Third Eye
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 374
- 209
Mitandao mikubwa kama Facebook na Google hupata revenue zake kupitia matangazo yanayokuwa displayed. The more visitors you have the more revenue kama unatumia pay per impression au hata kama unatumia pay per click.
Both impression and clicks zinatokana na visitors ambao wengine ni wa Tanzania hivyo kufanya Tanzanians kuwa source ya revenue.
My question, why mitandao hii hailipi kodi kwa serikali ilhali sehemu ya mapato yao yanatokana na watanzania? Wadau hii imekaaje?
Both impression and clicks zinatokana na visitors ambao wengine ni wa Tanzania hivyo kufanya Tanzanians kuwa source ya revenue.
My question, why mitandao hii hailipi kodi kwa serikali ilhali sehemu ya mapato yao yanatokana na watanzania? Wadau hii imekaaje?