Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,582
Wanabodi
Nimekutana na Mhe. Zitto Kabwe katika event ya Policy Forum pale British Council last week, nimefanya nae a short interview ya maswali mawili tuu.
1. Hoja ya yeye kupika data za kiuchumi kwa nini anatofaitiana na mamlaka rasmi za taarifa za makusanyo, nani kati ya serikali na yeye ndie mkweli, au yeye ndie anapika data for political mileage?.
2. Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, rais kasema makusanyo yameongezeka, kumbishia rais ili kuonyeshea rais anasema uongo, huu sio ukosefu wa adabu, heshima na nidhamu?.
Msisikilize Zitto Kabwe mwenyewe.
Paskali
Update
News Alert: - Serikali yamjibu Zitto Kabwe, yasema anapotosha kuhusu takwimu za pato la Taifa
Baada ya serikali kukanusha taarifa hii ya Zitto, hii I namaanisha Zitto amepika data, na kupika data ni kosa la jinai, hivyo sasa tunaisubiria serikali impandishe kizimbani Mhe. Zitto, malumbano haya yakafungwe rasmi.
Paskali
Nimekutana na Mhe. Zitto Kabwe katika event ya Policy Forum pale British Council last week, nimefanya nae a short interview ya maswali mawili tuu.
1. Hoja ya yeye kupika data za kiuchumi kwa nini anatofaitiana na mamlaka rasmi za taarifa za makusanyo, nani kati ya serikali na yeye ndie mkweli, au yeye ndie anapika data for political mileage?.
2. Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, rais kasema makusanyo yameongezeka, kumbishia rais ili kuonyeshea rais anasema uongo, huu sio ukosefu wa adabu, heshima na nidhamu?.
Msisikilize Zitto Kabwe mwenyewe.
Paskali
Update
News Alert: - Serikali yamjibu Zitto Kabwe, yasema anapotosha kuhusu takwimu za pato la Taifa
Baada ya serikali kukanusha taarifa hii ya Zitto, hii I namaanisha Zitto amepika data, na kupika data ni kosa la jinai, hivyo sasa tunaisubiria serikali impandishe kizimbani Mhe. Zitto, malumbano haya yakafungwe rasmi.
Paskali