harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Hapa nimetulia kwenye computer lab ya shule moja nimeenda kudowea net sasa wakati nikiwa naendelea
wanafunzi wako bizy na hii mitandao .sasa sijui kama kweli watakua wanasoma au ndio hii mitandao inazidi
kuchafua kizazi
cha waafrica .Halafu ukiachana na hilo utakuta hata wafanyakazi wa offisi nyingi wanatumia muda mwingi
kweny internet wakichat na kucheza comp game "sijui taifa linaelekea wapi kwa disign hii"
wanafunzi wako bizy na hii mitandao .sasa sijui kama kweli watakua wanasoma au ndio hii mitandao inazidi
kuchafua kizazi
cha waafrica .Halafu ukiachana na hilo utakuta hata wafanyakazi wa offisi nyingi wanatumia muda mwingi
kweny internet wakichat na kucheza comp game "sijui taifa linaelekea wapi kwa disign hii"