Facebook kuanzisha huduma ya kutuma na kutoa fedha bure.

mwalukuni mchanyato

JF-Expert Member
May 15, 2013
401
220
Mtandao wa kijamii Facebook inasemekana upo mbioni kuanzisha huduma ya kifedha katika kutuma na kupokea fedha bure bila kulipishwa tozo ya makato.Huduma hiyo itaanza kuzinduliwa kwa kutumika nchini marekani na itakuwa inatumika kupitia Facebook kwa waliojiunga upande wa messenger katika kuchati.Tujiandae wabongo wenzangu hususan wale mnaopenda vya bure.
 
Mtandao wa kijamii Facebook inasemekana upo mbioni kuanzisha huduma ya kifedha katika kutuma na kupokea fedha bure bila kulipishwa tozo ya makato.Huduma hiyo itaanza kuzinduliwa kwa kutumika nchini marekani na itakuwa inatumika kupitia Facebook kwa waliojiunga upande wa messenger katika kuchati.Tujiandae wabongo wenzangu hususan wale mnaopenda vya bure.

Huyo WAKALA WA FACEBOOK atakayekupa pesa LAZIMA ATATOZWA KODI hapa Tanzania. Au utaenda kupokelea nje ya nchi??
 
Ntaimba uwakala fasta
Najua ntapiga hela tu wakianza lipisha
 
Mtu mweusi yeye kila kitu ni kupiga dili
Hahh nyie mnawajua wazungu vizuri??
Mtu mweupe huwaza namna ya kumsaidia mwanadamu kwa kuyafanya maisha yawe mepesi. Mtu mweusi yupo busy kumkomoa mwanadamu hasa mweusi mwenzake!
Tatizo waafrika wepesi kusahau. Hebu kumbuka kipindi cha nyuma kabla tukio la mwaka 1961 nilitokea??
Waulize Ghana kabla 1959 walikuwa wakiishije??

Jiulize kwanin babu zetu na watala wa zaman walijitoa na kupigan na hawa waazungu????

Zaman walitumia nguvu kujinufaisha ila sasa wanatumia akili.

Kukujuza tu, hakuna kitu ambacho mzungu atafanya for free, kila afanyala jua anafaida nalo, kama si sasa basi baadae.

AMKENI NYIE MNATAWALIWA AKILU
 
Dah hawa jamaa wanataka tuliojiuzulu kutumia Facebook turudi kutumia tena
 
Ni Habari njema japo udalali unatumaliza ukiangalia mapokezi ya habari hii kwa wachangiaji utagundua kitu.Ndani yake kumejaa fitina, uchoyo majungu nk. lakn nanikatengeneza chakwake na hakakisimamia vizuri kikashidwa kusitawi??? mambo ya kodi,wizi hivi vipo tu kwamjibu wa sheria na dunia nzima hiko hivyo!!
 
Hahh nyie mnawajua wazungu vizuri??

Tatizo waafrika wepesi kusahau. Hebu kumbuka kipindi cha nyuma kabla tukio la mwaka 1961 nilitokea??
Waulize Ghana kabla 1959 walikuwa wakiishije??

Jiulize kwanin babu zetu na watala wa zaman walijitoa na kupigan na hawa waazungu????

Zaman walitumia nguvu kujinufaisha ila sasa wanatumia akili.

Kukujuza tu, hakuna kitu ambacho mzungu atafanya for free, kila afanyala jua anafaida nalo, kama si sasa basi baadae.

AMKENI NYIE MNATAWALIWA AKILU
We have got nothing to do with all those historic narratives Bro. Hayo hayatusaidii tena. We've lost the script! Thats it! We're even more than selfish, nepotivist, greedy and dormant. Wazungu wamefika huko walipo kwasababu ya kuyaweka mataifa yao mbele. Wanawaza namna ya watoto wao wanakavyoishi miaka 100 baadae.

Walipigania mataifa yao kwa kuwaburuza babu zetu na sasa baba zetu na sisi wenyewe! No excuses in life struggles! Unalalamika kwasababu umekaririshwa kwenye elimu yenye mfumo wa kizungu. Uning'inize tai ndio unajiona umeajiriwa!

Well, baada ya hao weusi kupiginania mataifa yao wako wapi leo? Lots of excuses wakati wenzetu ndio kwanza wanaweka rekodi huko kwenye sayari. We have everything at our disposal to push our nations further in all life spheres. Yet we're complaining ooh wazungu bla bla! Kila unachotumia hapo ni mzungu katengeneza kufanya maisha yawe user friendly, connected and interrelated. Yes, nothing for free taka kwao maana wanatumia resources...brain, materials and skills. No free lunch mkuu. Stop unnecessary complaints. Mtu mweusi anatafuta sifa na ujuaji wakipuuzi.
 
We have got nothing to do with all those historic narratives Bro. Hayo hayatusaidii tena. We've lost the script! Thats it! We're even more than selfish, nepotivist, greedy and dormant. Wazungu wamefika huko walipo kwasababu ya kuyaweka mataifa yao mbele. Wanawaza namna ya watoto wao wanakavyoishi miaka 100 baadae.

Walipigania mataifa yao kwa kuwaburuza babu zetu na sasa baba zetu na sisi wenyewe! No excuses in life struggles! Unalalamika kwasababu umekaririshwa kwenye elimu yenye mfumo wa kizungu. Uning'inize tai ndio unajiona umeajiriwa!

Well, baada ya hao weusi kupiginania mataifa yao wako wapi leo? Lots of excuses wakati wenzetu ndio kwanza wanaweka rekodi huko kwenye sayari. We have everything at our disposal to push our nations further in all life spheres. Yet we're complaining ooh wazungu bla bla! Kila unachotumia hapo ni mzungu katengeneza kufanya maisha yawe user friendly, connected and interrelated. Yes, nothing for free taka kwao maana wanatumia resources...brain, materials and skills. No free lunch mkuu. Stop unnecessary complaints. Mtu mweusi anatafuta sifa na ujuaji wakipuuzi.
Ts nt complaining ni kuweka vitu sahihi.

Yesterday inatupa exprienc na hata kuwa na gues sahihi kuhusu future. Ndio maana we keep records.

I think yanayotokea USA yatakupa picha sahihi.
 
Mtandao wa kijamii Facebook inasemekana upo mbioni kuanzisha huduma ya kifedha katika kutuma na kupokea fedha bure bila kulipishwa tozo ya makato.Huduma hiyo itaanza kuzinduliwa kwa kutumika nchini marekani na itakuwa inatumika kupitia Facebook kwa waliojiunga upande wa messenger katika kuchati.Tujiandae wabongo wenzangu hususan wale mnaopenda vya bure.
Inaonekana wewe ni mmojawapo wanaopenda vya bure.
 
Back
Top Bottom