Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,557
Wanabodi,
Heri ya Mwaka Mpya.
Nilikutana na mwandishi nguli wa Afrika, Shaka Ssali, alipokuja nchini Tanzania, kufanya research ya mambo ya demokrasia, amezungumzia mambo mengi yakiwemo, mafanikio yake katika tasnia ya habari na mambo ya demokrasia na uhuru wa kujieleza.
Amezungumzi kuwa yeye ni mzaliwa wa Uganda, mafanikio katika habari, yanapatikana kwa waandishi kufanya research ndipo waandike. Ili mwandishi aweze kufanya reseach, lazima kwanza huyo mwandishi aelimike na ku specialize, yeye ameelimika hadi kiwango cha Ph.D. Hili la elimu na specialization kwa waandishi wetu, nimelikubali ndicho kikwazo kikuu kwa media za Tanzania kushindwa kufanya critical analysis kuhusu habari za kimaendeleo, na mwelekeo wa nchi, angalau kidogo baadhi ya magazeti wanaandika, lakini katika vyombo vya electronics, redio na magazeti, ni almost nil, hakuna kabisa critical analysis, hivyo tv zetu na redia kubaki kufanya reportage na kuishia habari za ziara za viongozi, kujikomba na kuwasifu tuu viongozi na watawala, badala ya kujitika kwenye habari za kimaendeleo, tumetoka wapi, tuko wapi, na tunakwenda wapi, jee tufanye nini hapa tulipo ili tufike kule tunakotakiwa kufika!.
Pia amezungumzia African Democracy vs American Democracy, amesema Baba wa American Democracy Abraham Lincoln ndiye aliyesema "Demokrasia ni Serikali ya Watu, Inayoongozwa na Watu kwa Ajili ya Watu", yaani of the people, by the people and for the people, lakini African Democracy ni ni serikali za baadhi ya watu tuu, zinazoongozwa na baadhi ya watu tuu, kwa ajili ya baadhi ya watu tuu, ikiwemo wengi wa viongozi wa Africa, kuangalia matumbo zao zaidi.
Amemtaja Baba wa Taifa kuwa ni mfano wa viongozi bora kabisa wa Africa ambao waliitanguliza mbele Africa bila kujali matumbo yao, yaani selfless leader.
Pia amezungumzia umasikini kwa kum quote Obama alipozungumza na viongozi wa Africa jiji Accra Ghana, alisema, Umasikini sio umasikini wa mali tuu, bali ukosefu wa uhuru wa habari na uhuru wa kujieleza ni mfumo wa umasikini mbaya zaidi kuliko umasikini wa mali.
Jee haya aliyoyasema Shaka Ssali yana ukweli kuhusu Tanzania yetu?.
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
Heri ya Mwaka Mpya.
Nilikutana na mwandishi nguli wa Afrika, Shaka Ssali, alipokuja nchini Tanzania, kufanya research ya mambo ya demokrasia, amezungumzia mambo mengi yakiwemo, mafanikio yake katika tasnia ya habari na mambo ya demokrasia na uhuru wa kujieleza.
Amezungumzi kuwa yeye ni mzaliwa wa Uganda, mafanikio katika habari, yanapatikana kwa waandishi kufanya research ndipo waandike. Ili mwandishi aweze kufanya reseach, lazima kwanza huyo mwandishi aelimike na ku specialize, yeye ameelimika hadi kiwango cha Ph.D. Hili la elimu na specialization kwa waandishi wetu, nimelikubali ndicho kikwazo kikuu kwa media za Tanzania kushindwa kufanya critical analysis kuhusu habari za kimaendeleo, na mwelekeo wa nchi, angalau kidogo baadhi ya magazeti wanaandika, lakini katika vyombo vya electronics, redio na magazeti, ni almost nil, hakuna kabisa critical analysis, hivyo tv zetu na redia kubaki kufanya reportage na kuishia habari za ziara za viongozi, kujikomba na kuwasifu tuu viongozi na watawala, badala ya kujitika kwenye habari za kimaendeleo, tumetoka wapi, tuko wapi, na tunakwenda wapi, jee tufanye nini hapa tulipo ili tufike kule tunakotakiwa kufika!.
Pia amezungumzia African Democracy vs American Democracy, amesema Baba wa American Democracy Abraham Lincoln ndiye aliyesema "Demokrasia ni Serikali ya Watu, Inayoongozwa na Watu kwa Ajili ya Watu", yaani of the people, by the people and for the people, lakini African Democracy ni ni serikali za baadhi ya watu tuu, zinazoongozwa na baadhi ya watu tuu, kwa ajili ya baadhi ya watu tuu, ikiwemo wengi wa viongozi wa Africa, kuangalia matumbo zao zaidi.
Amemtaja Baba wa Taifa kuwa ni mfano wa viongozi bora kabisa wa Africa ambao waliitanguliza mbele Africa bila kujali matumbo yao, yaani selfless leader.
Pia amezungumzia umasikini kwa kum quote Obama alipozungumza na viongozi wa Africa jiji Accra Ghana, alisema, Umasikini sio umasikini wa mali tuu, bali ukosefu wa uhuru wa habari na uhuru wa kujieleza ni mfumo wa umasikini mbaya zaidi kuliko umasikini wa mali.
Jee haya aliyoyasema Shaka Ssali yana ukweli kuhusu Tanzania yetu?.
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali