujui unachoongea.

Metaverse imeundwa kuzibeba kampuni zote zikiwemo Facebook yenyewe, whatsapp, Instagram na MySpace.

Facebook haijabadilishwa jina, bali kampuni mama ndio imebadilishwa jina.
Ndio naelewa ila Hilo jina tu lilivo. Hafu hii monopoly ya mtu mmoja ku hold mitandao mikubwa ni hatari I wonder watu wa IG hawakufikiria mbele na kuuza huo mtandao IG iliipoteza Facebook umaarufu wake Ndio maana Mark akaamua kuinunua kisa hela.
 
Umeeleweka vyedi
Webadili jina la kampuni nyuma ya brand ya Facebook sio Facebook name kama brand.

Yaani mfano wake ni kama Bonite bottlers wabadili jina lao ila product zao yaani Coca-cola, Kilimanjaro water, fanta,stone tangawizi etc zibakie the same name.
 
Kwenye maelezo ni kwamba Facebook itabaki kuwa facebook, instagram itabaki hivyo, Whatsapp itabaki hivyo.

Kilichobadilika ni ni kampuni mama inayomiliki hizo social networks 3 (Whatsapp, Facebook na instagram).

Kwa hiyo tusitegemee kwamba facebook itabadilika jina.
 
Yule mfanyakazi wa zamani wa Facebook alietoa siri na kuikashifu kampuni hiyo naona ndio sababu ya kubadili jina

Maana ukisoma habari inasema

The move follows a series of negative stories about FB, based on documents leaked by an ex-employee
Huyo mama kaimaliza FB kwa kusema wanaweka maslahi ya faida kuliko safety

Halafu hilo jina ni neno la Kigiriki na sio kama mkalimani alivyotulisha
Meta- Beyond
 
Back
Top Bottom