Facebook page ya JK

Labda GT anajaribu kumtafuta JK kwenye FB.
Kama JK akiwa na wazo la kujiunga na FB basi atakuwa ameonesha generocity ya hali ya juu.
JK anauwezo wa kuwa na wazo la kujiunga na Face book lakini I know kuwa Salva hajui what Face book is

 
Nafikiri kwa wingu lililotanda sasa nchini Tanzania, nafikiri kuna kila sababu ya kuwepo mjadala wa moja kwa moja kati ya mheshimiwa raisi na wanachama wa JF.

Hapa mheshimwa raisi atakuwa na nafasi ya kujibu maswali mbalimbali kutoka kwa wanachama wa JF na kuyajibu kwa uzito wake na nafikiri ndipo itapoeleweka kwamba JF inajali vichwa vingine vya watanzania.

Hii inawezekana pakiwepo ushirikiano kati ya bwana Salva na wanachama waandamizi (wale Premium) kufanikisha jambo hili na hapo ndipo itakuwa kipimo cha kukomaa kwa demokrasia Tanzania.

Idumu JF.
 
JK anauwezo wa kuwa na wazo la kujiunga na Face book lakini I know kuwa Salva hajui what Face book is


Ha ha ha ha... Kazi kwelikweli! Rev. Kishoka umeona hii? I guess you will very soon receive a friend request from JK.
 
Ngoja niangalie friends list ya mwanae...Ila hii kali naona hana ata friends hmmm....hapa kuna kimtego
 
Habari JF?

Nafikiri hii ya JK kufungua profile yake kwenye Facebook ni njia mojawapo ya 'kutrace' members wa JF. Kila mtu atakayeenda kwenye hiyo profile, details zake zitaweza kuonwa na huyo mtu aliyeanzisha profile ya JK.

Facebook wana applications ambazo huweza kuona kila mtu aliyetembelea profile yako na mtu yeyote unaweza ukaweka hiyo application ili uweze jua watu wanaotembelea profile yako. Nimesema hii maana haiingii akilini RAIS wa nchi aweke picha zake facebook, ambayo hutumiwa na watu wengi kutafutana na marafiki zao so that they can keep in touch. Kwani JK anahitaji kutafuta rafiki zake??!!

My fellow Tanzanians, the government is looking for you. Wake up!!
 
hii thread ni ujinga tu ! nendeni myspace halafu ndio mtaona kila kitu kuanzia page za nyerere, hadi za bush na zinakuwa updated kila siku, sasa huyo nyerere nae ana-update vipi myspace page yake ili hali ndio hivyo tena ?

mjadala ufungwe !
 
hii thread ni ujinga tu ! nendeni myspace halafu ndio mtaona kila kitu kuanzia page za nyerere, hadi za bush na zinakuwa updated kila siku, sasa huyo nyerere nae ana-update vipi myspace page yake ili hali ndio hivyo tena ?

mjadala ufungwe !

...true story!!Marehemu kibao wapo hata hi5 na page zao zinakuwa updated!!
 
Hii ni kanyanga tu, unaweza kujoin facebook in any name you want na kwa JK ,as popular as he is, ungetegemea awe na at least 100 friends na kuna kila dalili kuwa amejoin recently, ningeelewa kama angekuwa amejoin before becoming a president.
 
FACEBOOK
http://www.facebook.com/Kikwete#!/Kikwete?v=wall


Suggest to friends
President of Tanzania
Information
Country:
Basic Info
Country:TanzaniaCurrent office

Office:President

Party:CCM

Profile_name: Jakaya Kikwete



Become a fan
Detailed info
Website:http://www.jakayakikwete.com
Gender:MaleRelationship status:Married to
Salma Kikwete
Birthday:07 October 1950
Hometown:Bagamoyo
Political views:Moderate
Interests:Basketball, reading, spending time with friends
Education information

University:
Secondary School:


Nini haja ya Mhe. Rais kuwa kwenye Facebook ?..
 
Ni Njia nzuri ya kufanyia kampeni pia!....technology everywhere watu than kutegemea tv na radio!...watu siku hizi wana spend time online...smart Move mr President...i am your number one supporter!...Bravooo!..tena ngoja niombe friend request!....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom